Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiona sehemu yenye pesa haiendi vizuri ujuwe kuna wezi.Yaan watu wa CCM wanafiki sana,mradi au kitu chochote kikifanya vizuri,MAMA ANAUPIGA MWINGI,ila kikiwa kibovu,mfano TANESCO,au barabara Mbovu,ccm haihusiki ni watu wengine wanaohusika.
Rubish
Amnapo hukonNnagalantu ni watu nyoni zaidiNa hapo bado wanaongeza route ya Mbagala na Gongolamboto
Serikali ya CCM wanajuwa haya toka tumepata uhuru mwaka 1961 lakini utashangaa kila zama / awamu inayokuja ujinga ni ule ule na hakuna rais anayeshituka, wanaona sawa tu.Yaan kiukweli ile njia ya mwendokasi ni kheri tungejenga fly over ya toka kimara to posta, speed ingekuwa ni not less than 50 Km ingekuwa ni tosha kabisa