TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,087
- 3,156
Wanawake wa kihaya ni wajanja utaoa he mke anae kuzidi akili? Acha wa haya waoane wenyewe kwa wenyewe wanawezana.Hawa wanawake wa kihaya mimi wiwaelewi,yaana unamkuta mdada anang'ang'ana umuoe ,na hapo hata miezi 2 haijaisha tangu mmejuana,utadhani kuoana ni kama mchongo.
Utamsikia"Mimi nataka kuolewa,natafuta mume anioe tuishi pamoja tu basi,wewe kama vipi nichukue tuishi wote",,bladifakeni kabisa.
Wadada wanaume tunajua nani wakumuoa na kwanini huyo,ukifosi matukio yanakuhusu hapo mbele
Kwa hiyo hawaolewi kakaWahaya wanaolewa?...we piga hayo maji usepe
Sio kirahisi hivyo,kwanza demu mdomoni maelezo mengi kama anaomba kazi kwa mchinaAbiria chunga mzigo wako anataka ufunge ndoa nae mapema iwe kitu halali
Hao waogope...we kula uacheKwa hiyo hawaolewi kaka
Wajanja kumbeπ π π ?Wanawake wa kihaya ni wajanja utaoa he mke anae kuzidi akili? Acha wa haya waoane wenyewe kwa wenyewe wanawezana.
To yeye hujamboπHawa wanawake wa kihaya mimi wiwaelewi,yaana unamkuta mdada anang'ang'ana umuoe ,na hapo hata miezi 2 haijaisha tangu mmejuana,utadhani kuoana ni kama mchongo.
Utamsikia"Mimi nataka kuolewa,natafuta mume anioe tuishi pamoja tu basi,wewe kama vipi nichukue tuishi wote",,bladifakeni kabisa.
Wadada wanaume tunajua nani wakumuoa na kwanini huyo,ukifosi matukio yanakuhusu hapo mbele
Kazi iendeleeNdoa ni kwa matured and humble person,sisi wahuni tuendelee kuchakata
Aise nilikuwa sijui,sasa mbona wanajinadi sana kama watakatifu?Hao waogope...we kula uache
Wanataka kuweka flash yenye virus kwa computer atiπ πNiko poa,naona wahaya wanazinguaπ€£π
Dah! Ahsante sana,,kwanza hata kudate ndio mara ya kwanza ila dah,Usirogwe kuoa mhaya ni wasumbufu sana
Sasa unatukana au vipi?Chwekamu kuli
πππππ Hivi wahaya si ndo hawa unaweza kumega kuku na yai lake π€Hawa wanawake wa kihaya mimi wiwaelewi,yaana unamkuta mdada anang'ang'ana umuoe ,na hapo hata miezi 2 haijaisha tangu mmejuana,utadhani kuoana ni kama mchongo.
Utamsikia"Mimi nataka kuolewa,natafuta mume anioe tuishi pamoja tu basi,wewe kama vipi nichukue tuishi wote",,bladifakeni kabisa.
Wadada wanaume tunajua nani wakumuoa na kwanini huyo,ukifosi matukio yanakuhusu hapo mbele
π π π wee,apiaa?πππππ Hivi wahaya si ndo hawa unaweza kumega kuku na yai lake π€