Hivi ni kweli uchawi una affect maisha ya mtu

Hivi ni kweli uchawi una affect maisha ya mtu

KikulachoChako

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2013
Posts
19,185
Reaction score
37,239
Habari zenu wakuu.

Nimeshuhudia matukio kadhaa, mojawapo likiwa la kaka yangu ambaye alisota muda mrefu bila ya kazi, alisha tuma maombi sehemu mbalimbali lakini wapi.

Ndio rafiki mmoja akamshauri aende kwa mtaalamu(mganga) wakapanga siku wakaenda kwa mtaalamu.

Aliporudi nikamuona kaka mara anajifukiza madawa yenye harufu za ajabu ajabu.

Baada ya siku 5 kupita tangu kaka arudi kwa mganga akaanza kuona mabadiliko, zile sehemu alizokuwa ame apply akashangaa anapigiwa simu sehemu zote alizoomba mpaka mwenyewe akashangaa.

Kichwani nikabaki na alama ya kuuliza kuwa inakuwakuwaje.?
 
Habari zenu wakuu......nimeshuhudia matukio kadhaa..mojawapo likiwa la kaka yangu ambaye alisota muda mrefu bila ya kazi, alisha tuma maombi sehemu mbalimbali lakini wapi..ndio rafiki mmoja akamshauri aende kwa mtaalamu(mganga)..wakapanga siku wakaenda kwa mtaalamu...aliporudi nikamuona kaka mara anajifukiza madawa yenye harufu za ajabu ajabu. Baada ya siku 5 kupita tangu kaka arudi kwa mganga akaanza kuona mabadiliko...zile sehemu alizokuwa ame apply akashangaa anapigiwa simu sehemu zote alizoomba mpaka mwenyewe akashangaa..kichwani nikabaki na alama ya kuuliza kuwa inakuwakuwaje..?

some website hii, ULIMWENGU USIOONEKANA
 
Habari zenu wakuu......nimeshuhudia matukio kadhaa..mojawapo likiwa la kaka yangu ambaye alisota muda mrefu bila ya kazi, alisha tuma maombi sehemu mbalimbali lakini wapi..ndio rafiki mmoja akamshauri aende kwa mtaalamu(mganga)..wakapanga siku wakaenda kwa mtaalamu...aliporudi nikamuona kaka mara anajifukiza madawa yenye harufu za ajabu ajabu. Baada ya siku 5 kupita tangu kaka arudi kwa mganga akaanza kuona mabadiliko...zile sehemu alizokuwa ame apply akashangaa anapigiwa simu sehemu zote alizoomba mpaka mwenyewe akashangaa..kichwani nikabaki na alama ya kuuliza kuwa inakuwakuwaje..?

Dunia ni pana hautaweza ukajifunza vilivyomo ndani yake mpaka upitie,muombe mwenyezi Mungu akujaalie uhai Nina imani utajifunza juu ya ulichokiuliza na majibu utayaleta humuhumu jf.
 
Dunia ni pana hautaweza ukajifunza vilivyomo ndani yake mpaka upitie,muombe mwenyezi Mungu akujaalie uhai Nina imani utajifunza juu ya ulichokiuliza na majibu utayaleta humuhumu jf.

ni kweli inabid ajifunze na mwalim ndio wewe, inabidi utoe somo sasa
 
mi nataka niwaone wachawi na majini live nifate steps zipi
 
Habari zenu wakuu......nimeshuhudia matukio kadhaa..mojawapo likiwa la kaka yangu ambaye alisota muda mrefu bila ya kazi, alisha tuma maombi sehemu mbalimbali lakini wapi..ndio rafiki mmoja akamshauri aende kwa mtaalamu(mganga)..wakapanga siku wakaenda kwa mtaalamu...aliporudi nikamuona kaka mara anajifukiza madawa yenye harufu za ajabu ajabu. Baada ya siku 5 kupita tangu kaka arudi kwa mganga akaanza kuona mabadiliko...zile sehemu alizokuwa ame apply akashangaa anapigiwa simu sehemu zote alizoomba mpaka mwenyewe akashangaa..kichwani nikabaki na alama ya kuuliza kuwa inakuwakuwaje..?

Kaka uchawi halisi unafanya kazi vizuri tuu kwakuwa nao unabeba roho na mapepo shida kubwa ni kwamba unaingia kwenye maagano na viapo ambavyo ni ngumu kuchomoka
 
ni kweli inabid ajifunze na mwalim ndio wewe, inabidi utoe somo sasa

Niliwahi kuwa mbishi wakutokuaamini hata mambo kila nilipoingia ndani ya India for 2 weeks wife alianza kupata matatizo na sikujua nini shida angaika sana Hosp. Kwa matatizo ya kusikia na ujauzito kutoka kama 4 after 2month ndio alianza kupandisha mapepo angaika mpaka basi poteza sana pesa mpaka kutaka filisika kila nilikaza roho,ktk mapepo karibu muda wrote hapo kichwani hata nikiwa kazini yanapanda na kunipigia simu ni movie ndevu iliyojaa simanzi kwa ndoa yangu changa lkn nilikaza roho 4 1yrs ndio nimekaa sawa kimtindo na hata mambo yakukukuta yanakuparaganyisha na familia yako unawezajikuta uko peke yako kila nilkaza roho sasa Nina dogo anakaribia mwaka na wife baada ya tiba, kama unakuja na mambo yako haujafika mlangoni ameshakujua all in all the storm is over.
 
nitakuwaje mkuu

Utaona na vingine ambavyo hukupanga au hutaki kuviona, utaingia sehemu ya chakula utakuta mwiko wa kupakulia chakula ni kiganja cha binadamu, utaona barabarani badala ya watu kupanda daladala wamepanda fisi nk nk unaweza kujikuta unakimbia
 
Utaona na vingine ambavyo hukupanga au hutaki kuviona, utaingia sehemu ya chakula utakuta mwiko wa kupakulia chakula ni kiganja cha binadamu, utaona barabarani badala ya watu kupanda daladala wamepanda fisi nk nk unaweza kujikuta unakimbia

_Duuu? na hapa DSM unaweza ukaina mtu anaendesha vogue,hammer,v8 n.k kumbe ni fisiii?ii aiseee...
ila bro mshanajr mi mwenyewe nataka kuviona sio daily nasimuliwa tuuu...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom