Awiaman ooza
JF-Expert Member
- Mar 25, 2023
- 512
- 866
Ndo hivyk mkuuu😅😅😅wee,apiaa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo hivyk mkuuu😅😅😅wee,apiaa?
Aise nilikuwa sijui,,sasa akiniita "sweet baby" tenq nasema toka pepo,maana jana kaniita nikakausha😅😅Ndo hivyk mkuuu
Sasa bro!muhaya ni level nyingine,hata kama ni choka mbaya,Wanapenda kuwa matawi ya juu,it is inborn thing,loyal blood! Ukitaka wa chapu chapu wa kuoa,fata "niangusage zambi zako"au kule Mtwara,kwa waliofanyiwa unyago,unsshika mkono tuHawa wanawake wa kihaya mimi wiwaelewi,yaana unamkuta mdada anang'ang'ana umuoe ,na hapo hata miezi 2 haijaisha tangu mmejuana,utadhani kuoana ni kama mchongo.
Utamsikia"Mimi nataka kuolewa,natafuta mume anioe tuishi pamoja tu basi,wewe kama vipi nichukue tuishi wote",,bladifakeni kabisa.
Wadada wanaume tunajua nani wakumuoa na kwanini huyo,ukifosi matukio yanakuhusu hapo mbele
Sasa bro!muhaya ni level nyingine,hata kama ni choka mbaya,Wanapenda kuwa matawi ya juu,it is inborn thing,loyal blood! Ukitaka wa chapu chapu wa kuoa,fata "niangusage zambi zako"au kule Mtwara,kwa waliofanyiwa unyago,unsshika mkonishu analazimisha kuolewa sasa na mimi
Sasa bro!muhaya ni level nyingine,hata kama ni choka mbaya,Wanapenda kuwa matawi ya juu,it is inborn thing,loyal blood! Ukitaka wa chapu chapu wa kuoa,fata "niangusage zambi zako"au kule Mtwara,kwa waliofanyiwa unyago,unsshika mkono tuIshu analazimisha kuolewa na mimi sasaSasa bro!muhaya ni level nyingine,hata kama ni choka mbaya,Wanapenda kuwa matawi ya juu,it is inborn thing,loyal blood! Ukitaka wa chapu chapu wa kuoa,fata "niangusage zambi zako"au kule Mtwara,kwa waliofanyiwa unyago,unsshika mkono tu
😆😆😆 Nimecheka kifala aisee duuhkwanza demu mdomoni maelezo mengi kama anaomba kazi kwa mchina
Dah! Ahsante sana,,kwanza hata kudate ndio mara ya kwanza ila dah,
Pentamycin na wewe mkeo ni mhaya?Usirogwe kuoa mhaya ni wasumbufu sana
Kwani samaki mmoja akioza si wote wameozaUshasema kudate ndo mara yako ya kwanza… hao wanawake wa kihaya umewamaliza mpaka uje na hoja yako? Tabia za huyo mmoja umejumuisha kwa wote
Oyaa mkuu nini hiki?Chwekamu kuli
Sawa na wale wasingidaKwani samaki mmoja akioza si wote wameoza
Hata mwenyewe sijamuelewa au ni kihaya😅😅Oyaa mkuu nini hiki?
Au kihindi emu jaribu kugoogle tuone,Hata mwenyewe sijamuelewa au ni kihaya😅😅
😅😅😅😆😆😆 Nimecheka kifala aisee duuh
Hakuna lolote.Wadada wanaume tunajua nani wakumuoa na kwanini huyo,ukifosi matukio yanakuhusu hapo mbele
Ah!! Wapiiii,ni usikute tu,a wife material is recognisableHakuna lolote.
Kuna wengi wanaoa ambako hata hawakutarajia, wanabaki kujuta. Usikute huyo anayekuforce ndo mke mwema!
Mwanamke maneno mengi kama Baba LevoAh!! Wapiiii,ni usikute tu,a wife material is recognisable