Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
- Thread starter
- #61
ni kweliMkuu the truth of the matter is... THAT DAY MIGHT BE SOONER THAN YOU THINK..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni kweliMkuu the truth of the matter is... THAT DAY MIGHT BE SOONER THAN YOU THINK..
Hauamini?Wa mabikra 72
Sijakataa... Sasa kuleta mada ya namna hii ni Upumbafu!Utakufa tu muda ukifka
kulima tena mkuu upo serious?Ndio utaenda kulima mpunga na magimbi kuzimu
kifo ni kulala mauti. Njoo kwa Kristo utafunuliwausingizi na kifo vinafanana?[emoji848]?
hii ngumu kumezaKwani kabda hujazaliwa ulipokuwa tumboni, sio ulipokuwa kwenye pumbu, No, ulipokuwa tumboni mwa mama yako, ulijua nini na ulikuwa unawaza nini?
Ulipozaliwa ulijua? When did you start to remember stuff in this short life of yours?
....now, assume that life without ROM or RAM.
Sauti uliyoyoa ulipozaliwa sio kilio, ni pumzi yako yankwanza kufungua mapafu na moyo kufanya kazi wenyewe.
Assume without that sasa......can you comprehend that?
pole kwetu sotePole sana
uko hamfi aukifo ni kulala mauti. Njoo kwa Kristo utafunuliwa
kumnunulia mtu bia sio upendo Wala kujali. walevi wote mwisho wao ni ziwa liwakalo moto. usimsaidie shetani kazi.Yaani Mimi naogopa sana kifo .
Nikiwazaga kuwa nikifa kila ninayekutana naye namsalimia kwa heshima na hapo omba usinikute bar hata hela ya serikali nitaitoa kuwanunulia watu bia lengo nionekane mwema na ninayejua hapa duniani tunapita
kumnunulia mtu bia sio upendo Wala kujali. walevi wote mwisho wao ni ziwa liwakalo mto. usimsaidie shetani kazi.
JESUS IS LORD&SAVIOR
[/QUOTE
Sawa malaika wa zamu
duuh tafakuri kubwa hiiHapo ulipo kuna mti uliochaguliwa kwa kutoa mbao za kujenga nyumba yako ya milele, hutajua ni mti upi. Binadamu kiburi chetu kinaishia hapo. Na usile sana kwani utawapa watu kazi kubwa katika kubeba jeneza lako.
kwanini boss? hutaki kuzaliwa nyau wa bar uko Mexico?🤣My only fear of death is reincarnation
Does this thing real happen?My only fear of death is reincarnation
Wakuu hivi ni kweli itafika siku nitang'ata pamba na kuhifadhiwa futi 6 uko chini ya ardhi?
Hivi ni kweli kuna siku nitatoweka jumlajumla na sitaonekana popote pale juu ya huu uso mzuri wa dunia?
Wakuu mbona naona kama ni masihara. Ni kama ndoto yani.
Yani kuna siku uwepo wa kaburi ndo utabaki kuwa alama pekee kuwa niliwahi kuwepo duniani? Mbona km ukweli mchungu sana huu[emoji25]
Yani ni kweli itafika siku sitaweza kuingia tena hapa JF na kutupia chochote? meeeen! mbona hii ngumu kuprocess!
Yani itabaki historia tu kuna memba mimi nilikuwepo? Aaaiseee.
Anyway sio case.
Sasa swali langu inamaana muda huo wote mimi nitakuwa wapi wakuu? au labda namimi nitakuwa chobingo flan ameizing na sir God 'tunawapimia' waliobaki duniani na fujo zao?