Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Ndio maana tukasema ili sauti yako.iwe detected lazima kuwpo na kitu kinaitwa third part...Nilipozungumzia noise cancelation sikumanisha environmental factors mana naelewa radio waves haziko affected na environmental factors ila hiyo satellite itatambua vipi hii sauti ni ya wewe inayekurecord mana wanaoongea ni wengi, tupo kwenye AI ndio lakini precision haiwezi fika 100%
Kuna kitu nataka kukufundisha kuhusu hiyo google map yako..Uko serious kabisa au unaniokota tu hapa mkuu
Usi-complicate maisha tumia simu yako kikamilifu, nenda kwenye google map/map application kisha bonyeza search itakuletea ramani ya mfumo huo kisha bonyeza hapo juu nilipozunguushia kisha chagua satellite Itakuja ramani ya mfumo wa picha na uki-zoom itakuonyesha hapo ulipo kuanzia picha ya nyumba mpaka rangi ya bati (kiujumla picha ya nyumba uliyopo sasa hivi na za jirani, ila inategemea satellite ilipita lini mara ya mwisho maana kuna jengo linaweza likawa jipya linaweza lisionekane mpaka itakapopita mara ya pili maana huwa satellite huwa inazunguuka Dunia)Equation ya nini mkuu, wewe lete tu hiyo picha ya mtu iliyopigwa kutoka huko angani kwa kutumia satellite, nasema hivyo kwa sababu sijawahi kuona hicho kitu kwa hiyo ukileta utakuwa umenitoa ushamba.
Wakiweka mniiteHebu wekeni ushahidi sio mnasema tu inawezekana halafu mnaishia hapo
Usi-complicate maisha tumia simu yako kikamilifu, nenda kwenye google map/map application kisha bonyeza search itakuletea ramani ya mfumo huo kisha bonyeza hapo juu nilipozunguushia kisha chagua satellite Itakuja ramani ya mfumo wa picha na uki-zoom itakuonyesha hapo ulipo kuanzia picha ya nyumba mpaka rangi ya bati (kiujumla picha ya nyumba uliyopo sasa hivi na za jirani, ila inategemea satellite ilipita lini mara ya mwisho maana kuna jengo linaweza likawa jipya linaweza lisionekane mpaka itakapopita mara ya pili maana huwa satellite huwa inazunguuka Dunia)
Umekutana na vilema wangapi hapo mtaani kwenu??Hvi unajua CHATGPT inalemaza sana watu ahahaha
Wengi sana ..Umekutana na vilema wangapi hapo mtaani kwenu??
Hapa umeandika ugoro wa wapi??Oky hyo simu yako fanya hv bonyeza 61 alafu kuna namba zitakuja... Hizo namba zitakua 6
Utaandika pembeni alafu utaandika tena #+00600#
Baada ya hapo utatumia battan za sauti utachagua WQ hapo utatuma maneno utakayo andikiwa
Hapo utatuma na utapata picha yako kama zoezi hilo litafanyika mchana itakua poa
Kama sio mtaalam wa haya mambo tulia au nenda chatgt mkuuHapa umeandika ugoro wa wapi??
Hama Kazuramimba mkuu, ushajua kutumia simu sasa, hama hukoAcha kujifanya mshamba mchangamfu, kutokujua kitu haifanyi hicho kitu kuwa kweli hali ya kuwa ni cha uongo, hata wewe msaidie lete picha ya mtu iliyopigwa kwa kutumia camera zilizofungwa kwenye satellite angani huko.
Asante mkuu,walau toka kwako nimepata mwanga., ubarikiwe sana.Kuhusu swali hilo, ni kweli kwamba teknolojia imepiga hatua kubwa sana, hasa katika nyanja ya upelelezi wa kijijini (remote sensing), mawasiliano, na uchambuzi wa data kupitia satellite. Hapa kuna maelezo ya msingi kuhusu mada hiyo:
1. Uwezo wa Satellite Kufuatilia
Satellite nyingi zinazunguka dunia kwa kutumia teknolojia ya hali ya juu kama kamera za azimio kubwa (high-resolution cameras), ambazo zinaweza kuchukua picha zenye maelezo mazuri ya vitu vidogo kama magari au watu.
Kuna satellite za kijeshi na za kibiashara ambazo zina uwezo wa kuchukua picha zenye azimio la chini ya mita moja (sub-meter resolution). Hii ina maana kuwa wanaweza kuona maelezo ya maeneo kwa ukaribu sana.
2. Ufuatiliaji wa Sauti na Video
Ingawa satellite zenye uwezo wa kuchukua picha zenye ubora wa juu zipo, uwezo wa satellite kurekodi sauti moja kwa moja kutoka kwa mtu binafsi bado haujafanyika moja kwa moja. Hii ni kwa sababu mawimbi ya sauti yanahitaji kati (medium) kama hewa kusafiri, na satellite zipo angani.
Hata hivyo, teknolojia nyingine kama drones, vifaa vya kusikiliza sauti kutoka mbali (long-range microphones), au hata simu za mkononi, zinaweza kutumika kwa ajili ya kufuatilia sauti kwa karibu.
3. Teknolojia ya Ujasusi (Surveillance Technology)
Teknolojia ya AI (Artificial Intelligence) na Big Data sasa hutumika kuchambua picha na data zinazokusanywa kutoka satellite. Kwa mfano, mfumo wa Geospatial Intelligence hutumia data za satellite kutambua mabadiliko katika mazingira au kufuatilia shughuli za binadamu.
Pia, baadhi ya satellite zina vifaa vya infrared au radar sensors, vinavyoweza kuchunguza hata vitu vilivyofunikwa na mawingu au giza.
4. Je, Wanatumia kwa Watu Binafsi?
Kufuatilia watu binafsi kupitia satellite si jambo la kawaida, kwani ni gharama kubwa sana na linahitaji rasilimali nyingi. Serikali au mashirika makubwa mara nyingi hutumia teknolojia hii kwa masuala ya ujasusi, vita, au dharura za kimazingira.
Kwa watu wa kawaida, mawasiliano kama simu, mitandao ya kijamii, au vifaa vya IoT (Internet of Things) vinaweza kufuatiliwa kwa urahisi zaidi kuliko satellite.
Ushahidi wa Teknolojia Hii:
Satellite za kibiashara kama Maxar na Planet Labs hutumia kamera za azimio kubwa kwa kazi kama ramani za Google Maps na ufuatiliaji wa mazingira.
Mfano wa kijeshi ni satellite za Marekani za NRO (National Reconnaissance Office), ambazo zimetumika kwa miaka mingi kuchunguza maeneo ya vita au upelelezi wa kimataifa.
Vifaa vya AI kama Clearview AI vinaweza kuchanganua video na picha ili kutambua watu kupitia uso wao (facial recognition), teknolojia inayoshirikiana na picha za satellite.
Kwa hivyo, teknolojia ya kufuatilia kwa satellite ipo na imepiga hatua kubwa, lakini mara nyingi hutumika kwa malengo maalum, si kwa watu wa kawaida.
Credit : AI chartGPT
Sasa kama hakuna ukweli mkuu, satellite ufanyakazi namna gani na kivipi,nijuze tafadhali.Sidhani kama ni kweli
Sio mimi, hiyo ni akili mnemba (Artificial Intelligence)Asante mkuu,walau toka kwako nimepata mwanga., ubarikiwe sana.
Acha ujuaji!! Rudia kusoma ulichoandika!! Kwenye 61 unaiandika wapi?Kama sio mtaalam wa haya mambo tulia au nenda chatgt mkuu
Hata we yapaswa nikushukuru mkuu, maana umechukua mda wako kunitafutia haya material uko kwenye akili mnemba,,mi wala sikujua kama naweza pata uko,thanks.Sio mimi, hiyo ni akili mnemba (Artificial Intelligence)
Umenikumbusha kwa utaalamu kama huo Israeli waliutumia dhidi isbullah kama sijakosea,katika zile pagers zao,au sio mkuu.Ndio maana tukasema ili sauti yako.iwe detected lazima kuwpo na kitu kinaitwa third part...
Third part inajumuisha minara ya simu pamoja na electronics zake zote..
Mfano ni rahisi sana ku detect sauti kwa mtu ambaye yupo karibu na simu
Habarini wanajukwaa
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,ni kwamba nilimsikia mtu mmoja akisema,ati wazungu ni balaa maana wamepiga hatua kubwa kitekinolojia,kwamba wamefikia hatua yakutengeneza satellite inayoweza kukupiga picha,kuchukua video yako,hadi sauti yako,(lkn ni kama wakihamua kukufatilia na kama kuna umuhimu huo),mi nikashangaa sana,lkn bado najiuliza inawezekanaje hili kufanyika,hivyo nimeona kama itawapendeza, naamini humu kuna wasomi wa namna mbalimbali,naomba kujua je ni kweli tekinolojia imepiga hatua kiasi hicho?