Hivi ni kweli kuna maisha baada ya kifo?

Hivi ni kweli kuna maisha baada ya kifo?

Kati ya kukubaliwa na kutokukubaliwa kipi kinahitaji kuonyeshwa?
Uliposema wanasayansi waliikubali ulikuwa unawasemea wanasayansi wapi?
Sayansi haitaki poroja.
Nimekuwekea premises inayotumiwa kukubali hoja za kisayansi hapo juu, umeiona?

Nimekuwekea mifano ya watu ambao walikuwa rejected na theory zao kwasababu haziku qualify criteria za sayansi, umeiona?

Niambie wewe umeweka data gani kuthibitisha madai yako mpaka muda huu?
 
Nimekuwekea premises inayotumiwa kukubali hoja za kisayansi hapo juu, umeiona?

Nimekuwekea mifano ya watu ambao walikuwa rejected na theory zao kwasababu haziku qualify criteria za sayansi, umeiona?

Niambie wewe umeweka data gani kuthibitisha madai yako mpaka muda huu?
Mbona mswahili hivi unadhani unaweza kun-win kwa kutumia logic term?
Nimekuambia Hakuna sehemu Dwarn ametaja orgin of species kasome shortcoming zake..
 
Hicho kitabu nimekutajia hata kabla ya kukiweka humu
nimekuambia hakina hicho kitu ndg acha porojo.
Wapi umenitajia hicho kitabu? Nioneshe

Nimekuomba unipe maana yako ya neno origin of species unayoielewa wewe, pengine unasema haijataja kwasababu jibu halija match na tafsiri yako
 
Mbona mswahili hivi unadhani unaweza kun-win kwa kutumia logic term?
Nimekuambia Hakuna sehemu Dwarn ametaja orgin of species kasome shortcoming zake..
Hii sio ya kuhusu nani mshindi na nani kashindwa, hapa ni kipi sahihi kipi uwongo

Hujagusa hoja zangu hizi na saizi sikuruhusu kukimbia maswali kama ambavyo umefanya huko nyuma

Nimekuwekea premises inayotumiwa kukubali hoja za kisayansi hapo juu, umeiona?

Nimekuwekea mifano ya watu ambao walikuwa rejected na theory zao kwasababu haziku qualify criteria za sayansi, umeiona?

Niambie wewe umeweka data gani kuthibitisha madai yako mpaka muda huu?
 
Mkuu mbna unachekesha hahaha!!!
Dwarn ni lini alithibitisha evolution ni kweli na ikakubaliwa?
Hata kwenye kitabu chake cha orgin of species hamna sehem ameelezea orgin ya species
bali how wana mantain consistent kitabu pekee cha evolution cha kwake.
Hata noble prize alipata kwenye upande wa botany sio evolution.
Turudi kwenye mada..
Kuna knowledge huwezi thibitshiwa imekuwaje bali through exprience unajua hilo?
 
Wapi umenitajia hicho kitabu? Nioneshe

Nimekuomba unipe maana yako ya neno origin of species unayoielewa wewe, pengine unasema haijataja kwasababu jibu halija match na tafsiri yako
angalia post no #305 iko hapo juu
 
Habari wanazengo,

Leo ningependa kufahamu au kujua kile unachoamini wewe kama wewe tulivyoumbwa kila mmoja amepewa utashi ukiwa na lengo la kupambanua mambo, tuachane kwanza na hizi imani ambazo tunazoamini au kuaminishwa.

Hivi ulishawahi kujiuliza baada ya kufa nini kinaendelea, kuna maisha baada ya kufa au ndiyo ukifa umekufa mazima!
Hakuna maisha baada ya kifo wewe ukifa ndiyo kwaheri, angalia hao viongozi wa dini na wa serikali Zambi wanaotenda hadi useme kuna maisha baada ya kufa? Mbona wao hawana hofu?
 
Hii sio ya kuhusu nani mshindi na nani kashindwa, hapa ni kipi sahihi kipi uwongo

Hujagusa hoja zangu hizi na saizi sikuruhusu kukimbia maswali kama ambavyo umefanya huko nyuma

Nimekuwekea premises inayotumiwa kukubali hoja za kisayansi hapo juu, umeiona?

Nimekuwekea mifano ya watu ambao walikuwa rejected na theory zao kwasababu haziku qualify criteria za sayansi, umeiona?

Niambie wewe umeweka data gani kuthibitisha madai yako mpaka muda huu?
Tunaongelea evolution wewe usigeralize mambo..
Nitajie chanzo cha viumbe hai kwa kumtumia Darwin acha porojo,
 
Hii sio ya kuhusu nani mshindi na nani kashindwa, hapa ni kipi sahihi kipi uwongo

Hujagusa hoja zangu hizi na saizi sikuruhusu kukimbia maswali kama ambavyo umefanya huko nyuma

Nimekuwekea premises inayotumiwa kukubali hoja za kisayansi hapo juu, umeiona?

Nimekuwekea mifano ya watu ambao walikuwa rejected na theory zao kwasababu haziku qualify criteria za sayansi, umeiona?

Niambie wewe umeweka data gani kuthibitisha madai yako mpaka muda huu?
Unaugonjwa wa kusahau si bure...
Na sio mara ya kwanza unapoleta mjadala unakosa kumbukumbu ya kilichojadiliwa.
Umeiona hiyo post.
 
angalia post no #305 iko hapo juu
Ok nimeiona, nikweli ulitaja ila sikumakinika

Lakini bado hoja yako inakosa nguvu kwasababu nimekuwekea pages ambazo zimeelezea hivyo vitu unavyosema havipo, labda uniambie unatumia version ganio maana zipo nyingi
 
Ok nimeiona, nikweli ulitaja ila sikumakinika

Lakini bado hoja yako inakosa nguvu kwasababu nimekuwekea pages ambazo zimeelezea hivyo vitu unavyosema havipo, labda uniambie unatumia version ganio maana zipo nyingi
Hakuna sehemu iliyoonyesha orgin of species.
Niambie wewe ulivyosoma umeelewa orgin ya species ni wapi kwa kutumia hicho kitabu?
 
Tunaongelea evolution wewe usigeralize mambo..
Nitajie chanzo cha viumbe hai kwa kumtumia Darwin acha porojo,
Unakataa hoja ambayo umeanzisha mwenyewe?

Hujagusa hoja zangu hizi na saizi sikuruhusu kukimbia maswali kama ambavyo umefanya huko nyuma

Nimekuwekea premises inayotumiwa kukubali hoja za kisayansi hapo juu, umeiona?

Nimekuwekea mifano ya watu ambao walikuwa rejected na theory zao kwasababu haziku qualify criteria za sayansi, umeiona?

Niambie wewe umeweka data gani kuthibitisha madai yako mpaka muda huu?
 
Unakataa hoja ambayo umeanzisha mwenyewe?

Hujagusa hoja zangu hizi na saizi sikuruhusu kukimbia maswali kama ambavyo umefanya huko nyuma

Nimekuwekea premises inayotumiwa kukubali hoja za kisayansi hapo juu, umeiona?

Nimekuwekea mifano ya watu ambao walikuwa rejected na theory zao kwasababu haziku qualify criteria za sayansi, umeiona?

Niambie wewe umeweka data gani kuthibitisha madai yako mpaka muda huu?
Kwenye evolution ni theory gani iliyokubaliwa kati ya zile sita au unazojua wewe?
 
Habari wanazengo,

Leo ningependa kufahamu au kujua kile unachoamini wewe kama wewe tulivyoumbwa kila mmoja amepewa utashi ukiwa na lengo la kupambanua mambo, tuachane kwanza na hizi imani ambazo tunazoamini au kuaminishwa.

Hivi ulishawahi kujiuliza baada ya kufa nini kinaendelea, kuna maisha baada ya kufa au ndiyo ukifa umekufa mazima!
hata kwa akili ya kawaida tu
Unadhani hao waliodhulumu wanyonge Ardhi, walio dhulumu mayatima, wanaopunja kwenye mizani nk nk nk nk nk
haiwezi kuisha bure, lazima ije siku ya hukumu hao walio dhulumiwa wapate haki yao; kwa maana hiyo ni NDIYO yapo maisha baada ya kifo
 
Kwenye evolution ni theory gani iliyokubaliwa kati ya zile sita au unazojua wewe?
Nilikupa uwanja mwanzo unitajie aina za evolution, ulitaja? Kwanini hukutaja?

Hujagusa hoja zangu hizi na saizi sikuruhusu kukimbia maswali kama ambavyo umefanya huko nyuma

Nimekuwekea premises inayotumiwa kukubali hoja za kisayansi hapo juu, umeiona?

Nimekuwekea mifano ya watu ambao walikuwa rejected na theory zao kwasababu haziku qualify criteria za sayansi, umeiona?

Niambie wewe umeweka data gani kuthibitisha madai yako mpaka muda huu?
 
Swali ambalo nilikuuliza mimi na ukalikwepa unaniuligeuzia kwangu.
Nimekuambia hajataj orgin zaidi
ya jinsi wanavyo maintain consistency..
wewe uliyeona orgin niambie kwa maneno yako
orgin amesema nini kwa viumbe hai.
 
Back
Top Bottom