Natumia african chemistry kurudisha line zilizopotea zikiwa na bundle la mweziii.we ni wakala wa kusajili sim card za mitandao ya simueee, umeanza lini uganga ๐
Ndiyo....vya Mungu havina mashartikuna vitu viko wazi kabisa na mtu anaweza akawa na ufahamu na uelewa wa kutosha kwamba faida za jambo hili zinaambatana na utumwa wa masharti magumu na ya fedheha sana, yasiyo kupa amani, Lakini pia manufaa yake ni ya muda tu ๐
si afadhali umtegemee Mungu na ufaidike na kufurahia atakachokujaali kwa amani maisha yako yote mpaka siki ya mwisho๐
nani kakwambiaNdiyo....vya Mungu havina masharti
Ipo mkuu, mimi kitambo niliwahi kupewa moja hivi ya kisukuma nikakinuia dada moja hivi kutoka kaskazini, kesho yake ofisini ilikuwa ni ๐ฅ ๐ฅ ๐ฅ ๐ฅ ๐ฅkwamba eti kuna mganga wa kienyeji mahali Fulani, anaweza kumrudisha mpenzi wako alie potea au kukutoroka au kukufanya upendwe sana na boss wako ofisini au akupe dawa ya kupandishwa cheo kazini?
Au akupe dawa ya mvuto wa kimapenzi?๐
vipi ndugu, uliwahi kujaribu kupitia njia hii na vipi matokeo yalionekana? nini kilikuchochea ๐
hii inamaanisha,Page ya nne hakuna jibu la wazi, location wala namba za mganga mwenye dawa za mapenzi.....wanajf hebu tuweni serious basi.
Dah mheshimiwa, ujue watu wengi wanamake kupitia waganga wao halafu hawawapi compliments.....hii inamaanisha,
Mungu Yupo na ndie anae aminiwa na kutegemewa zaidi na JF fraternity wengi kuliko sangoma๐
dawa rahisi na ya bure kabisaa ni kumuamini Mungu tu๐Dah mheshimiwa, ujue watu wengi wanamake kupitia waganga wao halafu hawawapi compliments.....
Tupeni dawa ya mapenzi๐ฅน
Vp waweza saidia jinsi ya kuipataIpo mkuu, mimi kitambo niliwahi kupewa moja hivi ya kisukuma nikakinuia dada moja hivi kutoka kaskazini, kesho yake ofisini ilikuwa ni ๐ฅ ๐ฅ ๐ฅ ๐ฅ ๐ฅ
To be continued
Kwa sasa siwezi mkuu, sina mawasiliano na jamaa aliyenipaVp waweza saidia jinsi ya kuipata
Dawa ya kumrudisha mpenzi ni simu moja tu, kesho yupo mlangonikwamba eti kuna mganga wa kienyeji mahali Fulani, anaweza kumrudisha mpenzi wako alie potea au kukutoroka au kukufanya upendwe sana na boss wako ofisini au akupe dawa ya kupandishwa cheo kazini?
Au akupe dawa ya mvuto wa kimapenzi?๐
vipi ndugu, uliwahi kujaribu kupitia njia hii na vipi matokeo yalionekana? nini kilikuchochea ๐
Vipi mkuu hebu ongezea nyama inakuaje hii?Dawa ya kumrudisha mpenzi ni simu moja tu, kesho yupo mlangoni
Ila itategemea mlikuwa mnaishi vipi hapo kabla ya kugombana na ulimkoleza vipi.