Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

Hivi ni kwanini wanaume mnaongelea sana maovu ya wanawake na kuyaacha ya kwenu?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]enhe niambie kwanini umesema username yangu imekushitua
Ya ajabu halafu imechage ghafla[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Hadi inanipa shida kutag
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haki ya Nani akili zako unazijua mwenyewe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nawashangaa wanaojifanya wananijua kuliko ninavyojijua mwenyewe yaani mtu anachukulia serious hadi vitu kama hivi badala ya kustick kwenye mada haki kuna watu humu michango yangu inawachoma kama visu ndiyo maana wananitemea cheche hata kwa mambo yasiyo ya msingi
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Ha ha haaaaNafurahi kwa majibu hayo ni wazi mnatupeleka motoni.
Mnatushawishi huku mkijua wazi tuna vichwa viwili tusameheni nyie ni ubavu wetu tunaachaje kuwasiliza
Sasa Manga muache kututupia lawama.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Basi atusamehe tu kwa tutakavyomchukulia siyo mbaya mbona mimi humu kuna watu wananichukulia wanavyojua wao na siwakatazi kwani wakinichukulia hivyo ndiyo itabadilisha ukweli?? Nope never!!
 
Hakuna anayetaka 50/50 tunataka mtupumzishe na manyanyaso
Kwani kasema tusikosolewe? Ila nyie mnataka 50/50 ambayo haipo.
50/50 tupeane huku kazini, kumiliki mali, et al sio huku mitaani tunakojenga familia. Huku hakuna 50/50 vote.
 
Huna hoja hapa kujadeal ka kitu ka previous post ni wastage of time
Sisi huwa tuna angali hanzo kwanza ili kutibu tatizo hatuangalii matokeo.

Hii ni tofauti kubwa sana kati yangu na wewe na mfano wako.

Jengo bila msingi imara hakuna jengo. Sasa swali langu liko pale pale,waulize wakubwa wako huwa wanajuaje haki ya mtu ? Kama mnatumia vikao na makongamano na kura ya veto na kampeni lukuki,wewe sema tu ili tukusaidie.
 
Si ndio hapo sasa
Sasa muuzaji na mnunuaji wote ni mala.ya.
Sasa kwanini mnakuwa mnasema vibaya wanaouza na wakati nyie ni loyal customers?
Ni sawa iwe muuza pombe ndio asemwe vibaya na wewe unaonunua pombe unalewa hadi unaanguka kwa mitaro uonekane mjanja.
 
Asubutu huyo hata bure simtaki
Ohoo..kumbe hata yeye amekosea[emoji14][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Karma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...hebu mchukue Kaka yako huku[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Si ndio hapo sasa namwambia adhibitishe "sisi " ni sawa na "Mimi" ameshindwa.
Bibie nikuthibitishie mara ngapi ? Au labda niliyoyathibitisha yalikuzidi uwezo ukawa hujayaelewa ? Maana nilitoa mpaka mfano kwa lugha ya Kiswahili na nikapanisha maandiko nilapata jibu moja.

Hapa naona naandika mambo makubwa kwa watoto wa dogo. Hii ni sawa na kuandika hekima kwa wajinga,lazima wakubishie na wakuone muongo.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]halafu Zurri kashaona watu wanamsikiliza kwa kila kitu anaamua sasa aanze kuwa anawapiga nyundo!!
Wakina nani hao Wananisikiliza kwa kila kitu ? Kama kweli mbona hamtaki niwe wake zangu namba 3 na 4 bado ziko wazi.
 
kitu chochote kikishakua socially acceptable ni ngumu kukiondoa. watu watatafuta tu njia ya kukihalalisha na kukitetea.

ndo mana leo hii utasikia ukioa mkurya usipompiga anaona kama humpendi.
Kazi kweli kweli
 
Basi atusamehe tu kwa tutakavyomchukulia siyo mbaya mbona mimi humu kuna watu wananichukulia wanavyojua wao na siwakatazi kwani wakinichukulia hivyo ndiyo itabadilisha ukweli?? Nope never!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
I konw each and everything Im writing sasa wewe una pick ka neno kamoja Mara ukweli sijui nje ya box heeeh huo ujinga sasa
Lazima turudi kwenye asili na marejeo bibie,na matatizo yenu yana asili na chanzo sasa wenye akili timamu tunaangalia huko mara nyingi wengi huwa wanapuuzia asiki.
 
Back
Top Bottom