Hivi ni kweli ile Ikulu ya Dar Magogoni ulikuwa msikiti zama hizo?

Hivi ni kweli ile Ikulu ya Dar Magogoni ulikuwa msikiti zama hizo?

Nilijumuika siku moja nje ya nyumba ya ibada nikawa naondoa uchovu kwa kupiga vikombe viwili vitatu vya kahawa pakawa na story inaendelea kuhusu miaka ya mwanzo ya nchi yetu nikasikia mtu mmoja akihanikiza kwa sauti ya jazba kwamba rais wetu wa kwanza aliibatiza hii nchi.

Inawezekana ikawa kweli labda huyu rais aligeuza msikiti kuwa ikulu ikiwa aliweza kulipiga maji taifa zima angeshindwaje jambo dogo kama hilo?
BORA ALIVOIBATIZA....MAANA BILA HIVYO TUNGEKUWA KAMA SUDAN
 
watu ni wapumbavu wanaweza kusema chochote, nawe tumia akili kuna msikiti wa namna ile? Wajerumani wajenge msikiti? Stori za kipumbavu za kijiweni zilizojaa uzushi.
Umepaniki?,kuuliza ni dhambi?,ungeweza nielewesha bila jazba mkuu, tunatofautiana kipaji cha kupambanua mambo
 
kwahiyo unataka kusema sehemu ile ilipokuwa Islamic center ilikuwa na majengo yoote ya ikulu! Au ocean Road hospital ilipokuwa chini ya Ssewahaji ilikuwa na majengo yoote kama yalivyo sasa! Wacha udini mshikaji!

haliwezi kurudi mzee mkawadai Wajerumani! Kama ardhi mlipewa Mnazi mmoja na Nyerere mkampa Msomali kujenga supermarket!

We jamaa sijui unatumia nini kufikiria [emoji848]
Yani eneo liwe la waislam au wakristo,
Hata kuwe na miti mingii au jangwa tuu,
Yani kusiwe na chochote akaja muislam au mkriato tena akaanza ujenzi na kujimilikisha eneo,
Hainadirishi chochote kuwa eneo sio lake,
Ikifika hatua mwenye eneo (yule mmiliki halali wa kwanza anatakiwa apewe eneo lake)
Hatutaangalia kulikuwa na nini na hakukuwa na nini,
Atamilikishwa na vyote vilivyopo,
Pia kwa mida ambao mwenye eneo hakuwa akilimiliki mpaka sasa ukisema wapige hesabu za ukodishwaji unaweza kukuta hiyo ikulu haina thamani tena na wanapaswa kulipa pesa zaidi,
Kwahiyo kwenye haya tuache tuu yapite,
Na tusiombe kabisa vuguvugu la madai lisitokee maana hali inaweza kuwa mbaya sana kuliko tunavyodhani,
Kwasababu kwa ufatiliaji wangu mdogo tuu nilionao nimegundua kuna mali nyingi sana za waislam zilitaifishwa na kumilikiwa hasa na serikali,
Za wakristo pia zipo lakini bahati nzuri nyingi na muhimu zilirudishwa muda mrefu tuu,
Sasa hapa cha kuomba ni kilakitu kiendelee kama kilivyo tukianza tena kugombaniana Muhimbili mara ikulu nadhani itakuwa shida sana,
Maeneo mengi pia hapo kabla yalikuwa ni vyuo vichache vya waislamu kule Songea badae vyuo vikafa ghafra mara zikaibuka kuwa ofisi za chama fulani,
Kwahyo unaweza kukuta ndani kwa ndani kunamwngi sana ambayo hatuyajui kwahyo tushukuru Mungu kwa tulichonacho tusonge mbele [emoji120][emoji1241][emoji1241][emoji1241]
 
Nilijumuika siku moja nje ya nyumba ya ibada nikawa naondoa uchovu kwa kupiga vikombe viwili vitatu vya kahawa pakawa na story inaendelea kuhusu miaka ya mwanzo ya nchi yetu nikasikia mtu mmoja akihanikiza kwa sauti ya jazba kwamba rais wetu wa kwanza aliibatiza hii nchi.

Inawezekana ikawa kweli labda huyu rais aligeuza msikiti kuwa ikulu ikiwa aliweza kulipiga maji taifa zima angeshindwaje jambo dogo kama hilo?
Ikulu imekuwepo hapo hata kabla rais wa kwanza ajazaliwa
 
Kin...
Si kazi ya Rais Muislam kushughulika na mambo ya Waislam.
Rais yuko pale kuwashughulikia wananchi wa imani zote.

Au una hofu Rais ambae si Muislam haweze kuwafanyia Waislam uadilifu?

Kama Waislam kudai vitu kwa nini husemi wadai kiwanja walipojenga ofisi ya African Association ambako leo kuna Ofisi Ndogo ya CCM?

Au kwa nini wasidai jengo la Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika ambalo leo linamilikiwa na serikali?

Au kwa nini wasijdai mali za EAMWS?

Kama kudai Waislam wana mengi ya kudai katika historia ya uhuru wa Tanganyika katika hali na mali.

Unataka Waislam wadai hadi ihsani zao?

View attachment 2629964
Hili ni Jengo la Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika lililojengwa mwaka wa 1936 kama shule kwa ajili ya watoto wa Kiislam Al Jamiatul Islamiyya Muslim School leo ni Shule ya Msingi ya Lumumba.​
Mashallah upo vizuri mzee wetu Sheikh Mohamed

Nasikia hata hilo jina la mkoa "Dar es Salaam" sio la kwake, bali ni Daarussalaam! Majahili wakaja kubadilisha na kupachika la kwao ambalo halina maana yoyote.
 
Back
Top Bottom