Hivi ni kweli kileleni mwa mlima Kilimanjaro kuna shimo?

Unavutwa na kunasa wapi??
Hutumii Hata akili ndogo ya kujiuliza waliofika kilele cha mlima mbona walirudi salama!!
Acha kujibu kama unajua sana ile ndege ilonasa hapo ilivutwa na nini
 
Mkuu uliwahi kuupanda mlima
 
Acha kujibu kama unajua sana ile ndege ilonasa hapo ilivutwa na nini
Ndege gani hiyo??
Lini?? Na mwaka gani?? Weka picha. No evidence no right to speak.
Na unavosema ilivutwa means kuna kani kama ya sumaku, wangapi wamefika na kuvutwa na kupotelea huko??
Usijitie baraka kujua kumbe ni kama mimi tu
 
itakuaje nikizama kwenye hilo shimo la mlima, inamaana ndio nitadumbukia hadi chini kabisa ya mlima ground zero
Ndiooooo.si unajua dunia duara.
Na vilcano ni uji uji wa moto uliopo katikati ya dunia.ile ni njia yake.
 
Nina wasiwasi na wa stendi inawezekana katumia tafsida mfu kufikisha ujumbe wake kwa jamii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…