Hivi ni kweli kuna siku sitakuwepo juu ya uso wa dunia?

Hivi ni kweli kuna siku sitakuwepo juu ya uso wa dunia?

Usiseme siku yeyote ( unajipa matumaini ya mbali), sema muda wowote kuanzia sasa hv😂😂😂!!
Unafukiwa, tuliokuja tunajipongeza kwa diko na bia huku vichwa mbovu wakimtazamia shemeji 🤣🤣🤣🤣

Anyway tuishi tu vzr na watu na kumkumbuka Mola
😂😂😂😂 halafu mara nyingi wanaomtolea macho mjane ni wale rafiki wa karibu
 
Hapo bado haujawaza vizuri, yaani ni hivi, muda wowote na dk yoyote bila hata kujiandaa au kujipanga utajikuta unalamba vumbi.

  • mkeo atatafuta wa kumtimizia haja maana haupo
  • hautakuwa na access ya biashara au mali zako ulizozitolea jasho wajanja watagawanya
  • Marafiki watapata muda wa kujadili mazuri yako hata kama hawakufanya hivyo ukiwa hai, huku wakishushia na bia
  • Kama ulikuwa unapenda sana chini kwa wanawake utakuwa umeacha balaa zito hasa kama umeacha watoto wa nje
  • Mbaya zaidi kama pamoja na kwamba padri/pastor atakufanyia sala lakini matendo yako yataambatana na wewe, cha kujiuliza ni hiki je, huko aendako mwenyeji wako atakuwa nani??
 
Wakuu hivi ni kweli itafika siku nitang'ata pamba na kuhifadhiwa fupi 6 uko chini ya ardhi?

Hivi ni kweli kuna siku nitatoweka jumlajumla na sitaonekana popote pale juu ya huu uso mzuri wa dunia?

Wakuu mbona naona kama ni masihara. Ni kama ndoto yani.

Yani kuna siku uwepo wa kaburi ndo utabaki kuwa alama pekee kuwa niliwahi kuwepo duniani? Mbona km ukweli mchungu sana huu[emoji25]

Yani ni kweli itafika siku sitaweza kuingia tena hapa JF na kutupia chochote? meeeen! mbona hii ngumu kuprocess!

Yani itabaki historia tu kuna memba mimi nilikuwepo? Aaaiseee.

Anyway sio case.

Sasa swali langu inamaana muda huo wote mimi nitakuwa wapi wakuu? au labda namimi nitakuwa chobingo flan ameizing na sir God 'tunawapimia' waliobaki duniani na fujo zao?
Wewe ni nani kwanza?
 
Kuna mmoja alisema atafika uchaguzi wa 2000 hatimae ...............

Ikawa historia mpka leo
 
Ndio maana mimi nikifikia kuwaza hapo tu huwa naagiza Konyagi inipe majibu.

Halafu Konyagi inaniambia kweni kabla hujazaliwa miaka miambili iliyopita ulikuwa wapi Mzee...??shusha Gilasi Mzee....nami naitikia naam...

Lakini kuna kipindi naota Ndoto nzuri sana mpaka najiuliza labda huko tuendako ndiko kuko hivyo🤔
 
Na uzuri wake hutajijua kama ushatoweka hapa duniani...inauma kuwaza ila ikifika tutatoweka na wapendwa wetu watatusahau bada ya mda tu
 
Wakuu hivi ni kweli itafika siku nitang'ata pamba na kuhifadhiwa futi 6 uko chini ya ardhi?

Hivi ni kweli kuna siku nitatoweka jumlajumla na sitaonekana popote pale juu ya huu uso mzuri wa dunia?

Wakuu mbona naona kama ni masihara. Ni kama ndoto yani.

Yani kuna siku uwepo wa kaburi ndo utabaki kuwa alama pekee kuwa niliwahi kuwepo duniani? Mbona km ukweli mchungu sana huu[emoji25]

Yani ni kweli itafika siku sitaweza kuingia tena hapa JF na kutupia chochote? meeeen! mbona hii ngumu kuprocess!

Yani itabaki historia tu kuna memba mimi nilikuwepo? Aaaiseee.

Anyway sio case.

Sasa swali langu inamaana muda huo wote mimi nitakuwa wapi wakuu? au labda namimi nitakuwa chobingo flan ameizing na sir God 'tunawapimia' waliobaki duniani na fujo zao?
Hapana utaenda kuzimu
 
Mkuu unajipa pressure kwa mambo yasiyokuwa na umuhimu , furahia kila nafasi ya pumzi unayoipata huku ukijua kuna kipindi kirefu sana dunia iliendelea tu bila hata uwepo wako kabla ya wewe kuzaliwa.
mkuu jambo linahusu UHAI unasema halina umuhimu? [emoji848]kipi kitakuwa muhimu kwako sasa?
 
Wakuu hivi ni kweli itafika siku nitang'ata pamba na kuhifadhiwa futi 6 uko chini ya ardhi?

Hivi ni kweli kuna siku nitatoweka jumlajumla na sitaonekana popote pale juu ya huu uso mzuri wa dunia?

Wakuu mbona naona kama ni masihara. Ni kama ndoto yani.

Yani kuna siku uwepo wa kaburi ndo utabaki kuwa alama pekee kuwa niliwahi kuwepo duniani? Mbona km ukweli mchungu sana huu[emoji25]

Yani ni kweli itafika siku sitaweza kuingia tena hapa JF na kutupia chochote? meeeen! mbona hii ngumu kuprocess!

Yani itabaki historia tu kuna memba mimi nilikuwepo? Aaaiseee.

Anyway sio case.

Sasa swali langu inamaana muda huo wote mimi nitakuwa wapi wakuu? au labda namimi nitakuwa chobingo flan ameizing na sir God 'tunawapimia' waliobaki duniani na fujo zao?
kwani hujawahi kujiuliza unapokuwa kwenye usingizi mzito huwa unakuwa uko wapi. Anzia hapo.
 
Back
Top Bottom