NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
Hapa upenuniHaya basi wa kawaida mkali, mana mkiskia utajiri mnaruka futi milioni..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa upenuniHaya basi wa kawaida mkali, mana mkiskia utajiri mnaruka futi milioni..
Mkuu mbona unakuwa na jazba na kiburi namna hio wakati unahitaji msaadaKwani hujasoma hapo juu vizuri..mganga anayetoa maagano/masharti ya kupata utajiri wa kutisha
Tumeumbwa WENGI ili tujadiliane na kwa sababu tunatofaitiana n lazima tuvumilianeMkuu mbona unakuwa na jazba na kiburi namna hio wakati unahitaji msaada
NAGAMAHONGA pole kwa kejeli za huyu bwana
Endeleea kudondosha maarifa NAGAMAHONGA
Huko mashuleni mateacher hapigani ndumbaNgoja wachawi waje wakupe muongozo
Tatizo mnakua na UNAFIKI mwingi tu nachukia mtu mnafiki na mjuaji ...Mkuu mbona unakuwa na jazba na kiburi namna hio wakati unahitaji msaada
NAGAMAHONGA pole kwa kejeli za huyu bwana
Endeleea kudondosha maarifa NAGAMAHONGA
Karibuni wanajukwaa
View attachment 3237711
this is INSANE😇🤣Umeshawaza kuhusu UKIMWI?Mie nataka mganga wakubust kibamia changu na niwe nape dwa na masingle maza tuu kama hamisa
Sasa unafiq unakujaje hapa koneksheni za utajiri Sina nimesema sasa nani mnafiq hapa.Tatizo mnakua na UNAFIKI mwingi tu nachukia mtu mnafiki na mjuaji ...
Insanity zipo za Aina nyingi tu inategemea mtu amechagua ipi.this is INSANE😇🤣
Ha ha ha ha😆😆Huyu jamaa kalewa wikiendi mkuu achana nae
Kwa hii😇, sasa hapo ODDS ni ngapi? ,bora betting ya ⚽,Insanity zipo za Aina nyingi tu inategemea mtu amechagua ipi.
Mwanaume akiombwa jambo na mwanaume mwenzake jibu linatakiwa liwe Moja na lililonyooka, kwamba ninayo namba hii hapa, ama Sina namba ila Nina ya mkali atakayefanya jambo hili na hili, Sasa ukianza ooh sjui siwajui mara sitak kuhusika kwenye majuto yako BLA BLA zinakua nyingiSasa unafiq unakujaje hapa koneksheni za utajiri Sina nimesema sasa nani mnafiq hapa.
Mafukara ndio hulewa, sitaki kusikia harufu ya pombe.Huyu jamaa kalewa wikiendi mkuu achana nae
😇hapa ODDS ni Siri ya mwenyewe fundiKaribuni wanajukwaa
View attachment 3237711
Naweza kumzaa baba yako, pamoja na wewe.We bado mtoto
Namba hapa SI kuna sehemu ya kuombeaMwanaume akiombwa jambo na mwanaume mwenzake jibu linatakiwa liwe Moja na lililonyooka, kwamba ninayo namba hii hapa, ama Sina namba ila Nina ya mkali atakayefanya jambo hili na hili, Sasa ukianza ooh sjui siwajui mara sitak kuhusika kwenye majuto yako BLA BLA zinakua nyingi
HakunaKuna tofauti ya uganga na mazingaombwe.
SawaHakuna