Hivi ni kweli kuna satellite uko angani yaweza piga picha watu na kurekodi sauti katika uso wa dunia?

Hivi ni kweli kuna satellite uko angani yaweza piga picha watu na kurekodi sauti katika uso wa dunia?

Habarini wanajukwaa
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,ni kwamba nilimsikia mtu mmoja akisema,ati wazungu ni balaa maana wamepiga hatua kubwa kitekinolojia,kwamba wamefikia hatua yakutengeneza satellite inayoweza kukupiga picha,kuchukua video yako,hadi sauti yako,(lkn ni kama wakihamua kukufatilia na kama kuna umuhimu huo),mi nikashangaa sana,lkn bado najiuliza inawezekanaje hili kufanyika,hivyo nimeona kama itawapendeza, naamini humu kuna wasomi wa namna mbalimbali,naomba kujua je ni kweli tekinolojia imepiga hatua kiasi hicho?
Thanks
Alieku hadithia ameangalia movie flani inaitwa STRIKE BACK ndomana😂🙏🏽
 
Stories za vijiweni hizo, hakuna technology ya hivyo na sidhani kama itakuja kuwepo.

Satellite hazipo jinsi mnavyodanganywa na hao NASA and other space agencies kama space X na TAKATAKA zingine,

Satellite hazina uwezo wa kuchukua sauti ya watu dunian wala kupata clear picture ya vitu ardhini, isipokuwa kwa kutumika technologia ya pili ya drones za kuchukua picha au surveillance balloon zinazotumiwa kunasa picha ktk maneno tofauti kwa ukaribu mkubwa.

Mpaka Sasa tangu hizo technologia zao za anga zianze kutumika, hakuna hata single Original photo, iliyokuwa published bila kuchujwa wala kuhaririwa na kuongeza fake features, namaanisha tangu technologia ya anga hasa matumizi ya satellite na vifaa vya anga za mbali, hakujawai kuoneshwa picha original ya umbo halisi la dunia kutoka ktk space/anga za juu, isipokuwa zinapigwa baadhi ya picha na kuzimodify/kuzihariri ndipo wanazipublish ktk makala/vituo vya habari, vitabu, vipindi vya tv, na hata ktk Google map.

Nifupishe, satellite hazina uwezo kama mnaodanganywa na hao Wahuni wa NASA, na huyo kibaraka wao Elon wa space X, na nduguzo wa Russia, India+china.

Pili satellite haziko ktk space, Bali zipo anga la juu hapa hapa dunian(najua wasomi vilaza hili watapinga na notes zao za kukalili),

satellite ni vidubwasha vilivyoundwa kwa malengo maalumu ya kipelelezi, ufuatiliaji wa mifumo ya mabadiriko ya tabia nchi, uchukuaji wa tarifa+mionekano ya mazingira ktk sehemu zisizofikika,

Satellite hazitumiki kutoa huduma za mawasiliano ya kijamii, Bali kwa mashirika maalumu, mfano jeshi, hospital, vyuo n.k, vile vile satellite hazitumiki kutoa huduma ya internet wala huduma ya kurusha mawimbi ya vipindi vya TV&radio kama mnavyodangwanya na hao Wahuni.

Sayansi ya anga Ina mengi ya Siri ambayo hayafundishwi na pengine 99% ya mlichofundishwa mashuleni kuhusu anga+dunia kiujumla ni uongo mtupu, maana Kuna watu wanafaidika na huu uongo wao wa kuihadaa jamii dunia nzima.

Acheni kuwasujudu hao watu weupe, hawana huo uwezo mnaowapa kama mnavyodanganyana ktk vijiwe vyenu vya kahawa na mabangi.

Utafiti wa sayansi ya muonekano+mazingira ya Ulimwengu/dunia siku ukiwekwa wazi, dunia itazuka vita ambayo haijawai kutokea, maana tumedanganywa mengi, tumelipia Kodi ktk UONGO, tumepoteza muda&pesa mashuleni kulipia kujifunza uongo na uozo wa hao mnaowapa sifa.

Geography ni elimu ya kitapeli, sayansi ya anga kiujumla ni utapeli mtupu
Umemaliza mkuu
 
Stories za vijiweni hizo, hakuna technology ya hivyo na sidhani kama itakuja kuwepo.

Satellite hazipo jinsi mnavyodanganywa na hao NASA and other space agencies kama space X na TAKATAKA zingine,

Satellite hazina uwezo wa kuchukua sauti ya watu dunian wala kupata clear picture ya vitu ardhini, isipokuwa kwa kutumika technologia ya pili ya drones za kuchukua picha au surveillance balloon zinazotumiwa kunasa picha ktk maneno tofauti kwa ukaribu mkubwa.

Mpaka Sasa tangu hizo technologia zao za anga zianze kutumika, hakuna hata single Original photo, iliyokuwa published bila kuchujwa wala kuhaririwa na kuongeza fake features, namaanisha tangu technologia ya anga hasa matumizi ya satellite na vifaa vya anga za mbali, hakujawai kuoneshwa picha original ya umbo halisi la dunia kutoka ktk space/anga za juu, isipokuwa zinapigwa baadhi ya picha na kuzimodify/kuzihariri ndipo wanazipublish ktk makala/vituo vya habari, vitabu, vipindi vya tv, na hata ktk Google map.

Nifupishe, satellite hazina uwezo kama mnaodanganywa na hao Wahuni wa NASA, na huyo kibaraka wao Elon wa space X, na nduguzo wa Russia, India+china.

Pili satellite haziko ktk space, Bali zipo anga la juu hapa hapa dunian(najua wasomi vilaza hili watapinga na notes zao za kukalili),

satellite ni vidubwasha vilivyoundwa kwa malengo maalumu ya kipelelezi, ufuatiliaji wa mifumo ya mabadiriko ya tabia nchi, uchukuaji wa tarifa+mionekano ya mazingira ktk sehemu zisizofikika,

Satellite hazitumiki kutoa huduma za mawasiliano ya kijamii, Bali kwa mashirika maalumu, mfano jeshi, hospital, vyuo n.k, vile vile satellite hazitumiki kutoa huduma ya internet wala huduma ya kurusha mawimbi ya vipindi vya TV&radio kama mnavyodangwanya na hao Wahuni.

Sayansi ya anga Ina mengi ya Siri ambayo hayafundishwi na pengine 99% ya mlichofundishwa mashuleni kuhusu anga+dunia kiujumla ni uongo mtupu, maana Kuna watu wanafaidika na huu uongo wao wa kuihadaa jamii dunia nzima.

Acheni kuwasujudu hao watu weupe, hawana huo uwezo mnaowapa kama mnavyodanganyana ktk vijiwe vyenu vya kahawa na mabangi.

Utafiti wa sayansi ya muonekano+mazingira ya Ulimwengu/dunia siku ukiwekwa wazi, dunia itazuka vita ambayo haijawai kutokea, maana tumedanganywa mengi, tumelipia Kodi ktk UONGO, tumepoteza muda&pesa mashuleni kulipia kujifunza uongo na uozo wa hao mnaowapa sifa.

Geography ni elimu ya kitapeli, sayansi ya anga kiujumla ni utapeli mtupu
Umeandika nini sasa
 
Si kila equation iliyopo duniani inayo prove kitu fulani theoretically kimefanyika practically. Zipo equation nying sana zimebaki kuwa theory application zake haziweza kutekelezwa.
Taja izo equation hapa..
 
Back
Top Bottom