Hivi ni kweli sex ndo kipimo cha upendo wa dhati?

Hivi ni kweli sex ndo kipimo cha upendo wa dhati?

inategemea na age ,kuna ages ukifika lazima iwe ni kipimo cha upendo na kuna ages ikifika inakuwa kizuio cha kumfanya mtu kutotoka nje ya ndoa ........

nadhan nimeeleweka
 
In my Opinions sex is a basic need especially kwa wanaume. We need it as much as tunavyohitaji mambo mengine tu kama kula, kuvaa, kulala na hela.

Kwa kuwa sex ni hitaji la lazima kwa binadamu esp. kwa mwanaume aliekamilika na mwenye afya na sex ili ikamilike ni lazima awepo mwanamke wa kufanya nae.

Hapo mwanzo kulitazama hilo kwa busara na hekima ya kibinadamu ikiwa ana reasoning kuliko wanyama, ndio ikafanyika urasmi wa tendo hilo uwepo katika muunganiko wa mwanamke na mwanaume ndipo concept ya ndoa ikaletwa. Na uzuri sex inaendana na uzazi yani reproduction kwahio kwa kuzingatia ustaarabu zaidi ikapendekezwa ni vyema mwanaume azae na mwanamke ambaye ataambatana nae katika ndoa ili kujenga kingdom yake.

Flash forward katika kizazi hiki cha utandawazi uhitaji wa sex umekuwa dhahiri kabisa kwa jinsia zote mbili. Ila kwa kuwa mihemuko iko juu zaidi kwa wanaume wao hupata shida zaidi.

CONNECTION YA MAPENZ NA SEX.
Ili kupata sex sahizi ni lazima utengeneze mazingira ya ulaghai ama lah utumie ushawishi wa kifedha.

Hili linafanyika kwa ME kumshawishi KE kwa maneno mazuri kuwa anampenda. Ikiwa mwanamke atavutiwa nae basi wataelewana na kinachofuata ni kufanya ngono. Hapo neno kupenda linatumika kama kiwakilishi tu cha uhitaji wa ngono so sio kila anayesema anakupenda ni kuwa ana hisia na wewe. Isitoshe ni un-usual kumwambia mwanamke nataka tukafanye ngono, atakutukana au kukuona mtu wa ajabu unless wale wanaojiuza.

Basically, Both Men and women huwa tunasukumwa na tamaa ya kukutana kimwili mara nyingi kutokana na physical attractive attributes alizonazo mtu au behaviours za mtu husika.

Sex sio kipimo ila ni mlango wa kufungua ukurasa wa mapenzi baina ya wawili. Pia sex kama basic need inahitajika on a constant supply kila mtu akipata kiu.

Ikitokea sex imekuwa limited basi ni rahisi sana kwa mwenza mmoja ku sneak around kutafta suluhu nje. Ama uhusiano ama ndoa kuvunjika kabisa.
 
In my Opinions sex is a basic need especially kwa wanaume. We need it as much as tunavyohitaji mambo mengine tu kama kula, kuvaa, kulala na hela.

Kwa kuwa sex ni hitaji la lazima kwa binadamu esp. kwa mwanaume aliekamilika na mwenye afya na sex ili ikamilike ni lazima awepo mwanamke wa kufanya nae.

Hapo mwanzo kulitazama hilo kwa busara na hekima ya kibinadamu ikiwa ana reasoning kuliko wanyama, ndio ikafanyika urasmi wa tendo hilo uwepo katika muunganiko wa mwanamke na mwanaume ndipo concept ya ndoa ikaletwa. Na uzuri sex inaendana na uzazi yani reproduction kwahio kwa kuzingatia ustaarabu zaidi ikapendekezwa ni vyema mwanaume azae na mwanamke ambaye ataambatana nae katika ndoa ili kujenga kingdom yake.

Flash forward katika kizazi hiki cha utandawazi uhitaji wa sex umekuwa dhahiri kabisa kwa jinsia zote mbili. Ila kwa kuwa mihemuko iko juu zaidi kwa wanaume wao hupata shida zaidi.

CONNECTION YA MAPENZ NA SEX.
Ili kupata sex sahizi ni lazima utengeneze mazingira ya ulaghai ama lah utumie ushawishi wa kifedha.

Hili linafanyika kwa ME kumshawishi KE kwa maneno mazuri kuwa anampenda. Ikiwa mwanamke atavutiwa nae basi wataelewana na kinachofuata ni kufanya ngono. Hapo neno kupenda linatumika kama kiwakilishi tu cha uhitaji wa ngono so sio kila anayesema anakupenda ni kuwa ana hisia na wewe. Isitoshe ni un-usual kumwambia mwanamke nataka tukafanye ngono, atakutukana au kukuona mtu wa ajabu unless wale wanaojiuza.

Basically, Both Men and women huwa tunasukumwa na tamaa ya kukutana kimwili mara nyingi kutokana na physical attractive attributes alizonazo mtu au behaviours za mtu husika.

Sex sio kipimo ila ni mlango wa kufungua ukurasa wa mapenzi baina ya wawili. Pia sex kama basic need inahitajika on a constant supply kila mtu akipata kiu.

Ikitokea sex imekuwa limited basi ni rahisi sana kwa mwenza mmoja ku sneak around kutafta suluhu nje. Ama uhusiano ama ndoa kuvunjika kabisa.
Csemei ndoa nasemea uhusiano wa kimapenzi
 
Katika kizazi hiki cha sayansi na teknolojia kumekuwa na wimbi la wanaume wengi kuona ngono Kama ndio kipimo cha mapenzi ya dhati, imefikia kipindi mwanaume unakutana nae leo alafu kesho anakuambia msex .

Bila kufikiria Kama uyu mtu ni mzima, Jambo Hili linapelekea kuumiza baadhi ya wasichana wengi wasasa na baadhi yao kujikuta hawadumu kwenye mahusiano. Hivyo naombeni kujibiwa" hivi ngono ndio kipimo cha upendo wa dhati"
We umeomba uchumba humu halafu mara unakuja na maswali ya aina hii.wameshakuomba sex tayari?
 
Katika kizazi hiki cha sayansi na teknolojia kumekuwa na wimbi la wanaume wengi kuona ngono Kama ndio kipimo cha mapenzi ya dhati, imefikia kipindi mwanaume unakutana nae leo alafu kesho anakuambia msex .

Bila kufikiria Kama uyu mtu ni mzima, Jambo Hili linapelekea kuumiza baadhi ya wasichana wengi wasasa na baadhi yao kujikuta hawadumu kwenye mahusiano. Hivyo naombeni kujibiwa" hivi ngono ndio kipimo cha upendo wa dhati"

Eti njaa ndio kipimo cha apetites!!subiri na log in
 
In my Opinions sex is a basic need especially kwa wanaume. We need it as much as tunavyohitaji mambo mengine tu kama kula, kuvaa, kulala na hela.

Kwa kuwa sex ni hitaji la lazima kwa binadamu esp. kwa mwanaume aliekamilika na mwenye afya na sex ili ikamilike ni lazima awepo mwanamke wa kufanya nae.

Hapo mwanzo kulitazama hilo kwa busara na hekima ya kibinadamu ikiwa ana reasoning kuliko wanyama, ndio ikafanyika urasmi wa tendo hilo uwepo katika muunganiko wa mwanamke na mwanaume ndipo concept ya ndoa ikaletwa. Na uzuri sex inaendana na uzazi yani reproduction kwahio kwa kuzingatia ustaarabu zaidi ikapendekezwa ni vyema mwanaume azae na mwanamke ambaye ataambatana nae katika ndoa ili kujenga kingdom yake.

Flash forward katika kizazi hiki cha utandawazi uhitaji wa sex umekuwa dhahiri kabisa kwa jinsia zote mbili. Ila kwa kuwa mihemuko iko juu zaidi kwa wanaume wao hupata shida zaidi.

CONNECTION YA MAPENZ NA SEX.
Ili kupata sex sahizi ni lazima utengeneze mazingira ya ulaghai ama lah utumie ushawishi wa kifedha.

Hili linafanyika kwa ME kumshawishi KE kwa maneno mazuri kuwa anampenda. Ikiwa mwanamke atavutiwa nae basi wataelewana na kinachofuata ni kufanya ngono. Hapo neno kupenda linatumika kama kiwakilishi tu cha uhitaji wa ngono so sio kila anayesema anakupenda ni kuwa ana hisia na wewe. Isitoshe ni un-usual kumwambia mwanamke nataka tukafanye ngono, atakutukana au kukuona mtu wa ajabu unless wale wanaojiuza.

Basically, Both Men and women huwa tunasukumwa na tamaa ya kukutana kimwili mara nyingi kutokana na physical attractive attributes alizonazo mtu au behaviours za mtu husika.

Sex sio kipimo ila ni mlango wa kufungua ukurasa wa mapenzi baina ya wawili. Pia sex kama basic need inahitajika on a constant supply kila mtu akipata kiu.

Ikitokea sex imekuwa limited basi ni rahisi sana kwa mwenza mmoja ku sneak around kutafta suluhu nje. Ama uhusiano ama ndoa kuvunjika kabisa.
[emoji817] true
 
Back
Top Bottom