Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Huyo aliishia getini.Naibu Spika Da' Tulia Ackson, wiki chache zilizopita aliongoza msafara wa kwenda huko, ngoja nimpigie nimuulize nitakupa mrejesho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo aliishia getini.Naibu Spika Da' Tulia Ackson, wiki chache zilizopita aliongoza msafara wa kwenda huko, ngoja nimpigie nimuulize nitakupa mrejesho
Kumbe duuh we jamaa unawaza kilele gani?Mi navyojua kila panapotokea "kilele" lazima pawe na "shimo"
Mkuu uliwahi kuupanda mlimaNnachokifaham, pale kileleni kwenye usawa wa juu kabisa wa mlima, hakuna shimo eneo hilo isipokua
unaweza kuona kwa mbali duara eneo lililopo hilo unaloliita shimo, ni njia ambayo ule ujiuji ulitokea hapo kutoka ardhini wakati wa volcano, ni kama kidonda kilichopona lakini hakikufunga, kuna uwazi. Nilitamani sana kwenda karibu na hilo eneo ila nilichoka mno hata kufika Uhuru peak ilikua bahati.
Hayo ya maji ya moto watakuja wataalam.
Shimoni ndo kuna kilele..............au kileleni ndo shimo........? nauliza tu
Hahahhah, mie nilidhani ametoboa, hahahahahahahHuyo aliishia getini.
Alifika kileleni?Naibu Spika Da' Tulia Ackson, wiki chache zilizopita aliongoza msafara wa kwenda huko, ngoja nimpigie nimuulize nitakupa mrejesho
Huyo aliishia getini.
hahahhah, mie nilidhani ametoboa, hahahahahahah
Alifika kileleni?
Mmmh mlima wa volcano ule.siku ikilipuka ndo utajua kama kuna tatizo au la.Shimo Lipo panaitwa kreta hapana tatizo lolote ila baridi Kali sana
Mkuu una mpango wa kujiua ?itakuaje nikizama kwenye hilo shimo la mlima, inamaana ndio nitadumbukia hadi chini kabisa ya mlima ground zero
Ndege gani hiyo??Acha kujibu kama unajua sana ile ndege ilonasa hapo ilivutwa na nini
Ndiooooo.si unajua dunia duara.itakuaje nikizama kwenye hilo shimo la mlima, inamaana ndio nitadumbukia hadi chini kabisa ya mlima ground zero
Unavutwa na kunasa wapi??
Hutumii Hata akili ndogo ya kujiuliza waliofika kilele cha mlima mbona walirudi salama!!
Kuna kani ya mvutano.inaweza kuvutwa.kama kwenye bahari tunasema kwenye mkondo.kama nungwi ilipo vutwa mv spice.wanasemaga pia ndege hazipiti eneo hilo