Hivi ni kweli kusoma vitabu kunaweza kubadilisha maisha ya mtu? una ushahidi wowote?

Vitabu vinabadilisha jinsi unavyofikiri , ukishabadilisha jinsi unavyofikri lazima utende kwa utofauti kulingana na yale uliyoyasoma na matokea pia hutokea kulingana na fikra zetu , mfano mzuri hizi imani za kidini kila mtu anasoma kitabu cha dini yake na ana act tofauti na mwenzake kulingana na alichokisoma.
 
Hakika umeniongezea maarifa pia.

(Kila siku najitahidi kusoma kitabu). Nilianza na how not to die cha Fredrick grager,nikafata mashimo ya mfalme suleiman, nikasoma think again cha adam grant, nikafata cha Eat that Frog cha brian Tracy, secret living of Baba Sega's wives cha Rola, nasasa nasoma Think and grow wealthy,

Kiufupi hivi vitabu vimenibadirisha sna katika mitizamo awali nasasa baada ya. Nimejifunza mengi katik saikolojia, chakula , ushauri wa kuongeza kipato na athari za mitizamo hasi na chanya katika mambo mbalimbali.

Vimeniongeza katika kujiamini, kutazama mbele na major focus, vimenisaidia kujitenga na makundi yasio mazuri kwangu, matumizi mazuri ya muda, na namna ya kuishi na aina za watu maishani.

Niseme wazi kua: vitabu ni mwalimu mzuri zaidi na zaidi baaday ya mwalimu uliekutana nae darasani. Mengi na ziada unayapata kwa kusoma kuliko ulio fundishwa. Ni wewe sasa kuishi katika kujifunza " elimu haina mwisho" darasani hakutoshi wewe kupata maarifa pekee.
 
Kitabu kinaitwaje
Soma huu uzi
 
Mambo ya wazungu hayo achana nayo
 
Kiukweel mim naamini kusoma vitabu vinakupa uwezo mpana wa kuliona tatizo au changamoto flani kwa ukubwa zaidi, mfano niliposoma" rich dad poor dad " nilipata mwanga mkubwa juu ya elimu ya fedha namna nzur ya kujenga akili za watoto wetu. Kitu kikubwa ni kujua unahitaji nin, kwa wakati gani na wapi utakipataa.
 
Kiukweel mim naamini kusoma vitabu vinakupa uwezo mpana wa kuliona tatizo au changamoto flani kwa ukubwa zaidi, mfano niliposoma" rich dad poor dad " nilipata mwanga mkubwa juu ya elimu ya fedha namna nzur ya kujenga akili za watoto wetu. Pia ni njia
 
Kusoma na kuelimika ni vitu viwili tofauti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…