Ndo unavyojiliwaza hivyo au siyo....Lakini unasahau kabla ya hapo wewe HUKUWEPO na HUKUJULIKANA KABISA KAMA UTAKUWEPO ghafla UKAWEPO BILA RIDHAA YAKO,hivi huyo aliyekufanya UWEPO akakutengenezea system ghali na kubwa kama hzo na tena kama ulivyosema zinafanya kazi kwa kushirikiana,yan kazi yote hiyo kubwa aliyoifanya kisha ufe tu upitee kizembe zembe asikurudishe tena? Umeishi muda flan kisha hizo SYSTEMS akazi SHOOT DOWN(kufa) bila wewe kupenda,Hivi huyo atashindwa kweli KUKUWASHA ILI UWAKE TENA KWA MFUMO MWINGINE bila ridhaa yako?
Kumbuka wewe ulikuwa HAUPO KABISA,umekuja Duniani kupitia STAREHE walioifanya watu wawili mwanmke na mwanaume amabo wewe ndo unawaita WAZAZI wangu,Starehe hiyo waliifanya lakin pia walikuwa hawajui ndo unakuja wewe...
Kikubwa unachotakiwa kuzingatia ni kwamba YUPO ALIYEKUANZISHA NA HUYO HUYO ATAKUFISHA NA ATAKURUDISHA TENA KTK UHAI WA AINA NYINGINE...kama anavyofanya kwenye mbegu ya mimea