T11
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 5,101
- 4,560
Mada zako hiziBora umenisaidia maana nilikuwa nawaza hata naanzaje kum qoute huyu jamaa...Kigumu ni kipi kueleweka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mada zako hiziBora umenisaidia maana nilikuwa nawaza hata naanzaje kum qoute huyu jamaa...Kigumu ni kipi kueleweka.
Inawezekana kabisa..na hata wewe unaweza fanya na MWANAMKE ambae humpendi wala hukumtamani Bali mazingira tuKwahyo unaweza ukampa mtu mbunye hata kama humpendi?
Girlss wengi mna jifanyaga hamsikii utamu wa tendo ..eboooKatika kizazi hiki cha sayansi na teknolojia kumekuwa na wimbi la wanaume wengi kuona ngono Kama ndio kipimo cha mapenzi ya dhati, imefikia kipindi mwanaume unakutana nae leo alafu kesho anakuambia msex .
Bila kufikiria Kama uyu mtu ni mzima, Jambo Hili linapelekea kuumiza baadhi ya wasichana wengi wasasa na baadhi yao kujikuta hawadumu kwenye mahusiano. Hivyo naombeni kujibiwa" hivi ngono ndio kipimo cha upendo wa dhati"
Walioa wanachepuka pia,ili kupunguza mzukaAsante, but why usioe ndo upate Pa kupunguzia mzuka[emoji848]
Ulaghai lazima utumikw Zama hizi ili kupata ngonoIn my Opinions sex is a basic need especially kwa wanaume. We need it as much as tunavyohitaji mambo mengine tu kama kula, kuvaa, kulala na hela.
Kwa kuwa sex ni hitaji la lazima kwa binadamu esp. kwa mwanaume aliekamilika na mwenye afya na sex ili ikamilike ni lazima awepo mwanamke wa kufanya nae.
Hapo mwanzo kulitazama hilo kwa busara na hekima ya kibinadamu ikiwa ana reasoning kuliko wanyama, ndio ikafanyika urasmi wa tendo hilo uwepo katika muunganiko wa mwanamke na mwanaume ndipo concept ya ndoa ikaletwa. Na uzuri sex inaendana na uzazi yani reproduction kwahio kwa kuzingatia ustaarabu zaidi ikapendekezwa ni vyema mwanaume azae na mwanamke ambaye ataambatana nae katika ndoa ili kujenga kingdom yake.
Flash forward katika kizazi hiki cha utandawazi uhitaji wa sex umekuwa dhahiri kabisa kwa jinsia zote mbili. Ila kwa kuwa mihemuko iko juu zaidi kwa wanaume wao hupata shida zaidi.
CONNECTION YA MAPENZ NA SEX.
Ili kupata sex sahizi ni lazima utengeneze mazingira ya ulaghai ama lah utumie ushawishi wa kifedha.
Hili linafanyika kwa ME kumshawishi KE kwa maneno mazuri kuwa anampenda. Ikiwa mwanamke atavutiwa nae basi wataelewana na kinachofuata ni kufanya ngono. Hapo neno kupenda linatumika kama kiwakilishi tu cha uhitaji wa ngono so sio kila anayesema anakupenda ni kuwa ana hisia na wewe. Isitoshe ni un-usual kumwambia mwanamke nataka tukafanye ngono, atakutukana au kukuona mtu wa ajabu unless wale wanaojiuza.
Basically, Both Men and women huwa tunasukumwa na tamaa ya kukutana kimwili mara nyingi kutokana na physical attractive attributes alizonazo mtu au behaviours za mtu husika.
Sex sio kipimo ila ni mlango wa kufungua ukurasa wa mapenzi baina ya wawili. Pia sex kama basic need inahitajika on a constant supply kila mtu akipata kiu.
Ikitokea sex imekuwa limited basi ni rahisi sana kwa mwenza mmoja ku sneak around kutafta suluhu nje. Ama uhusiano ama ndoa kuvunjika kabisa.
Mkuu kununuwa nyumba bila kupewa hati ni utapeli..Katika kizazi hiki cha sayansi na teknolojia kumekuwa na wimbi la wanaume wengi kuona ngono Kama ndio kipimo cha mapenzi ya dhati, imefikia kipindi mwanaume unakutana nae leo alafu kesho anakuambia msex .
Bila kufikiria Kama uyu mtu ni mzima, Jambo Hili linapelekea kuumiza baadhi ya wasichana wengi wasasa na baadhi yao kujikuta hawadumu kwenye mahusiano. Hivyo naombeni kujibiwa" hivi ngono ndio kipimo cha upendo wa dhati"
Ndio maana nilisema msukumo wa ngono unatokana na kiu ya mwili juu ya hilo tendo. Mfano mtt wa kike kipindi cha joto au ovulation huwa anakuwa na akshi sana kiasi kwamba huwa anaweza sex na dume lolote lililo accessible hata ikiwa hajawahi kuwa na hisia nae za kimapenzi.Inawezekana kabisa..na hata wewe unaweza fanya na MWANAMKE ambae humpendi wala hukumtamani Bali mazingira tu
Nikweli wakato was ovulation ...unakuwa na hamu Sana Sana Sana hata sex inakuwa nzuri Sana ..lakini swala la kufanya na mwanaume yoyote sikweli hata kidogo...yaani nakataa.Ndio maana nilisema msukumo wa ngono unatokana na kiu ya mwili juu ya hilo tendo. Mfano mtt wa kike kipindi cha joto au ovulation huwa anakuwa na akshi sana kiasi kwamba huwa anaweza sex na dume lolote lililo accessible hata ikiwa hajawahi kuwa na hisia nae za kimapenzi.
Mnatombw@g@ yani...Unakuta mwanaume uliyemueka kwenye queue mda mrefu akikukomalia ndani ya ovulation days unaenda mpa mzigo freshi tu.Nikweli wakato was ovulation ...unakuwa na hamu Sana Sana Sana hata sex inakuwa nzuri Sana ..lakini swala la kufanya na mwanaume yoyote sikweli hata kidogo...yaani nakataa.
Mimi nikiwa kwa ovulation SIWEZI mkuta mkaka barabarani nikamwambia Kaka Nina hamu tukafanye...hayo yanfanywa na wanawake wachache Sana....Sijui Kama huwa wazima.
What i actually mean, kuna yule mwana ambaye anakuwaga kwenye queue ama pending list. Kashakuimbia sana juu ya hisia zake kwako unamletea pozi.Nikweli wakato was ovulation ...unakuwa na hamu Sana Sana Sana hata sex inakuwa nzuri Sana ..lakini swala la kufanya na mwanaume yoyote sikweli hata kidogo...yaani nakataa.
Mimi nikiwa kwa ovulation SIWEZI mkuta mkaka barabarani nikamwambia Kaka Nina hamu tukafanye...hayo yanfanywa na wanawake wachache Sana....Sijui Kama huwa wazima.
Yani sex iwe kama valve?😝inategemea na age ,kuna ages ukifika lazima iwe ni kipimo cha upendo na kuna ages ikifika inakuwa kizuio cha kumfanya mtu kutotoka nje ya ndoa ........
nadhan nimeeleweka
CjajuaWe umeomba uchumba humu halafu mara unakuja na maswali ya aina hii.wameshakuomba sex tayari?
Extrovert mtalaqm wa kuqngua vicheko umeona bango limewaka hapoGirlss wengi mna jifanyaga hamsikii utamu wa tendo ..ebooo
Wote wana kuwa na agezi wana kutama kuzipu guza yatakayo fuata i history
Anazengua huyo jamaa, mwanamke inasemekana anapata enjoyment kuliko hata msuguaji. Yani concept iko kama unapokuna panapowasha.Extrovert mtalaqm wa kuqngua vicheko umeona bango limewaka hapo
Mtoa uzi ana gqndamiza jinsia moja ati kana kwamba girls hawasikii kale kaladhaa ...
Alafu ilihali wao kufika mliman ndio wanachukua dakika nyingiiiiii yaan girls wana consume a lot of men's energy to make her reach to the climax
Hahaha mtoa mada hajui vitu kama ivi ...Anazengua huyo jamaa, mwanamke inasemekana anapata enjoyment kuliko hata msuguaji. Yani concept iko kama unapokuna panapowasha.
Kwa wanaojiheshimu.Sex ilipewa thamani hapo nyuma na mpaka ikaitwa tendo la ndoa Ivo
Kwenye upendo asilimia kubwa sex lazima iwepo kama kipimo moja wapo cha upendo
Overall kumvulia chupi mtu yoyote sio kazi ndogo
Kwa wanaojiendekezaWanaume tumeumbiwa tamaa, kila sura tunatamani, kuoa sio solution ya matatizo, leo utamani mnene, kesho mwembamba, matiti makubwa Mara madogo, tako kubwa Mara dogo, hips kubwa na asie hips
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakielewa hili kuwa taste inabadilika wala wanawake hawatapata tabu na sieWanaume tumeumbiwa tamaa, kila sura tunatamani, kuoa sio solution ya matatizo, leo utamani mnene, kesho mwembamba, matiti makubwa Mara madogo, tako kubwa Mara dogo, hips kubwa na asie hips
Sent using Jamii Forums mobile app