Hivi ni kweli kuna maisha baada ya kifo?

Hivi ni kweli kuna maisha baada ya kifo?

Uko sahihi mkuu, maisha Baada ya kifo yapo sehemu mbili,kwa wenye Dhambi huenda kusubiri hukumu,kwa watakatifu huenda Peponi, yaani sehemu nzuri mno kuliko sehemu yoyote Duniani.
Japokuwa ni wanadamu tumejaa ujuaji wa kila aina,huo ndo ukweli wenyewe
Maisha ya Roho Yalikuwepo,yapo na yatakuwepo.

Dini ni tool ya kukusaidia kujitambua.

Haihusiki sana.

Roho ilitamani kuwa kama ulivyo sasa...

Ikaji-manifest kuwa kama ulivyo.

Lazima kila mtu ana Mission na Vision katika hali ya MWILI...

Tatizo hutokea kwamba MWANADAMU ANASAHAU KILICHOMLETA...

Wengine wanabahati ya kukumbuka mapema sana mpango wao wa uwepo wao hapa Duniani...na ndipo wanafanikiwa sana...

Wengi wanasahau especially kwa ajili ya Mazingira waliyozaliwa...

Mapokeo ya jamii inayowapokea tangu wamezaliwa...

Then wanapita Njia ngumu ktk kutafuta WITO...au kutambua KIPAJI....

EVENTUALLY Mwili unachakaa na unaiacha Roho inaenda Kwenye Maisha mengine iliyotamani kuishi...

EVOLUTION of desire of the Spirit.

Moto ni SUFFERING OF THE BAD DEEDS IN CONNECTION TO ATTACHED OTHER SOULS....

Maana yake ikiwa ulimuibia mtu...akakufahamu...ataku-hold Kwenye moyo wake na kukunenea mabaya...

Maneno mabaya au Mazuri yanatafsiriwa na Roho...

Roho inahisi machungu ya Roho iliyoshikamana nayo ikiwa inasemwa vibaya....

Nakadhalika.

Mtu akidhani UKIFA NDO IMETOKA...Then ni sawa na mtu aliyepotele Msitu wa Amazon...

Ulizaliwa lakini huku Enjoy Maisha kwa sababu hukujitambua....

Unapotea...but haijalishi...utapata tena fursa nyingine...

Hata kama ni miaka 400.

Kumbuka.

Miaka 1000 ya Mwanadamu ni sawa na siku moja ya Mungu....
 
Ndo hujui kitu kabisa. Maisha ni jinsi system ya mwili inafanya kazi. Maisha ni vital organs zinavyofavya kazi kwa kutegemeana. Moyo ukisimama,mapafu yasipofanya kazi basi ubongo unakosa O2 na hapo unakufa maana mifumo ya fahamu inakufa. Huwezi tenganisha mwili na organs zake na maisha. Nafikiri unahitaji shule ya mwili wa bidamu unavyofanya kazi.
Sio kweli kwamba sijui kitu kabisa. Nafahamu vizuri kisayansi juu ya mfumo wa mwili wa binadamu na viungo vyake (i.e vital organs). Mwili wa binadamu una vital organs 11 na pia nafahamu utendaji kazi wa kila organ. Katika hili sihitaji shule, kinachohitajika ni kujadili pale tunapotofautina uelewa wetu juu ya maisha baada ya kifo.

Binadamu hupoteza maisha baada ya kifo. Ndiyo maana daktari huthibitisha kwanza uhai ndani ya mwili wa mtu aliyekufa kabla ya mazishi. Akithibitisha kuwa sio hai, basi uhai ndani yake haupo tena
Uhai umejitenga na mwili. Uhai ukijitenga, hubaki mwili unaozikwa na huoza kaburini. Uhai hautazikwa kwa kuwa haupo ndani ya mwili uliokufa. Uhai umejitenga na umetoweka. Hatuziki uhai bali tunazika mwili ambo hauna uhai.

Ndio maana nasema kuna maisha baada ya kifo kwa sababu uhai haumo katika nwili wa mtu aliyekufa. Uhai hauzikwi na mwili bali umetoweka.

Wanasayansi wameshindwa kujua uhai unaenda wapi baada ya kifo. Ni kawaida ya mwanasayansi kudhani jambo fulani halipo anaposhindwa kuthibitisha uwepo wa jambo husika. Kwa mfano: sayansi inasema Mungu hayupo, shetani hayupo au wachawi hawapo kwa sababu ya kushindwa kuthibitisha.
Kwa kutumia akili ya kawaida tu, je, ni kweli Mungu hayupo? Shetani hayupo? Wachawi hawapo?

Bado nasisitiza, kuna maisha baada kifo ila tunashindwa kuthibitisha.
 
Ukifa habari inaishia hapo, sijui kwa nini watu weupe walituletea huu upuuzi na sisi tukaubeba kama ulivyo.
Hata watu weupe walipokuja, waliwakuta watu weusi wanatambua uwepo wa maisha baada ya kifo.
 
Naona wengi wetu humu tunahoji haya mambo kimasihara zaidi,lakini niseme tu kwa sababu organs zetu ziko normal tunatembea na tunapumua afya iko vzr tunafurahi Lakini kwa hakika ni kwamba KUZUNGUMZIA KIFO NI JAMBO MOJA NA KUKIKARIBIA KIFO NI JAMBO JINGINE NA KUFA KWENYEWE NI JAMBO JINGINE KABISA..nikupe idea moja hv kama unataka kuyaamini haya mambo ya baada ya kufa.

Mfano 1:
Kumbuka siku ambayo ulilala na mwenzio kitandani kisha usiku ukaanza KUOTA unakimbizwa na simba,wakati wewe unajitahidi kupambana unakimbia huku na huko,unaruka mdimbwi unaruka visiki unakimbia maporini ili simba asikukamate,wakati ndoto inaendela wewe presha ipo juu unaona kabisa hapa nitakamatwa nitaliwa na simba,Wakati Simba anakukmbiza huku upande wa pili wa mwenzio ANAKUONA WEWE UMELALA NA UMEJIFUNIKA SHUKA UNAKOROMA hajui chochote unachopitia kwa muda huo,lakini wewe kiuhalisia upp kwenye MAPAMBANO MAZITO ili ujinasue kuliwa na Simba na wala huna habari kabisa kwamba UPO NYUMBANI KWAKO NA UMELALA KITANDANI NA MWENZIO.
huu ndiyo mfano wa mteso anayoyapata ROHO ya mtenda maovu akiwa amekufa.

Mfano 2:
Kwa wanaume mtanielewa zaidi,
Hebu vuta picha siku ile ulipolala kitandani pekeako afu usiku ukaanza kuota upo bar umemtongoza demu kisha mkaenda sehemu hivi kustarehe sana tu mkala na kunywa sana tu na mwisho mkaenda sehemu hv kufanya ngono,umefanya ngono na msichana huyo mpaka ukafika kileleni kisha baadae unashtuka unaamka na boxer pia imeshaloa.....Hivi kwenye hzo starehe zote ulizofanya unadhani ni kweli KIMWILI ulikuwepo hayo maeneo na huyo binti?
Huu ndiyo mfano wa mtu mwema anavyopata starehe akiwa upande wa pili wa uhai huu wa Dunia(akifa)
Huo mfano wako wa kwanza naona umeconclude kabisa kwa uhakika,vp umejuaje kama mtu akifa ndio anavyohisi hivyo??
 
Ukipekua pekua sana inasemekana nasema inasemekana kwa sababu sijawahi shuhudia kuna watu wana uwezo wa kutoka kwenye miili yao na kurudi tena kwa maana hiyo huu mwili ndiyo utaoza na kuwa udongo tena ila roho itaishi sasa inaishi vipi na wapi
Astral projection/deep meditation/out of body experience/dreams. Vitu kama hivyo vinatupa ushahidi kuwa roho(conciousness) inawezakuachana na mwili na bado ikaendelea kufanya yake. Inaenda wapi ikichoka au ikihitaji physical body endapo body yake ya awali imeshaoza ndipo swali linakuwa gumu na majibu yake ni ya kubuni tuu. Binafsi naona starting point ni pale maisha yanapoanza(life form euphoric). Kuanzia kiumbe kinapotungwa, yamkini uhai upo katika kila chembechembe ya mwili wa kiumbe. Hivyo mwanao unayemzaa ni kama unakuwa umemgawia uhai kupitia sperm cells.
Tukienda na logic hiyo, nakuja kufikia tamati kuwa uhai tulionao ni mmoja tuu(chanzo ni kimoja) hivyo miili yetu hii ya nyama inabeba uhai mmoja ambao uligawanywa mara nyingi sana(tuseme particles) kwa kila mmija wetu na miili inapokufa, ule uhai unatoweka na kurudi kwenye space kuungana na particle nyingine za uhai. Wa mwisho duniani nadhani ndiye atakayekamilisha particle ya mwisho ya uhai. Huo uhai ulitokea wapi?
 
Sio kweli kwamba sijui kitu kabisa. Nafahamu vizuri kisayansi juu ya mfumo wa mwili wa binadamu na viungo vyake (i.e vital organs). Mwili wa binadamu una vital organs 11 na pia nafahamu utendaji kazi wa kila organ. Katika hili sihitaji shule, kinachohitajika ni kujadili pale tunapotofautina uelewa wetu juu ya maisha baada ya kifo.

Binadamu hupoteza maisha baada ya kifo. Ndiyo maana daktari huthibitisha kwanza uhai ndani ya mwili wa mtu aliyekufa kabla ya mazishi. Akithibitisha kuwa sio hai, basi uhai ndani yake haupo tena
Uhai umejitenga na mwili. Uhai ukijitenga, hubaki mwili unaozikwa na huoza kaburini. Uhai hautazikwa kwa kuwa haupo ndani ya mwili uliokufa. Uhai umejitenga na umetoweka. Hatuziki uhai bali tunazika mwili ambo hauna uhai.

Ndio maana nasema kuna maisha baada ya kifo kwa sababu uhai haumo katika nwili wa mtu aliyekufa. Uhai hauzikwi na mwili bali umetoweka.

Wanasayansi wameshindwa kujua uhai unaenda wapi baada ya kifo. Ni kawaida ya mwanasayansi kudhani jambo fulani halipo anaposhindwa kuthibitisha uwepo wa jambo husika. Kwa mfano: sayansi inasema Mungu hayupo, shetani hayupo au wachawi hawapo kwa sababu ya kushindwa kuthibitisha.
Kwa kutumia akili ya kawaida tu, je, ni kweli Mungu hayupo? Shetani hayupo? Wachawi hawapo?

Bado nasisitiza, kuna maisha baada kifo ila tunashindwa kuthibitisha.
kwa maana nyingine huo uhai ndiyo ROHO ambayo watu wengi wanaizungumzia kuishi baada ya kifo au[emoji848]
 
Astral projection/deep meditation/out of body experience/dreams. Vitu kama hivyo vinatupa ushahidi kuwa roho(conciousness) inawezakuachana na mwili na bado ikaendelea kufanya yake. Inaenda wapi ikichoka au ikihitaji physical body endapo body yake ya awali imeshaoza ndipo swali linakuwa gumu na majibu yake ni ya kubuni tuu. Binafsi naona starting point ni pale maisha yanapoanza(life form euphoric). Kuanzia kiumbe kinapotungwa, yamkini uhai upo katika kila chembechembe ya mwili wa kiumbe. Hivyo mwanao unayemzaa ni kama unakuwa umemgawia uhai kupitia sperm cells.
Tukienda na logic hiyo, nakuja kufikia tamati kuwa uhai tulionao ni mmoja tuu(chanzo ni kimoja) hivyo miili yetu hii ya nyama inabeba uhai mmoja ambao uligawanywa mara nyingi sana(tuseme particles) kwa kila mmija wetu na miili inapokufa, ule uhai unatoweka na kurudi kwenye space kuungana na particle nyingine za uhai. Wa mwisho duniani nadhani ndiye atakayekamilisha particle ya mwisho ya uhai. Huo uhai ulitokea wapi?
[emoji848][emoji848]
 
Sio kweli kwamba sijui kitu kabisa. Nafahamu vizuri kisayansi juu ya mfumo wa mwili wa binadamu na viungo vyake (i.e vital organs). Mwili wa binadamu una vital organs 11 na pia nafahamu utendaji kazi wa kila organ. Katika hili sihitaji shule, kinachohitajika ni kujadili pale tunapotofautina uelewa wetu juu ya maisha baada ya kifo.

Binadamu hupoteza maisha baada ya kifo. Ndiyo maana daktari huthibitisha kwanza uhai ndani ya mwili wa mtu aliyekufa kabla ya mazishi. Akithibitisha kuwa sio hai, basi uhai ndani yake haupo tena
Uhai umejitenga na mwili. Uhai ukijitenga, hubaki mwili unaozikwa na huoza kaburini. Uhai hautazikwa kwa kuwa haupo ndani ya mwili uliokufa. Uhai umejitenga na umetoweka. Hatuziki uhai bali tunazika mwili ambo hauna uhai.

Ndio maana nasema kuna maisha baada ya kifo kwa sababu uhai haumo katika nwili wa mtu aliyekufa. Uhai hauzikwi na mwili bali umetoweka.

Wanasayansi wameshindwa kujua uhai unaenda wapi baada ya kifo. Ni kawaida ya mwanasayansi kudhani jambo fulani halipo anaposhindwa kuthibitisha uwepo wa jambo husika. Kwa mfano: sayansi inasema Mungu hayupo, shetani hayupo au wachawi hawapo kwa sababu ya kushindwa kuthibitisha.
Kwa kutumia akili ya kawaida tu, je, ni kweli Mungu hayupo? Shetani hayupo? Wachawi hawapo?

Bado nasisitiza, kuna maisha baada kifo ila tunashindwa kuthibitisha.
Organs ndo zinazosababisha uhai. Zikifail mfano Moyo,mapafu,figo,Ini,ujue uhai wako upo hatarini kama sio kukoma kabisa.
 
TUREJEE KIDOGO NINI MAANA YA UHAI
Screenshot_20220105_210407.jpg
 
Tunapigana kamba tu mkuu!.. wenye akili wanacheza na bongo zetu wanatufanyia vurugu ili tusile raha hapa duniani!. Just imagine unaenda eti kutubu kwa padri ukiamini yeye ni mtakatifu wakati hujui matendo yake!, serious kama unaakili huwezi fanya hivi am telling you.

Hakuna Cha pepo hakuna cha moto isipokuwa ukienda kinyume na nature laws mazingira yatakuadhibu hapahapa hakuna kusubiri.
Babu umetisha
 
Hamna maisha tena ukifa ndio bhas tena hamna mbingu wala jehanamu ishiiii sasa hivi!
 
Organs ndo zinazosababisha uhai. Zikifail mfano Moyo,mapafu,figo,Ini,ujue uhai wako upo hatarini kama sio kukoma kabisa.
Mmh, sidhani kama ni sahihi kwamba ORGANS ndo zinasababisha UHAI. Hapana, siyo sahihi. UHAI ndo husababisha ORGANS zifanye kazi. Uhai unakuwapo hata kabla ya organs.
 
Back
Top Bottom