Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakubaliana na wewe kwa kutumia maandishi, lakini hao wananchi mpaka waje wapewe hiyo nguvu ya uamuzi wa mwisho, watakuwa wamechakazwa balaa. Swali kwako, uko tayari kuchakaa mpaka pale vikwazo vitakapo izidi serikali ndipo wananchi wapewe mamlaka yao?Wenye uamuzi wa mwisho ni wananchi!
Rais yupo chini ya wananchi. Hayupo juu ya wananchi.
Na ndo maana wananchi wanaweza kumtoa Rais madarakani.
Unabisha?
Kwenye video hii, Tundu Lissu anazungumzia suala la katiba mpya na kudai kwamba Rais [kwa sasa ni Samia Suluhu Hassan] ndiye mwenye uwezo wa kuamua tupate katiba mpya au la!
Anzia dakika ya 6:00 - 6:16 hivi.
Hivi ni kweli kabisa Rais ndiye mwenye uwezo huo?
Tukiachana na mazoea ya kijinga, uoga, na upumbavu wetu kiujumla, uwezo huo Rais wetu anautoa wapi?
Rais wetu yupo juu ya kila kitu? Yupo juu ya katiba? Yupo juu ya wananchi?
Kwa nini yeye ndiye awe mwenye uwezo wa kuamua tupate katiba mpya au la and not we the people?
Hii nchi kila kitu mambo ni kinyumenyume tu!
Kwenye katiba iliyopo ! Kwani si ndio mkuu wa nchi ?Mfumo gani? Mfumo rasmi au mfumo wa kienyeji?
Uwezo wa Rais kuamua tuwe na katiba mpya unatoka wapi?
Leo umeongea ngosha sio kutupia lawama upinzani wananchi ndio mafalaKwenye video hii, Tundu Lissu anazungumzia suala la katiba mpya na kudai kwamba Rais [kwa sasa ni Samia Suluhu Hassan] ndiye mwenye uwezo wa kuamua tupate katiba mpya au la!
Anzia dakika ya 6:00 - 6:16 hivi.
Hivi ni kweli kabisa Rais ndiye mwenye uwezo huo?
Tukiachana na mazoea ya kijinga, uoga, na upumbavu wetu kiujumla, uwezo huo Rais wetu anautoa wapi?
Rais wetu yupo juu ya kila kitu? Yupo juu ya katiba? Yupo juu ya wananchi?
Kwa nini yeye ndiye awe mwenye uwezo wa kuamua tupate katiba mpya au la and not we the people?
Hii nchi kila kitu mambo ni kinyumenyume tu!
Onyesha kifungu cha katiba kinachompa Rais huo uwezo!Kwenye katiba iliyopo ! Kwani si ndio mkuu wa nchi ?
Uko Sahihi. Huwa uamuzi wa Wananchi katika mazingira ya Nchi yetu inawezekana. I think the move must start somewhere. Mbowe akizungumzia Katiba mnamdhihaki. Bunge letu ndio hilo rubber stamp ya Serikali kwa Kila jambo Bila Political will ya Rais katika Mazingira ya Tanzania Katiba ni NdotoWenye uamuzi wa mwisho ni wananchi!
Rais yupo chini ya wananchi. Hayupo juu ya wananchi.
Na ndo maana wananchi wanaweza kumtoa Rais madarakani.
Unabisha?
Read ....inawezekana??Uko Sahihi. Huwa uamuzi wa Wananchi katika mazingira ya Nchi yetu inawezekana. I think the move must start somewhere. Mbowe akizungumzia Katiba mnamdhihaki. Bunge letu ndio hilo rubber stamp ya Serikali kwa Kila jambo Bila Political will ya Rais katika Mazingira ya Tanzania Katiba ni Ndoto
Muulize Mange Kimambi anawajua vizuri sanaa watanzania, hasa pale kunapohitajika mass mobilization ili kudai na Kupata haki zao... Aliachwa solemba na mabango yake [emoji23][emoji23][emoji23] Hata Leo walivyomzingua kuhusu kuvujisha Ile clip ya ndugu yetu anayepigana na uvuli wa mauti, kakumbushia kwamba nyie wabongo hataki hata kuwasikia kwenye mambo ya kudai haki...Mfumo gani? Mfumo rasmi au mfumo wa kienyeji?
Uwezo wa Rais kuamua tuwe na katiba mpya unatoka wapi?
Tangu lini changes zikaletwa na vyama vya siasa mkuu? Yaani mfano umwambie mtu kama Kibajaji katiba mpya inayotaka sifa ya mbunge iwe walau form six, muipitishe atakubali? Umwambie mbunge yeyote katiba mpya inayoweka ukomo wa kugombea ubunge au mbunge kufukuzwa na waliomchagua, waipitishe kweli?? Real changes lazima ziletwe na wananchi wenyewe mkuuu...Vyama vya upinzani Tanzania shida yao wanataka majimbo na ruzuku basi ndio lengo lao kuu.
Juzi Mbowe baada ya kuitwa Ikulu kaaidiwa neema kedeke kuhusu maslahi yake leo kapiga gia angani.
Ukisema katiba mpya ipo mikononi mwa Rais maana yako ipo mikononi mwa CCM, kifupi Chadema wamepigishwa magoti na CCM baada ya kurushiwa fupa la nyama.
Inatosha tu ukijua kuwa ni Rais na wakati huo huo ndio mkuu wa Nchi !!Onyesha kifungu cha katiba kinachompa Rais huo uwezo!
Umekosa kifungu cha katiba eeh? 🤣🤣Inatosha tu ukijua kuwa ni Rais na wakati huo huo ndio mkuu wa Nchi !!
Narudia, katiba mpya itaketwa na wananchi wenyewe, tena kwa kuidai, wanasiasa wao ni kiungo tuu... Mbowe kakaa gerezani miezi nane, hakuna hata mtu mmoja aliyepinga hadharani, na pengine hata kesi mahakamani wamehangaika wenyewe na wanachama wake na familia yake. Hata kipindi anavunjiwa na kuharibiwa Mali zake Kuna aliyemsaidia???Hao wanasiasa wenyewe wanaodai katiba mpya hawajielewi.
Eti Mbowe, mtu anayedai katiba mpya, anaenda kufanya mkutano na rais, halafu anawaambia watu kuna maneno ya siri wamezungumza.
Halafu watu wanamshangilia!
SIO sahihi Katiba ni Takwa la Wananchi Rais anapaswa Kuwasikiliza Wananchi Waliompigia Kura Wanataka Nini kama ilivyo kwenye Kampeni wanaanchi Wanapotaka Hospitali,Barabara vivyo hivyo na KATIBAKwenye video hii, Tundu Lissu anazungumzia suala la katiba mpya na kudai kwamba Rais [kwa sasa ni Samia Suluhu Hassan] ndiye mwenye uwezo wa kuamua tupate katiba mpya au la!
Anzia dakika ya 6:00 - 6:16 hivi.
Hivi ni kweli kabisa Rais ndiye mwenye uwezo huo?
Tukiachana na mazoea ya kijinga, uoga, na upumbavu wetu kiujumla, uwezo huo Rais wetu anautoa wapi?
Rais wetu yupo juu ya kila kitu? Yupo juu ya katiba? Yupo juu ya wananchi?
Kwa nini yeye ndiye awe mwenye uwezo wa kuamua tupate katiba mpya au la and not we the people?
Hii nchi kila kitu mambo ni kinyumenyume tu!
Kwani Katiba Mpya ni ya serikali au ya wananchi?Kuna nchi ambayo inaweza kufanya mchakato wa katiba mpya bila maamuzi ya serikali?.Maana katiba mpya ni mchakato wa serikali na serikali iko chini ya Rais sasa hebu niambie nikwajinsi gani rais atakua hatoi kibali cha serikali yake kufanya huo mchakato.Tofauti na rais ambaye ni kiongozi wa serikali kuamua kuendesha huo mchakato sisi wengine kama wananchi kazi yetu inaishia kuipush serikali kwa hoja ili ione umuhimu wakufanya huo mchakato nasio zaidi ya hapo.Kwahiyo rais ndiye mwenye maamuzi ya mwisho kwenye hili.
Katiba kwa kiasi kikubwa ni suala la kisiasa zaidi kuliko matakwa ya mtu binafsi.
Tumeona namna ccm waliibeba ajenda ya JK ya Katiba Mpya na hatimaye kuibwaga baada ya kuona rasimu ya Warioba haina maslahi kwao.
Chadema na wapinzani wengine wanapaswa kuifanya Katiba Mpya iwe ajenda yao ya uchaguzi ili wapate uhalali wa kisiasa.
Kinyume cha hapo, wataishia kupambana peke yao na ccm (dola). Mahala pekee wanapoweza ungwa mkono ni wakati wa uchaguzi pekee.
Busara wangeunga mkono mabadiliko ya sheria walau kuifanya Tume ya Uchaguzi iwe na kaunafuu. Waingie kwenye uchaguzi
Well said kiongozi... Yaani nchi ina watu milioni 60, sasa unataka kikundi cha watu wachache eti ndiyo waeapiganie katiba huku wao wako juu ya stuli kwenye bar/groceries wanakunywa...Swala la katiba ya nchi ni zaidi ya vyama vya siasa.Kwahiyo kama ulishindwa kujibu swali la mtoa mada bora ungekaa kimya ukasoma comments za wengine.
Wanaweza kumtoa madarakani kwa njia gani?Wenye uamuzi wa mwisho ni wananchi!
Rais yupo chini ya wananchi. Hayupo juu ya wananchi.
Na ndo maana wananchi wanaweza kumtoa Rais madarakani.
Unabisha?