Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Kumbe Mdude ni mtu mkubwa kiasi hiki katika hii nchi!Nilikuwa sijui kama Mdude ana uwezo wa kuzuia Watanzania milioni 60 wasipate katiba.Umenena vizuri mkuu. " Sisi wengine kama wananchi kazi yetu inaishia kuipush serikali kwa hoja ili ione umuhimu wa kufanya huo mchakato na sio zaidi ya hapo"
Katiba mpya kamwe haipatikani kwa kuwatumia wavuta bhangi wamtukane rais. Mchakato huu kwa miaka hii mitano ulizikwa rasmi pale Mdude chadema alipomtukana rais.
Tatizo Chadema uelewa wao wa mambo sijui ukoje.
Wewe jifunze kiswahili kwanza ujue kwamba hata watu wawili wanaweza kufanya mkutano, halafu ndiyo uje kujadili mengine.Unaweza kufanya mkutano watu wawili faragha?.Yale ni mazungumzo ndo maana yakawa ya faragha.na ni tofauti kabisa na mkutano.Kwahiyo kama unashindwa kutofautisha mazungumzo na mkutano bila shaka wewe ndiye ambaye hujielewi bora ata hao unaowananga inawezekana wakawa wanajielewa kuliko wewe.
Kuna tatizo sehemu kwenye kichwa chakoUmenena vizuri mkuu. " Sisi wengine kama wananchi kazi yetu inaishia kuipush serikali kwa hoja ili ione umuhimu wa kufanya huo mchakato na sio zaidi ya hapo"
Katiba mpya kamwe haipatikani kwa kuwatumia wavuta bhangi wamtukane rais. Mchakato huu kwa miaka hii mitano ulizikwa rasmi pale Mdude chadema alipomtukana rais.
Tatizo Chadema uelewa wao wa mambo sijui ukoje.
Hivi nyi sukuma gang kwanini hamumkubali Mama!??Tukiachana na mazoea ya kijinga, uoga, na upumbavu wetu kiujumla, uwezo huo Rais wetu anautoa wapi?
Hakuna sehem nimesema ntampata kimba dogo ncha kaliNani anataka kimba yako?
Ni kweli Rais ndiyo mwenye uwezo wa kuamua whether mchakato wa Katiba ufanyike au usifanyike.Kwenye video hii, Tundu Lissu anazungumzia suala la katiba mpya na kudai kwamba Rais [kwa sasa ni Samia Suluhu Hassan] ndiye mwenye uwezo wa kuamua tupate katiba mpya au la!
Anzia dakika ya 6:00 - 6:16 hivi.
Hivi ni kweli kabisa Rais ndiye mwenye uwezo huo?
Tukiachana na mazoea ya kijinga, uoga, na upumbavu wetu kiujumla, uwezo huo Rais wetu anautoa wapi?
Rais wetu yupo juu ya kila kitu? Yupo juu ya katiba? Yupo juu ya wananchi?
Kwa nini yeye ndiye awe mwenye uwezo wa kuamua tupate katiba mpya au la and not we the people?
Hii nchi kila kitu mambo ni kinyumenyume tu!
NiliwaambiaVyama vya upinzani Tanzania shida yao wanataka majimbo na ruzuku basi ndio lengo lao kuu.
Juzi Mbowe baada ya kuitwa Ikulu kaaidiwa neema kedeke kuhusu maslahi yake leo kapiga gia angani.
Ukisema katiba mpya ipo mikononi mwa Rais maana yako ipo mikononi mwa CCM, kifupi Chadema wamepigishwa magoti na CCM baada ya kurushiwa fupa la nyama.
Ni kweli kukiwa na katiba mpya vyama vya upinzani vitapata majimbo na ruzuku??Vyama vya upinzani Tanzania shida yao wanataka majimbo na ruzuku basi ndio lengo lao kuu.
Juzi Mbowe baada ya kuitwa Ikulu kaaidiwa neema kedeke kuhusu maslahi yake leo kapiga gia angani.
Ukisema katiba mpya ipo mikononi mwa Rais maana yako ipo mikononi mwa CCM, kifupi Chadema wamepigishwa magoti na CCM baada ya kurushiwa fupa la nyama.
Hakuna sehem nimesema ntampata kimba dogo ncha kali
Wananchi hawawezi kuhitaji kitu wakakosa.Hivi katiba mpya ni hitaji la chadema tu ama ni hitaji la wananchi?.
Naona shida yako wewe ni Chedema as if wananchi tuliipa Chedema jukumu la kuhakikisha katiba napatikana kitu ambacho si kweli.
Naona una shida binafsi na Chedema na sio katiba
Visipopata vitaendelea kudai tena mabadiliko watakayooona yatawanufaisha.Ni kweli kukiwa na katiba mpya vyama vya upinzani vitapata majimbo na ruzuku??
Jibu swali kwanza. Acha upumbavu!Visipopata vitaendelea kudai tena mabadiliko watakayooona yatawanufaisha.
uwezo huo Rais anautoa wapi?Vyama vya siasa na asasi za kijamii zina uwezo wa kuhamasisha tu mapungufu yàliyopo kwenye Katiba ya sasa na kuhimiza mabadiliko.
Wananchi wa Tanzania watakwenda kwa upepo wa Serikali tu ila wao kama wao kipaumbele ni kuboresha uchumi wa mtu mmoja mmoja. Sioni utayari wao wa kuingia mtaani na kudai Katiba mpya
Mfumo gani? Mfumo rasmi au mfumo wa kienyeji?
Uwezo wa Rais kuamua tuwe na katiba mpya unatoka wapi?
Halafu nyie mbona mnakuwa wepesi sana kuubali upotoshaji? Umemsikia wapi Mbowe anasema katiba mpya sio muhimu kwa sasa?Hujasikia Mbowe amesema ni siri atakuwa anatoa kidogo kidogo, na amesema katiba mpya sio muhimu kwa sasa.
Nawaonea huruma wale vijana na tisheti zao #katibampya watavalia wapi tisheti zao.
Kashapiga mpunga wake safi kabisa😅 wapinzani wa kibongo bongo ni wachumia tumbo! Kashasainishwa Billion 1 yake hapo sahizi mambo safi! Lissu anakula genji lake shughuli imeisha.Hujasikia Mbowe amesema ni siri atakuwa anatoa kidogo kidogo, na amesema katiba mpya sio muhimu kwa sasa.
Nawaonea huruma wale vijana na tisheti zao #katibampya watavalia wapi tisheti zao.
Hao wanasiasa wenyewe wanaodai katiba mpya hawajielewi.
Eti Mbowe, mtu anayedai katiba mpya, anaenda kufanya mkutano na rais, halafu anawaambia watu kuna maneno ya siri wamezungumza.
Halafu watu wanamshangilia!