Hivi ni kweli kuwa wenye herufi "M" kwenye kiganja wana bahati sana?

Naamini katika kujituma kufanya kazi sahihi kwa bidii na mpangilio na kwa wakati! sitaki uamini kama mimi lakini mambo mengine ni ya kipuuzi sana, ndo maana watu wengi wamebweteka bila kujishughulisha katika shughuli sahihi na kwa bidi wakiamini watatoka (One day yes!)
 
ninayo 'm' mkono wa kulia,I play my part to create my own luck , kama ulivyo ujumbe wa signature yangu
 
Maskini haishiwi ndoto. Unajua pale unapokuwa huna kitu mfukoni akili huwa inafanya kazi sana kujua ni namna gani mambo yatakuwa sawa. Mipango ikigoma ndio basi mawazo ya faraja hutujia.. Mf nikitoka nikitembea naweza nikaokota hela... Unakuta mtu anatembea road anatoa macho kwenye kila karatasi atakayoiona.. Na mengine ndio kama hayo ya kuwa na "M"
 
Hebu ngoja kwanza niangalie cha kwangu.

Nimeshawahi sikia, sema sijawahi kuangalia kiganja changu hata siku moja.

Ngoja kwanza, basi nimeghairi
 
Watanzania kutokuwa na elimu hasara yake ndiyo hii tunategemea kusaidiwa tu, alaf kuna mijitu mingine inatabia mbaya mno inanguvu ya kufanya kazi lakini haichoki kuomba omba, kila ukikutana naye ni kuomba tu!
 
Mawazo ya kimaskini haya.


Mkuu hapo umenena, unajua watu wenye fikra za namna hii ni wale wanaotafuta utajiri wa haraka haraka bila kujishughulisha, anatamani hata akaibe, au kamari ilimradi tu atoke kimaisha, huu ni upumbavu kabisa, na ndiomaana pesa za namns hiyo huwa hazina baraka, hata uibe mil 100 zitakwisha muda mfupi tu.
 

Hujatuambia huyo girlfriend wako ilikuwaje kuwaje mpaka akakutema, then akaolewa na ZUNGU? Dah shida hizi jamani
 
Mleta uzi unaota ndoto za mchana. ..si ajabu utakuwa ni mpiga ramli wewe!
 
pigeni kazi acheni imani za kusadikika!! Ni kazi tu ndio mkombozi wa maisha yako.
 
sasa apa tunatamanisha tu maana mii nashika mpunga mwing afu sio wangu afu kiganja changu kina M inakalibiana na N aya bwana kila mtu na riziki yake
 
Huu ujinga muache kufanya kazi mtegemee viganja. Hivi waafrika mlilogwa??? Ndo maana hili bara likaitwa bara la giza duuh majanga... karne ya 21 watu wana mawazo mgando namna hii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…