Hivi ni kweli kuna satellite uko angani yaweza piga picha watu na kurekodi sauti katika uso wa dunia?

Hivi ni kweli kuna satellite uko angani yaweza piga picha watu na kurekodi sauti katika uso wa dunia?

Equation ya nini mkuu, wewe lete tu hiyo picha ya mtu iliyopigwa kutoka huko angani kwa kutumia satellite, nasema hivyo kwa sababu sijawahi kuona hicho kitu kwa hiyo ukileta utakuwa umenitoa ushamba.
Nishakutoa ushamba..mkuu kama kitu hujui we cool tu
 
Hebu wekeni ushahidi sio mnasema tu inawezekana halafu mnaishia hapo
Marekani walikuwa wana wasiwasi kuhusu compound moja kule Abhotabad, Pakistan na waliihusisha na Osama. Camera zilielekezwa pale. Kuna siku walimuona mtu mrefu anavinjari nje, wakamudu kumpiga picha kutoka juu katika satellite. Kwa kuwa picha ilikuwa inatoka juu, sura yake haikuonekana vizuri, so wakapima urefu wa kivuli, wakatumia location ya mtu na ya camera na ya jua muda huo, wakapata urefu wa binadamu huyo. Walipofanya comparison na urefu halisi wa Osama, probability za kuwa ni huyo mtu ni Osama zikapanda.
 
Kuhusu swali hilo, ni kweli kwamba teknolojia imepiga hatua kubwa sana, hasa katika nyanja ya upelelezi wa kijijini (remote sensing), mawasiliano, na uchambuzi wa data kupitia satellite. Hapa kuna maelezo ya msingi kuhusu mada hiyo:

1. Uwezo wa Satellite Kufuatilia

Satellite nyingi zinazunguka dunia kwa kutumia teknolojia ya hali ya juu kama kamera za azimio kubwa (high-resolution cameras), ambazo zinaweza kuchukua picha zenye maelezo mazuri ya vitu vidogo kama magari au watu.

Kuna satellite za kijeshi na za kibiashara ambazo zina uwezo wa kuchukua picha zenye azimio la chini ya mita moja (sub-meter resolution). Hii ina maana kuwa wanaweza kuona maelezo ya maeneo kwa ukaribu sana.


2. Ufuatiliaji wa Sauti na Video

Ingawa satellite zenye uwezo wa kuchukua picha zenye ubora wa juu zipo, uwezo wa satellite kurekodi sauti moja kwa moja kutoka kwa mtu binafsi bado haujafanyika moja kwa moja. Hii ni kwa sababu mawimbi ya sauti yanahitaji kati (medium) kama hewa kusafiri, na satellite zipo angani.

Hata hivyo, teknolojia nyingine kama drones, vifaa vya kusikiliza sauti kutoka mbali (long-range microphones), au hata simu za mkononi, zinaweza kutumika kwa ajili ya kufuatilia sauti kwa karibu.


3. Teknolojia ya Ujasusi (Surveillance Technology)

Teknolojia ya AI (Artificial Intelligence) na Big Data sasa hutumika kuchambua picha na data zinazokusanywa kutoka satellite. Kwa mfano, mfumo wa Geospatial Intelligence hutumia data za satellite kutambua mabadiliko katika mazingira au kufuatilia shughuli za binadamu.

Pia, baadhi ya satellite zina vifaa vya infrared au radar sensors, vinavyoweza kuchunguza hata vitu vilivyofunikwa na mawingu au giza.


4. Je, Wanatumia kwa Watu Binafsi?

Kufuatilia watu binafsi kupitia satellite si jambo la kawaida, kwani ni gharama kubwa sana na linahitaji rasilimali nyingi. Serikali au mashirika makubwa mara nyingi hutumia teknolojia hii kwa masuala ya ujasusi, vita, au dharura za kimazingira.

Kwa watu wa kawaida, mawasiliano kama simu, mitandao ya kijamii, au vifaa vya IoT (Internet of Things) vinaweza kufuatiliwa kwa urahisi zaidi kuliko satellite.


Ushahidi wa Teknolojia Hii:

Satellite za kibiashara kama Maxar na Planet Labs hutumia kamera za azimio kubwa kwa kazi kama ramani za Google Maps na ufuatiliaji wa mazingira.

Mfano wa kijeshi ni satellite za Marekani za NRO (National Reconnaissance Office), ambazo zimetumika kwa miaka mingi kuchunguza maeneo ya vita au upelelezi wa kimataifa.

Vifaa vya AI kama Clearview AI vinaweza kuchanganua video na picha ili kutambua watu kupitia uso wao (facial recognition), teknolojia inayoshirikiana na picha za satellite.


Kwa hivyo, teknolojia ya kufuatilia kwa satellite ipo na imepiga hatua kubwa, lakini mara nyingi hutumika kwa malengo maalum, si kwa watu wa kawaida.

Credit : AI chartGPT
Hvi unajua CHATGPT inalemaza sana watu ahahaha
 
Habarini wanajukwaa
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,ni kwamba nilimsikia mtu mmoja akisema,ati wazungu ni balaa maana wamepiga hatua kubwa kitekinolojia,kwamba wamefikia hatua yakutengeneza satellite inayoweza kukupiga picha,kuchukua video yako,hadi sauti yako,(lkn ni kama wakihamua kukufatilia na kama kuna umuhimu huo),mi nikashangaa sana,lkn bado najiuliza inawezekanaje hili kufanyika,hivyo nimeona kama itawapendeza, naamini humu kuna wasomi wa namna mbalimbali,naomba kujua je ni kweli tekinolojia imepiga hatua kiasi hicho?
Thanks
Kwa sauti inakuwa ngumu ila video na picha sawa, fuatilia air force one ya Biden, hata ukimnong'oneza mtu unasikika.
 
Marekani walikuwa wana wasiwasi kuhusu compound moja kule Abhotabad, Pakistan na waliihusisha na Osama. Camera zilielekezwa pale. Kuna siku walimuona mtu mrefu anavinjari nje, wakamudu kumpiga picha kutoka juu katika satellite. Kwa kuwa picha ilikuwa inatoka juu, sura yake haikuonekana vizuri, so wakapima urefu wa kivuli, wakatumia location ya mtu na ya camera na ya jua muda huo, wakapata urefu wa binadamu huyo. Walipofanya comparison na urefu halisi wa Osama, probability za kuwa ni huyo mtu ni Osama zikapanda.
Uongo hizo ni story za kwenye kahawa, wewe weka tu picha iliyopigwa na hizo satellites inayoonyesha sura ya mtu
 
Uongo hizo ni story za kwenye kahawa, wewe weka tu picha iliyopigwa na hizo satellites inayoonyesha sura ya mtu
Nimekwambia sura haikuonekana maana ilikuwa ni plan view (nimekosa terminology hapa ila waliosoma Technical schools au Engineering yoyote wanaielewa)
 
Habarini wanajukwaa
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,ni kwamba nilimsikia mtu mmoja akisema,ati wazungu ni balaa maana wamepiga hatua kubwa kitekinolojia,kwamba wamefikia hatua yakutengeneza satellite inayoweza kukupiga picha,kuchukua video yako,hadi sauti yako,(lkn ni kama wakihamua kukufatilia na kama kuna umuhimu huo),mi nikashangaa sana,lkn bado najiuliza inawezekanaje hili kufanyika,hivyo nimeona kama itawapendeza, naamini humu kuna wasomi wa namna mbalimbali,naomba kujua je ni kweli tekinolojia imepiga hatua kiasi hicho?
Thanks
Zinafanya more than that, satellite za sasa ziko so advanced
 
Back
Top Bottom