Hivi ni kweli uchawi una affect maisha ya mtu

Hivi ni kweli uchawi una affect maisha ya mtu

Umenisoma vema kadoda11

hata mi nlikusoma. ila naomba kuuliza utofaut wa haya makund ni nini? kwanin wengne ni satanism afu wengne ni luciferism?
pia kwanin wengne ni freemason afu wengine ni illuminat? Mshana jr naomba nfafanulie ivo vtu vinne
 
Last edited by a moderator:
hata mi nlikusoma. ila naomba kuuliza utofaut wa haya makund ni nini? kwanin wengne ni satanism afu wengne ni luciferism?
pia kwanin wengne ni freemason afu wengine ni illuminat? Mshana jr naomba nfafanulie ivo vtu vinne

Kuna tofauti ndogo sana kati ya bata bukini na bata mzinga lakini vile vile kuna mfanano wa ajabu kati ya kasa na kobe
 
Kuna tofauti ndogo sana kati ya bata bukini na bata mzinga lakini vile vile kuna mfanano wa ajabu kati ya kasa na kobe

Ngoja nione kama nimekuelewa:- mean satanism ni kama Bata bukini, afu lucifernism ndio ni kama Bata mzinga. (Ila wote ndo walewale). tena freemason ni kama kasa afu Illuminate ni kama kobe. (tofaut level / ukuu).
hahahaha jibu lako la hekima. i Give u a salute.
 
Back
Top Bottom