Hivi ni kwanini wanawake wengi wa kihaya wanaforce mtu kuolewa na flani?

Hivi ni kwanini wanawake wengi wa kihaya wanaforce mtu kuolewa na flani?

😊😊😊😊😍 Hivi wahaya si ndo hawa unaweza kumega kuku na yai lake 🤔
Hizi kashfa za kipumbavu hata kwenu ukute mama yako alishawahi megwa na binti yake pia. It's personal character sio wahaya tu
 
Woooote.....yaaan woooote mnaokataa jamaa asioe mhaya kwa hoja za ajabu jichunguzeni makabila yenu

Hamna kabisa lisilo na watu wa hivi na vile.Nawajua wamama kibao wa kihaya wakiishi maisha ya utulivu na waume zao.

Kama ulimwendea kwa gia ya kuoa oa!
Kama ulimwendea kwa kuomba upoozwe kwa kipindi flan iyo ungeisisitiza mapema
Utakuta mtu wa kondoa anamsema muhaya [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom