ππππ halafu mara nyingi wanaomtolea macho mjane ni wale rafiki wa karibuUsiseme siku yeyote ( unajipa matumaini ya mbali), sema muda wowote kuanzia sasa hvπππ!!
Unafukiwa, tuliokuja tunajipongeza kwa diko na bia huku vichwa mbovu wakimtazamia shemeji π€£π€£π€£π€£
Anyway tuishi tu vzr na watu na kumkumbuka Mola
Alafu ni washkaji kabisa, chaaapu wanamkanda mumama kumfariji ππNa ukiacha mke watu watamrithi
Wengine wanajiuliza utakufa lini ili wachukue chomboAlafu ni washkaji kabisa, chaaapu wanamkanda mumama kumfariji ππ
Wewe ni nani kwanza?Wakuu hivi ni kweli itafika siku nitang'ata pamba na kuhifadhiwa fupi 6 uko chini ya ardhi?
Hivi ni kweli kuna siku nitatoweka jumlajumla na sitaonekana popote pale juu ya huu uso mzuri wa dunia?
Wakuu mbona naona kama ni masihara. Ni kama ndoto yani.
Yani kuna siku uwepo wa kaburi ndo utabaki kuwa alama pekee kuwa niliwahi kuwepo duniani? Mbona km ukweli mchungu sana huu[emoji25]
Yani ni kweli itafika siku sitaweza kuingia tena hapa JF na kutupia chochote? meeeen! mbona hii ngumu kuprocess!
Yani itabaki historia tu kuna memba mimi nilikuwepo? Aaaiseee.
Anyway sio case.
Sasa swali langu inamaana muda huo wote mimi nitakuwa wapi wakuu? au labda namimi nitakuwa chobingo flan ameizing na sir God 'tunawapimia' waliobaki duniani na fujo zao?
Ukute chombo yenyewe nene alafu nyeupe hv πWengine wanajiuliza utakufa lini ili wachukue chombo
ni kweli mkuuSio wewe tu mkuu hata mimi pia
View attachment 3036685
Sana..kama hapa tayari nishapata hofu..lohUkweli mchungu sana, hii sometimes inaleta hofu kuu
ukweli usemwe japo mchunguUkweli ndio huo, kila nafsi ITAONJA umauti, sio ITAKUFA bali inaonja tu umauti.
Kuna vitu vya kujifunza na kufikiri hapo.
[emoji16][emoji16]Ukifika peponi unapokelewa na bikra 72 na mito ya pombe na internal viagra utakuwa unajichapia zako nyapu tuu
Hapana utaenda kuzimuWakuu hivi ni kweli itafika siku nitang'ata pamba na kuhifadhiwa futi 6 uko chini ya ardhi?
Hivi ni kweli kuna siku nitatoweka jumlajumla na sitaonekana popote pale juu ya huu uso mzuri wa dunia?
Wakuu mbona naona kama ni masihara. Ni kama ndoto yani.
Yani kuna siku uwepo wa kaburi ndo utabaki kuwa alama pekee kuwa niliwahi kuwepo duniani? Mbona km ukweli mchungu sana huu[emoji25]
Yani ni kweli itafika siku sitaweza kuingia tena hapa JF na kutupia chochote? meeeen! mbona hii ngumu kuprocess!
Yani itabaki historia tu kuna memba mimi nilikuwepo? Aaaiseee.
Anyway sio case.
Sasa swali langu inamaana muda huo wote mimi nitakuwa wapi wakuu? au labda namimi nitakuwa chobingo flan ameizing na sir God 'tunawapimia' waliobaki duniani na fujo zao?
mkuu jambo linahusu UHAI unasema halina umuhimu? [emoji848]kipi kitakuwa muhimu kwako sasa?Mkuu unajipa pressure kwa mambo yasiyokuwa na umuhimu , furahia kila nafasi ya pumzi unayoipata huku ukijua kuna kipindi kirefu sana dunia iliendelea tu bila hata uwepo wako kabla ya wewe kuzaliwa.
Ni mawazo yangu ,nasubiri na mchango wako mkuuπmkuu jambo linahusu UHAI unasema halina umuhimu? [emoji848]kipi kitakuwa muhimu kwako sasa?
kwani hujawahi kujiuliza unapokuwa kwenye usingizi mzito huwa unakuwa uko wapi. Anzia hapo.Wakuu hivi ni kweli itafika siku nitang'ata pamba na kuhifadhiwa futi 6 uko chini ya ardhi?
Hivi ni kweli kuna siku nitatoweka jumlajumla na sitaonekana popote pale juu ya huu uso mzuri wa dunia?
Wakuu mbona naona kama ni masihara. Ni kama ndoto yani.
Yani kuna siku uwepo wa kaburi ndo utabaki kuwa alama pekee kuwa niliwahi kuwepo duniani? Mbona km ukweli mchungu sana huu[emoji25]
Yani ni kweli itafika siku sitaweza kuingia tena hapa JF na kutupia chochote? meeeen! mbona hii ngumu kuprocess!
Yani itabaki historia tu kuna memba mimi nilikuwepo? Aaaiseee.
Anyway sio case.
Sasa swali langu inamaana muda huo wote mimi nitakuwa wapi wakuu? au labda namimi nitakuwa chobingo flan ameizing na sir God 'tunawapimia' waliobaki duniani na fujo zao?