Una probability kubwa ya kuwa tajiri. Kama umeanza kuyaona mambo haya kwa umri huu (kama umesema kweli, maana wengine wanadanganya umri), kama una nia, hapana shaka utatumia muda wako na rasilimali utakazojaliwa kuutafuta utajiri. Siku zote penye nia kuna njia, tunakutakia kila la heri katika kutimiza ndoto yako ya utajiri. Kikubwa, unatakiwa kuijua thamani ya pesa hata iwe ndogo kiasi gani, kwani hiyo pesa ndogo ndio hukua na kuwa kubwa. Usitumie pesa ovyo, hata watu wakisema wewe ni bahili, usijali bali angalia malengo yako. BE AGGRESSIVE ON MONEY!
Sent using
Jamii Forums mobile app