The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
CPU mbona nasikia na wewe ni Rais wa MASHAROBAROHapo nilikuwa nawaza tu, nashangaa umenijibu wakati mwenzio nawaza. Haya salamu ni hii
Habari za siku mupenzi FP
Tatizo huyo First Man wa First Lady ni SHAROBARO, sasa anazani kila mwanaume yuko ivo
Hapo nilikuwa nawaza tu, nashangaa umenijibu wakati mwenzio nawaza. Haya salamu ni hii
Habari za siku mupenzi FP
Tatizo huyo First Man wa First Lady ni SHAROBARO, sasa anazani kila mwanaume yuko ivo
Ahaaaa haaaaa ahaaaaa napita tuJibu sahihi ni kuwa, Wanawake walio wengi Are NOT "What You See is What You Get!"
Unapomtongoza unafikiri ni "Cleopatra", akifika kitandani utadhani anasubiri kuingia "Chumba cha Upasuaji"!
Also, wengi wakivua "jeans" na "wigi" utafikiri umekutana na mwendawazimu!
Jibu sahihi ni kuwa, Wanawake walio wengi Are NOT "What You See is What You Get!"
Unapomtongoza unafikiri ni "Cleopatra", akifika kitandani utadhani anasubiri kuingia "Chumba cha Upasuaji"!
Also, wengi wakivua "jeans" na "wigi" utafikiri umekutana na mwendawazimu!
I am fine Kimey.... so sweet of you! So unajua niko home...so unaweza kupitia angalau ukanisalimu! Thanks.
CPU mbona nasikia na wewe ni Rais wa MASHAROBARO
Asante Sam!Alafu jina lako limenikumbusha mbali!Asante kwa hilo pia!
aisee usijihangaishe na kimei ni hasara.anakaa usalule ni porini kuna nyumba moja tu wanayokaa wafanyakazi na bosi wao.maisha yake hayaathiriki na utawala wa kikwete kwani yuko karibu zaidi na wanyama na jiji la dar huliona mara mbili au moja kwa mwaka.kimei ni headache muulize wiselady aisee
Aisee hivi unajua hiyo siksi paki siku hizi ni indikeshen kwamba umekuwa bwabwa?!
Lakin sawa, kama shida yako ni mapaki sita hakuna tabu, ila chunga sana mi sio wa kunilisha chipsi tomato na sauseji mbili
si kasema hajaolewa, mi nahisi anasikiliza hadithi za hao masharobaro
Si kweli bwana!Kuhusu mlo chips wala hutakaa uzione... kitakachokuhusu ni ugali wa ukweli..ule wa kisukuma..nyama na majani!
ur welcome ila hapo kwenye red i hope sio zile ishu za LD!
aisee usijihangaishe na kimei ni hasara.anakaa usalule ni porini kuna nyumba moja tu wanayokaa wafanyakazi na bosi wao.maisha yake hayaathiriki na utawala wa kikwete kwani yuko karibu zaidi na wanyama na jiji la dar huliona mara mbili au moja kwa mwaka.kimei ni headache muulize wiselady aisee
Napenda kuchukua fursa hii kukumbusha kwamba mimi hujanichunguza....
Aiseee, Mkuu usije ukafanya nikakwambia na wewe usinipige picha kama ALI HADAIWIkAKA, Umesahau kwamba uliniomba uwe mwekezaji wa MASHAROBARO?
wewe bana dah!
unamtusi kila mtu sasa!.....
mimi sikubaliani kabisa ngoja nimtumikie mkoloni then nitarudi....
Jibu sahihi ni kuwa, Wanawake walio wengi Are NOT "What You See is What You Get!"
Unapomtongoza unafikiri ni "Cleopatra", akifika kitandani utadhani anasubiri kuingia "Chumba cha Upasuaji"!
Also, wengi wakivua "jeans" na "wigi" utafikiri umekutana na mwendawazimu!
Hapo nilikuwa nawaza tu, nashangaa umenijibu wakati mwenzio nawaza. Haya salamu ni hii
Habari za siku mupenzi FP
Tatizo huyo First Man wa First Lady ni SHAROBARO, sasa anazani kila mwanaume yuko ivo