Jimena
JF-Expert Member
- Jun 10, 2015
- 25,935
- 96,056
Wakati mwingine shart uone kwanza vitu vya kutisha ndio ufikie vitu vizuri
Acha umri usogee kidogo kwa sasa bado
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati mwingine shart uone kwanza vitu vya kutisha ndio ufikie vitu vizuri
Mimi apa
Mimi apa
anataka umwambie mafanikio uliyopata sasa
Nilikua nataka mume nimempata yena mwenye pesa nimemtuliza kwa ayo madawa ya uchawi anafuata kile ninachokisema tumeelewana apo???
ngoja nmuite aje aone ushuhuda.... teh teeh teeeh eeeh....
ila angalia usije kumgeuza zombi.
Kwi kwi kwi..nikimuona anazubaa zaidi napunguza dozi maisha yanaendelea yani namburuzaaa tuuu
Sasa basi wataalam wakaingia maabara na kutafiti wakaja na colabo moja nzuri sana kwamba ukichanganya uchawi wa tunguli mizimu na majini pamoja na ibada na viapo vya damu , hiyo colabo hufuta na kufisha ule mzio wa kupenda vitu vizuri na hapo ndio mambo huanza kuwa super
Bora umepatikana utusaidie
hio doz uliyompa inaonekana sio ya mchezomchezooo... .. .
afu hio doz ulimpa dokta alisema inaitwaje?
Uchawi unasaidia 100% amini ivo ukitaka kuthibitisha nitafute sawa???
Nyaminywili
ulikua na tatizo gani likafanikiwaMimi apa
Kwi kwi kwi..nikimuona anazubaa zaidi napunguza dozi maisha yanaendelea yani namburuzaaa tuuu
Alafu hapa town unakuta dem loko kweli ila watu wanampa sifa kweeeli ..... ... .. .au ndo hizo busta?
uliipata mkoa gan hiyo?
Hiyo dozi ninahis doctor alipaka kwenye dushele lake akakusukumia kwenye pampuch yako, ndyo maana unamburuza jamaa yako bisha...
mshana,
bila shaka maneno uliyohitimisha hapo chini ni huu uchawi unaoitwa freemasonry/illuminatism ambao hutumiwa na wazungu na wafrika wachache wenye nguvu ya pesa na ushawishi ktk jamii.au sio huo mkuu?.
mshana,
bila shaka maneno uliyohitimisha hapo chini ni huu uchawi unaoitwa freemasonry/illuminatism ambao hutumiwa na wazungu na wafrika wachache wenye nguvu ya pesa na ushawishi ktk jamii.au sio huo mkuu?.