Hivi ni kweli sex ndo kipimo cha upendo wa dhati?

Hivi ni kweli sex ndo kipimo cha upendo wa dhati?

Sex ilipewa thamani hapo nyuma na mpaka ikaitwa tendo la ndoa Ivo

Kwenye upendo asilimia kubwa sex lazima iwepo kama kipimo moja wapo cha upendo

Overall kumvulia chupi mtu yoyote sio kazi ndogo
Ndio maana yake.

Na ndio maana watu wakinyimwa haki yao wanalalamika "Mke wangu hataki kunipa unyumba siku hizi"
 
We unataka kuwa kwenye mahusiano ili upewe tuzo ama?
 
Back
Top Bottom