Hivi ni kweli kuna siku sitakuwepo juu ya uso wa dunia?

Hivi ni kweli kuna siku sitakuwepo juu ya uso wa dunia?

Braza Kede

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2012
Posts
3,840
Reaction score
6,844
Wakuu hivi ni kweli itafika siku nitang'ata pamba na kuhifadhiwa futi 6 uko chini ya ardhi?

Hivi ni kweli kuna siku nitatoweka jumlajumla na sitaonekana popote pale juu ya huu uso mzuri wa dunia?

Wakuu mbona naona kama ni masihara. Ni kama ndoto yani.

Yani kuna siku uwepo wa kaburi ndo utabaki kuwa alama pekee kuwa niliwahi kuwepo duniani? Mbona km ukweli mchungu sana huu[emoji25]

Yani ni kweli itafika siku sitaweza kuingia tena hapa JF na kutupia chochote? meeeen! mbona hii ngumu kuprocess!

Yani itabaki historia tu kuna memba mimi nilikuwepo? Aaaiseee.

Anyway sio case.

Sasa swali langu inamaana muda huo wote mimi nitakuwa wapi wakuu? au labda namimi nitakuwa chobingo flan ameizing na sir God 'tunawapimia' waliobaki duniani na fujo zao?
 
Sio wewe tu mkuu hata mimi pia
Screenshot_20240616-114906~2.jpg
 
Wakuu hivi ni kweli itafika siku nitang'ata pamba na kuhifadhiwa fupi 6 uko chini ya ardhi?

Hivi ni kweli kuna siku nitatoweka jumlajumla na sitaonekana popote pale juu ya huu uso mzuri wa dunia?

Wakuu mbona naona kama ni masihara. Ni kama ndoto yani.

Yani kuna siku uwepo wa kaburi ndo utabaki kuwa alama pekee kuwa niliwahi kuwepo duniani? Mbona km ukweli mchungu sana huu[emoji25]

Yani ni kweli itafika siku sitaweza kuingia tena hapa JF na kutupia chochote? meeeen! mbona hii ngumu kuprocess!

Yani itabaki historia tu kuna memba mimi nilikuwepo? Aaaiseee.

Anyway sio case.

Sasa swali langu inamaana muda huo wote mimi nitakuwa wapi wakuu? au labda namimi nitakuwa chobingo flan ameizing na sir God 'tunawapimia' waliobaki duniani na fujo zao?
Kwani kabda hujazaliwa ulipokuwa tumboni, sio ulipokuwa kwenye pumbu, No, ulipokuwa tumboni mwa mama yako, ulijua nini na ulikuwa unawaza nini?

Ulipozaliwa ulijua? When did you start to remember stuff in this short life of yours?

....now, assume that life without ROM or RAM.
Sauti uliyoyoa ulipozaliwa sio kilio, ni pumzi yako yankwanza kufungua mapafu na moyo kufanya kazi wenyewe.
Assume without that sasa......can you comprehend that?
 
Mkuu Hilo halina mjadala! Wala usiliwaze sana! Unachotakiwa ni kujiandaa tu.

Kuhakikisha unatengeneza maisha yako na kuishi maisha yanayompendeza Mwenyezi Mungu ili ukifa ukapumzike kwake!

Lakini ukifa hujatengeneza maisha yako na Mungu wakati uko hai ndiyo utalia utasaga meno ukiwa umetupwa mahali bapaya Kuzimu.
 
Back
Top Bottom