Hivi ni kwanini wanawake wengi wa kihaya wanaforce mtu kuolewa na flani?

TheForgotten Genious

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2014
Posts
2,087
Reaction score
3,156
Hawa wanawake wa kihaya mimi wiwaelewi,yaana unamkuta mdada anang'ang'ana umuoe ,na hapo hata miezi 2 haijaisha tangu mmejuana,utadhani kuoana ni kama mchongo.

Utamsikia"Mimi nataka kuolewa,natafuta mume anioe tuishi pamoja tu basi,wewe kama vipi nichukue tuishi wote",,bladifakeni kabisa.

Wadada wanaume tunajua nani wakumuoa na kwanini huyo,ukifosi matukio yanakuhusu hapo mbele
 
Wanawake wa kihaya ni wajanja utaoa he mke anae kuzidi akili? Acha wa haya waoane wenyewe kwa wenyewe wanawezana.
 
To yeye hujambo😍
 
😊😊😊😊😍 Hivi wahaya si ndo hawa unaweza kumega kuku na yai lake πŸ€”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…