Hivi ni kweli mganga anaweza akaboost muelekeo wa biashara yako au ni stori tu?

Hivi ni kweli mganga anaweza akaboost muelekeo wa biashara yako au ni stori tu?

Sasa unafiq unakujaje hapa koneksheni za utajiri Sina nimesema sasa nani mnafiq hapa.
Mwanaume akiombwa jambo na mwanaume mwenzake jibu linatakiwa liwe Moja na lililonyooka, kwamba ninayo namba hii hapa, ama Sina namba ila Nina ya mkali atakayefanya jambo hili na hili, Sasa ukianza ooh sjui siwajui mara sitak kuhusika kwenye majuto yako BLA BLA zinakua nyingi
 
Mwanaume akiombwa jambo na mwanaume mwenzake jibu linatakiwa liwe Moja na lililonyooka, kwamba ninayo namba hii hapa, ama Sina namba ila Nina ya mkali atakayefanya jambo hili na hili, Sasa ukianza ooh sjui siwajui mara sitak kuhusika kwenye majuto yako BLA BLA zinakua nyingi
Namba hapa SI kuna sehemu ya kuombea
 
Back
Top Bottom