Hivi ni kwanini Zanzibar haijawahi kutawaliwa na Rais Mkristo na ni sehemu ya Tanzania?

Ukweli ndiyo huo Zanzibar ni Islamic State.
 
Anayeutaka URais huwa anaomba kwanza ateuliwe kwa kupigiwa kura na wajumbe wa chama chake !! Kama akishindwa kwenye hizo kura atawezaje kuteuliwa kugombea URais ?!
 
Mumen'gan'ganaaaaa na inchi ya watu, wenyewe hawataki kuwa wazungu kwani lazimaaa? Si unajua tena michezo ya kizunguuu😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hata Tanzania haijawahi kutawaliwa na mtu kutoka kaskazini wala muumini wa KKKT
 
Haya mambo watu tunayajua tangu tukiwa shule ya msingi sasa inashangaza mtu anahoji kwanini mtu kutoka bara hawezi kuwa rais Zanzibar, hivi mlipita shuleni kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…