Hivi ni kweli kuwa wenye herufi "M" kwenye kiganja wana bahati sana?

we zali lako tu mkuu,mi nina hzo alama mikono yote miwili na sina lolote lile na umri unasonga
 
Aliyepoteza hiyo pesa ni nani? Nadhan ni mtu mhangaikaji kama wewe... Na alilaani sana kupoteza hiyo ela... Wewe unafurahia.... Kufa kufaana
 
Hapo kaka umechemka mbaya...
Maana iyo M haionekani mbona hapo na izo bahati zinakuja tuu sio hicho kiganja maana mie naona dabo dabo tuu hapo au M ndio ilivyo hivyo kikwenu?!!
 
Maendeleo ya binadamu hushahidishwa na bidii yake kwenye kazi. Anayebisha anipe mechanism ya herufi M kwenye kwenye kiganja na maendeleo ya binadam
 
Masikini haishiwi ndoto! Kuna mtu humu JF hua anachukua vitu kama hivi na kuvianzishia Mada za kufikirika,hivi mpaka karne hii ya kidigital bado watu wana mawazo ya kijinga kabisa?!!
 
Hahahahaaa kijiji gani hicho mkuu?
Nisije kujichanganya nikaja huko nikarudi kilema bure!
[ATTACH=
Mbona kaa yangu imezidi ila mambo ngumu bado meku!
 

Attachments

  • 1460923428524.jpg
    122.2 KB · Views: 113
Mhh! Hizi imani kazi kweli kweli, ndio yale yale ya kulala na Mama yako ndipo upadate utajiri.
 
Hv viganja mnavoonyesha mbna mi siioni hio M
Maisha Kuna bahati sawa ila bidii ni muhimu sana,changanya bidii na bahati
 
scientific proof please!
 
Masikini haishiwi ndoto! Kuna mtu humu JF hua anachukua vitu kama hivi na kuvianzishia Mada za kufikirika,hivi mpaka karne hii ya kidigital bado watu wana mawazo ya kijinga kabisa?!!
lakini asili ipo,haifai kudharauliwa moja kwa moja
 
abuu garcia nashangaa kila nikikuquote nikipost inagoma.

Anyway,nilikuwa nakuambi huenda siku yako haijafika (kama unaamini)

Pia.....uko na kiganja laini,hongera.
 
M inaandikwa hivyo?
 
Hv viganja mnavoonyesha mbna mi siioni hio M
Maisha Kuna bahati sawa ila bidii ni muhimu sana,changanya bidii na bahati
Bidii inahitajika kwa sana sio kulala tu tumbo juu
 
Nyie ndiyo mnaoua watu wengine kwa kisingizio cha utajiri. Huyo mganga kakudanganya na ukiendelea kumsikiliza atakuingiza matatani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…