Hivi ni kweli kileleni mwa mlima Kilimanjaro kuna shimo?

Huna hoja wewe zaidi ya matusi.... Tatizo unahis Kilimanjaro umepanda peke yako ..tumepanda Kilimanjaro last japa atukufika kileleni tulielekezwa mambo mengi.. Na kuna baadhi ya vitu ulivyoandika sio kweli mkuu faiza


Naona huna hoja kuhusu Kilimanjaro sasa unanitafuta binafsi..

Nahisi hata nnachokiandika hukielewi ndiyo maana unaona uchi tu.

Sikushangai, ndiyo wale wale mliofundishwa shule hayajawaingia kwa kuwa tu shule ulienda kusomea ujinga.
 
Huna hoja wewe zaidi ya matusi.... Tatizo unahis Kilimanjaro umepanda peke yako ..tumepanda Kilimanjaro last japa atukufika kileleni tulielekezwa mambo mengi.. Na kuna baadhi ya vitu ulivyoandika sio kweli mkuu faiza

Wacha porojo, andika kimoja nikichoandika ambacho si kweli.

Sema una donge tu.
 
Dah mkuu ngojea nitafute watu watano wakupanda July mwishoni hivi au jaman wadau ambao hapa kwenye huu Uzi tunaoweza kujiorganize kwa bajeti ya laki mbili mpaka 250000 mwishoni mwa July embu tudiscuss kama itawezekana
 
Dah mkuu ngojea nitafute watu watano wakupanda July mwishoni hivi au jaman wadau ambao hapa kwenye huu Uzi tunaoweza kujiorganize kwa bajeti ya laki mbili mpaka 250000 mwishoni mwa July embu tudiscuss kama itawezekana
meney9 karibu sana Kilimanjaro. ila ningependa kukujulisha kua july nafasi itakua haba sana kwangu mkuu. ningeomba kama mtajiandaa pole pole mpaka mwezi wa 10 tunaweza kufanya jambo zuri zaidi ndugu yangu. samahani sana kwa hilo ndugu yangu. nakuahidi mtakapokua tayari mnijulishe ili niweze kuangalia nitawasiliana vipi na Kilimanjaro national park kwaajili ya hiyo trip na kuifanya kua nzuri zaidi.pia ningependekeza kutumia njia ya marangu ili kupunguza garama kwani camping ni garama zaidi! kwa marangu kuna (hut ) kama hostel. pia mwezi wa 10 hakuna u busy wa wageni, hii itafanya wale watakaopenda kujumuika kufurahia zaidi kwa kupata privacy tofauti na wakati mwingine. asante
 
Dah mkuu ngojea nitafute watu watano wakupanda July mwishoni hivi au jaman wadau ambao hapa kwenye huu Uzi tunaoweza kujiorganize kwa bajeti ya laki mbili mpaka 250000 mwishoni mwa July embu tudiscuss kama itawezekana
pia waweza kuja inbox tukapeana mawasiliano kwani wapo pia ambao wamejitokeza na wanahitaji kwenda. so inawezekana tukafanya jambo zuri zaidi na kwa upana zaidi.asante
 
Ukweli hapa ndo huwa napata taabu sana kujua hivi toka Dunia iwepo hadi Leo ni miaka mingapi?? Wengine miaka Elf6 6000yrs na wengine million 3, wewe hapa umesema Mlipuko wa volcano ktk mlima kilimanjaro ni mika milioni 2 iliyopita hebu tuwekane sawa
Ukweli hapa ndo huwa napata taabu sana kujua hivi toka Dunia iwepo hadi Leo ni miaka mingapi?? Wengine miaka Elf6 6000yrs na wengine million 3, wewe hapa umesema Mlipuko wa volcano ktk
 
Dah mkuu ngojea nitafute watu watano wakupanda July mwishoni hivi au jaman wadau ambao hapa kwenye huu Uzi tunaoweza kujiorganize kwa bajeti ya laki mbili mpaka 250000 mwishoni mwa July embu tudiscuss kama itawezekana
Kuna kipindi kiwatengu alikuwa anaorganize hicho kitu sijui waliishia wapi. Mnaopenda mnaweza tu wakaorganize mkaenda.
 
Mkuu hizi eruption wakati zinatokea kullikiwa Kuna maisha ambayo tunayaita primitive life (Zinja thropus) ndiyo maana oldupai inatupa ushahidi huo, kipindi hicho kilikuwa na eruption ukanda wote huo kuanzia bonde la Ufa, ngorongoro crater, Kilimanjaro, nk.......... Hizi eruption na collapse, zilitokea wakati mmoja ( inakadiriwa) so mkuu unachowaza ni wakati wa homo sapiens sapiens ndio hata maandishi yaligunfulika, hapo ndio ustaarabu ulianza ndio tunasema Dunia ilianzia ila maisha yako Muda mrefu Sana
 
Mkuu donge la nini faiza. Mi ukiandika ukweli huwa nakupa sharaut but ukipotosha lzm turekebishane
Mbona huoneshi hicho nilichoandika ambacho ulidai siyo ukweli?

Sitaki porojo mimi, weka nikichoandika humu ambacho unakiona si kweli kama ulivyodai.
 
Umeelezea vizuri boss
 
Sio kweli, washaelezea vizuri hilo humu. Watu washafika.
Uongo uko wapi sasa hapo?...alowahi kulisogelea shimo mithiri ya kuchungulia aje atoe ushuhuda hapa na atueleze nani alimruhusu kufanya hivyo na kama aliingia kwenye shimo atueleze alitokaje na mazingira ya mule yakoje?
Usipende kukurupuka mkuu.
 

Uongo uko wapi sasa hapo?...alowahi kulisogelea shimo mithiri ya kuchungulia aje atoe ushuhuda hapa na atueleze nani alimruhusu kufanya hivyo na kama aliingia kwenye shimo atueleze alitokaje na mazingira ya mule yakoje?
Usipende kukurupuka mkuu.
 
anhaa!ndio kuna shimo kubwa sana na ndani kabisa kuna mifupa ya Lucifer,alitupwa huko zamani sana!na kama hujui bustani ya Eden ilikuwa pale Uchira na Kiboriloni!

🙂 🙂
Kumbe lucifer is no more!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…