Hivi ni kweli sex ndo kipimo cha upendo wa dhati?

unaweza ukaoa na ukawa unanyimwa vile vile, suluhiso siyo ndoa...ukiamua kuingia kwenye mahusiano ya kimapenzi ujue ndio umeamua kushiriki ngono, suala la haraka/mapema sana halina mantiki
Uoe af unyimwe mapenzi bila sababu na wewe una nyamaza tu
 
Uoe af unyimwe mapenzi bila sababu na ww una nyamaza tu
umeona sasa eeh?unaoa, unanyimwa mapenzi kwa sababu za hovyo kabisa na unanyamaza kimya...unaamua kwenda kutafuta mchepuko nje, sasa mtu aje nje (kwa aliyeoa)afu uanze kumsubirisha tena hiyo si biashara kichaa
 
Kimsingi Sex sio kipimo cha upendo ILA sex ni sehemu inayo waunganisha wapendanao
Vijana sana sana hawa early 20s ndio huifanya ionekana kukosa dhamani

Angalizo: Mtu kuoa au Kuolewa haimaanishi ndio atapata sex bila kipimo labda aliye bahatika;
Kumbuka kuna watu (wanaume na wanawake) wa aina tatu
1. Wanaopenda sana sex/muda wote wapo hot (hormone zao zipo juu)
2. Wanaopenda sex kawaida (mara mbili au tatu kwa wiki)
3. wasio penda sex (hufanya kwa kutimiza wajibu) hormone zao zipo chini

Mf: namba 1 na namba 3 ni ngumu kuishi kwenye Ndoa; Kutahitajika msaada wa Mungu kwa aliye hot muda wote kuweza kuzuia ham yake asitoke....
Mwisho: Sex iko overated kuwa nikitu kitamu pengine kushinda vyote duniani kitu ambacho sidhani kama ni kweli. Hii hufanya vijana waone mawasiliano pekee na mwanamke ni kufanya sex.....
 
Kwa sentensi yako hiyo inaonesha kabisa wewe mwenyewe unaamini sex ni muhimu katika mapenzi ya dhati kwa wanandoa; ama nitakuwa sijakusoma barabara!?
Uzi wng umezungumzia kwa wapenzi , sio wanandoa kwa wanandoa ni marufuku mtu kukataa sex bila sababu ya msingi
 
Ila Uzi wangu umejikita kwa wapenzi
 
Ngono hadi wadudu wanafanya, kuifanya ngono kama kitu fulani speeesho ni ujinga.

Ngono is overrated!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…