Hivi ni kweli sex ndo kipimo cha upendo wa dhati?

Hivi ni kweli sex ndo kipimo cha upendo wa dhati?

Mpe mwenzio k*ma at**be acha kumzingua aisee!
Pengine ushamchuna had kakonda na kujikatia tamaa
 
Katika kizazi hiki cha sayansi na teknolojia kumekuwa na wimbi la wanaume wengi kuona ngono Kama ndio kipimo cha mapenzi ya dhati, imefikia kipindi mwanaume unakutana nae leo alafu kesho anakuambia msex .

Bila kufikiria Kama uyu mtu ni mzima, Jambo Hili linapelekea kuumiza baadhi ya wasichana wengi wasasa na baadhi yao kujikuta hawadumu kwenye mahusiano. Hivyo naombeni kujibiwa" hivi ngono ndio kipimo cha upendo wa dhati"
Girlss wengi mna jifanyaga hamsikii utamu wa tendo ..ebooo

Wote wana kuwa na agezi wana kutama kuzipu guza yatakayo fuata i history
 
In my Opinions sex is a basic need especially kwa wanaume. We need it as much as tunavyohitaji mambo mengine tu kama kula, kuvaa, kulala na hela.

Kwa kuwa sex ni hitaji la lazima kwa binadamu esp. kwa mwanaume aliekamilika na mwenye afya na sex ili ikamilike ni lazima awepo mwanamke wa kufanya nae.

Hapo mwanzo kulitazama hilo kwa busara na hekima ya kibinadamu ikiwa ana reasoning kuliko wanyama, ndio ikafanyika urasmi wa tendo hilo uwepo katika muunganiko wa mwanamke na mwanaume ndipo concept ya ndoa ikaletwa. Na uzuri sex inaendana na uzazi yani reproduction kwahio kwa kuzingatia ustaarabu zaidi ikapendekezwa ni vyema mwanaume azae na mwanamke ambaye ataambatana nae katika ndoa ili kujenga kingdom yake.

Flash forward katika kizazi hiki cha utandawazi uhitaji wa sex umekuwa dhahiri kabisa kwa jinsia zote mbili. Ila kwa kuwa mihemuko iko juu zaidi kwa wanaume wao hupata shida zaidi.

CONNECTION YA MAPENZ NA SEX.
Ili kupata sex sahizi ni lazima utengeneze mazingira ya ulaghai ama lah utumie ushawishi wa kifedha.

Hili linafanyika kwa ME kumshawishi KE kwa maneno mazuri kuwa anampenda. Ikiwa mwanamke atavutiwa nae basi wataelewana na kinachofuata ni kufanya ngono. Hapo neno kupenda linatumika kama kiwakilishi tu cha uhitaji wa ngono so sio kila anayesema anakupenda ni kuwa ana hisia na wewe. Isitoshe ni un-usual kumwambia mwanamke nataka tukafanye ngono, atakutukana au kukuona mtu wa ajabu unless wale wanaojiuza.

Basically, Both Men and women huwa tunasukumwa na tamaa ya kukutana kimwili mara nyingi kutokana na physical attractive attributes alizonazo mtu au behaviours za mtu husika.

Sex sio kipimo ila ni mlango wa kufungua ukurasa wa mapenzi baina ya wawili. Pia sex kama basic need inahitajika on a constant supply kila mtu akipata kiu.

Ikitokea sex imekuwa limited basi ni rahisi sana kwa mwenza mmoja ku sneak around kutafta suluhu nje. Ama uhusiano ama ndoa kuvunjika kabisa.
Ulaghai lazima utumikw Zama hizi ili kupata ngono
 
Katika kizazi hiki cha sayansi na teknolojia kumekuwa na wimbi la wanaume wengi kuona ngono Kama ndio kipimo cha mapenzi ya dhati, imefikia kipindi mwanaume unakutana nae leo alafu kesho anakuambia msex .

Bila kufikiria Kama uyu mtu ni mzima, Jambo Hili linapelekea kuumiza baadhi ya wasichana wengi wasasa na baadhi yao kujikuta hawadumu kwenye mahusiano. Hivyo naombeni kujibiwa" hivi ngono ndio kipimo cha upendo wa dhati"
Mkuu kununuwa nyumba bila kupewa hati ni utapeli..
Jiongeze..
 
Inawezekana kabisa..na hata wewe unaweza fanya na MWANAMKE ambae humpendi wala hukumtamani Bali mazingira tu
Ndio maana nilisema msukumo wa ngono unatokana na kiu ya mwili juu ya hilo tendo. Mfano mtt wa kike kipindi cha joto au ovulation huwa anakuwa na akshi sana kiasi kwamba huwa anaweza sex na dume lolote lililo accessible hata ikiwa hajawahi kuwa na hisia nae za kimapenzi.
 
Ndio maana nilisema msukumo wa ngono unatokana na kiu ya mwili juu ya hilo tendo. Mfano mtt wa kike kipindi cha joto au ovulation huwa anakuwa na akshi sana kiasi kwamba huwa anaweza sex na dume lolote lililo accessible hata ikiwa hajawahi kuwa na hisia nae za kimapenzi.
Nikweli wakato was ovulation ...unakuwa na hamu Sana Sana Sana hata sex inakuwa nzuri Sana ..lakini swala la kufanya na mwanaume yoyote sikweli hata kidogo...yaani nakataa.

Mimi nikiwa kwa ovulation SIWEZI mkuta mkaka barabarani nikamwambia Kaka Nina hamu tukafanye...hayo yanfanywa na wanawake wachache Sana....Sijui Kama huwa wazima.
 
Ila trust me hapa ndio wengi huwa
Nikweli wakato was ovulation ...unakuwa na hamu Sana Sana Sana hata sex inakuwa nzuri Sana ..lakini swala la kufanya na mwanaume yoyote sikweli hata kidogo...yaani nakataa.

Mimi nikiwa kwa ovulation SIWEZI mkuta mkaka barabarani nikamwambia Kaka Nina hamu tukafanye...hayo yanfanywa na wanawake wachache Sana....Sijui Kama huwa wazima.
Mnatombw@g@ yani...Unakuta mwanaume uliyemueka kwenye queue mda mrefu akikukomalia ndani ya ovulation days unaenda mpa mzigo freshi tu.
Nikweli wakato was ovulation ...unakuwa na hamu Sana Sana Sana hata sex inakuwa nzuri Sana ..lakini swala la kufanya na mwanaume yoyote sikweli hata kidogo...yaani nakataa.

Mimi nikiwa kwa ovulation SIWEZI mkuta mkaka barabarani nikamwambia Kaka Nina hamu tukafanye...hayo yanfanywa na wanawake wachache Sana....Sijui Kama huwa wazima.
What i actually mean, kuna yule mwana ambaye anakuwaga kwenye queue ama pending list. Kashakuimbia sana juu ya hisia zake kwako unamletea pozi.

Ila every dog has its day huwa tukikomaa ile siku upo kwenye ovulation mara tunachombeza uje geto unajikuta umelegeza masharti tu mara paap tumekulana😝
 
Girlss wengi mna jifanyaga hamsikii utamu wa tendo ..ebooo

Wote wana kuwa na agezi wana kutama kuzipu guza yatakayo fuata i history
Extrovert mtalaqm wa kuqngua vicheko umeona bango limewaka hapo

Mtoa uzi ana gqndamiza jinsia moja ati kana kwamba girls hawasikii kale kaladhaa ...
Alafu ilihali wao kufika mliman ndio wanachukua dakika nyingiiiiii yaan girls wana consume a lot of men's energy to make her reach to the climax
 
Extrovert mtalaqm wa kuqngua vicheko umeona bango limewaka hapo

Mtoa uzi ana gqndamiza jinsia moja ati kana kwamba girls hawasikii kale kaladhaa ...
Alafu ilihali wao kufika mliman ndio wanachukua dakika nyingiiiiii yaan girls wana consume a lot of men's energy to make her reach to the climax
Anazengua huyo jamaa, mwanamke inasemekana anapata enjoyment kuliko hata msuguaji. Yani concept iko kama unapokuna panapowasha.
 
Sex ilipewa thamani hapo nyuma na mpaka ikaitwa tendo la ndoa Ivo

Kwenye upendo asilimia kubwa sex lazima iwepo kama kipimo moja wapo cha upendo

Overall kumvulia chupi mtu yoyote sio kazi ndogo
Kwa wanaojiheshimu.
 
Back
Top Bottom