Fundi mahiri wa ujenzi
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 4,159
- 2,844
Kuna mahali umetokea ugomvi kisa alama za viganja vya mtoto havifanani na baba ake.
Je, kuna ukweli wowote wa hilo jambo?
Je, kuna ukweli wowote wa hilo jambo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja wajeKuna mahali umetokea ugomvi kisa alama za viganja vya mtoto havifanani na baba ake.
Je, kuna ukweli wowote wa hilo jambo?
Ni imani tu hizo mkuu.Kuna mahali umetokea ugomvi kisa alama za viganja vya mtoto havifanani na baba ake.
Je, kuna ukweli wowote wa hilo jambo?
Si kweli. Kama unesoma genetics hilo ndio ninsuala la urithi mtoto akirithi sinlazima acopy exactly mama ama baba so kuna bi element anaweza chukua bilivyojificha kwa kati ya wazazi wawili . Jifunze crossing za geneticsKuna mahali umetokea ugomvi kisa alama za viganja vya mtoto havifanani na baba ake.
Je, kuna ukweli wowote wa hilo jambo?
Apo lazima ashtuke kujirizisha anatakiwa aangalie na vingine kama wanafananatayari huko mke wa mtu keshachepushwa na muhuni.
Bora Umemwambia ukweli..Sio viganja tu mpaka sura mtoto lazima afanane na baba take kwa 80 nje ya hapo unakuwa umepigwa
Hapa naona kuna mtu kashapigwa. "Fear woman"Kuna mahali umetokea ugomvi kisa alama za viganja vya mtoto havifanani na baba ake.
Je, kuna ukweli wowote wa hilo jambo?
Pole sana ndugu ndiyo ukubwa😀Kuna mahali umetokea ugomvi kisa alama za viganja vya mtoto havifanani na baba ake.
Je, kuna ukweli wowote wa hilo jambo?
Ukitafiti hayo hutokaa na familiaKuna mahali umetokea ugomvi kisa alama za viganja vya mtoto havifanani na baba ake.
Je, kuna ukweli wowote wa hilo jambo?
Mtoto lazima awe na kundi la baba au mama au linalofanania mfano mama O baba O mtoto nae atakua O kwa ninavyojua Mimi lkn ngoja wajuz Zaid wajeNi imani tu hizo mkuu.
Ni sawa na wengine kudhani eti watoto lazima wafanane kundi la damu na baba yao.
Kuhusu alama, waweza kufanana ama wasifanane, kwa sababu mtoto hukata kote kote, kwa ubabani na kwa umamani.