Hivi ni kweli kuna maisha baada ya kifo?

Taja sehemu ambayo Dwarn ameelezea orgin of species huwez sema evolution bila kutaja
orgin of species.
 
Daaah nimejikuta nakosa nguvu kabisa, ina maana kubishana kote huko kuhusu darwin kumbe hata vitabu vyake hujawahi kuvisoma?
Hicho kitabu nimekutajia toka mwanzo hakuna sehemu ameelezea orgin mkuu.
kama ipo taja ukurasa wa ngap.
 
Taja kwenye hicho kitabu wapi ametaja orgin of spicies ukurasa upi?
Kitabu kinaitwa The Origin Of Species, halafu kimeelezea kwa mtiririko kuanzia mwanzo mpaka mwisho, hakuna mada nyingine kwenye hicho kitabu nje na origin of species iliyoongelewa humo, sasa wewe unauliza ukurasa upi kwa mantiki ipi?
 
Kitabu kinaitwa The Origin Of Species, halafu kimeelezea kwa mtiririko kuanzia mwanzo mpaka mwisho, hakuna mada nyingine kwenye hicho kitabu nje na origin of species iliyoongelewa humo, sasa wewe unauliza ukurasa upi kwa mantiki ipi?
Kijana kwenye comment yangu ya kwanza kabisa ulipomtaja Dwarn nilikueleza
kuwa hakuna kitu kama hicho bali ni namna gani viumbe vina mantain consisteny.
Niambie kwenye kitabu hicho Dwarni ameelezea viumbe walitokea tokea vipi?
 
Kuna maisha mengine baada ya haya ya duniani. Lakini kwa aliefanya matendo mema hapa duniani ndiyo atafuzu na kuiona pepo,,,,sharti uwe muislamu pekee na siyo kafiri.
 
Hicho kitabu nimekutajia toka mwanzo hakuna sehemu ameelezea orgin mkuu.
kama ipo taja ukurasa wa ngap.
Pengine una tafsiri yako ya kipekee inayoelezea origin of species na ndio maana kwa mtazamo wako unasema Darwin hajaelezea

Umeomba ukurasa, haya nakupa kasome kuanzia ukurasa wa 8-63

Lakini pia nakukumbusha tena kua mpaka sasa bado hujaniwekea uthibitisho wowote kwamba wanasayansi walipinga theory ya darwin kwasababu haikueleza origin of species
 
Kijana kwenye comment yangu ya kwanza kabisa ulipomtaja Dwarn nilikueleza
kuwa hakuna kitu kama hicho bali ni namna gani viumbe vina mantain consisteny.
Niambie kwenye kitabu hicho Dwarni ameelezea viumbe walitokea tokea vipi?
Nipe maana yako unayoikubali wewe kuhusu origin of species

Na niambie hivyo vitu ambavyo unasema havijaelezwa kwenye hiyo theory ni wapi vimeelezwa kwene vyanzo vingine?
 
Nimekuuliza amesema species walitokea tokea vipi acha uswahili kuwa rational kamaunavyo dai.
Uthibitisho kuwa ilikuwa rejected ni kutokukubaliwa.
 
Nipe maana yako unayoikubali wewe kuhusu origin of species

Na niambie hivyo vitu ambavyo unasema havijaelezwa kwenye hiyo theory ni wapi vimeelezwa kwene vyanzo vingine?
Wewe ni mtalaam wa kukwepa maswali..
Hivi umesema imekubaliwa na wanasayansi ulikuwa unamaanisha
wanasansi gani?
Orgin of species Dwarn amesema walitokea tokea vipi kuwa rational kama unavyodai.
 
Wewe ni mtalaam wa kukwepa maswali..
Hivi umesema imekubaliwa na wanasayansi ulikuwa unamaanisha
wanasansi gani?
Orgin of species Dwarn amesema walitokea tokea vipi kuwa rational kama unavyodai.
Mwanzo kabisa niliandika kua wanasayansi wanakubali hoja sio kwasababu imeletwa na mtu smart, bali kulingana na evidence ambayo ipo mezani inayo support madai yake, na ndio maana sayansi haisemi evolution ni kweli kwasababu Darwin kasema ni kweli bali kulingana na uthibitisho ambao upo na una support hoja zake

Kupitia fossil record, biogeography, comparative anatomy, comparative embryology, na molecular biology hivyo zote ni evidence zinazo support theory hiyo

Nataka unipe huo uthibitisho wako unaonesha wanasayansi wali reject hiyo theory kwasababu haijaeleza origin of species
 
Kutokukubaliwa ndio kuwa rejected hueweli hicho?
Kama unaweza nioneshe waloikubali acha uswahili mkuu.
 
Acha harama ukifa utajua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…