Hivi ni kweli mganga anaweza kufanya mwanamke asiekupenda akakupenda?!

Hivi ni kweli mganga anaweza kufanya mwanamke asiekupenda akakupenda?!

Ni kweli nilienda kwa mganga akanipa dawa ya kupendwa khee nikaenda zangu nikakutana na demu njiani tu nikamkumbatia nilipigwa kofi sitasahau mpka leo sitak kusikia waganga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ipo kweli hiyo dawa, na waganga wapoo.
Njoo nikupe connection.
 
Umemtongoza sana, ila kukupa chezo hataki, maanake si hakutaki maana kakuona unataka chezo tu.

Hiyo hiyo hela ya mganga si ukanunue chezo Buguruni Kimboka u save muda.
 
Kwema wakulungwa.

Hii imenitokea juzi kuna demu ananisumbua sana apa mtaani nishamtongoza sana ila kunpa mchezo anazngua sasa nkawa nmemsimulia jamaa ang mmoja akanishauri nmchek mtaalamu mmoja yupo uko mkoan baada ya kuongea na uyo mtaalam kasema nmtumie majina ya uyo dem na hela ya kaz sh elfu 7 tu! (apa me mwenyewe nmepgwa na bumbuwazi kwa hela ya kazi kuwa ndogo hvo).

Apa npo nafanya mchakato wa kutafta hyo hela anpgie hyo kazi ila je ni kwel wakulungwa hili jambo lnawezekana na nkafnikiwa kuila papuchi ya uyu dem?

Naomba wenye ushahidi na aya mambo waje wanipe ukwel apa.

Njian kwenda tunisia kumushabkia mwananchi😎
Dawa zikiisha atageuka kuwa adui yako
 
Mwambie huyo mganga akupe dawa ya mvuto wa hela kwanza
 
Back
Top Bottom