Hivi ni kweli uchawi una affect maisha ya mtu

Hivi ni kweli uchawi una affect maisha ya mtu

mshanajr njoo huku ujibu maswal... watu hawajakuelewa bado

Sasa tuongee
Uchawi halisi una mzio na vitu vizuri , una mzio na utajiri labda iwe wa tunguli, una mzio na starehe hasa pombe na warembo na unapokabidhiwa mikoba unapewa hayo masharti, huu hauna tofauti na chumaulete unapata pesa ya kutumia siku hiyo tuu tena kwa vitu muhimu
Uchawi huu ndio uchawi wa tunguli uchawi wa kupiga zongo kule Tanga uchawi uchawi wa kukopea mazao shambani , uchawi wa magonjwa yasiyoeleweka...Kimsimgi ni uchawi wa kifukara na usio na faida yoyote kea mmiliki zaidi ya kuogopwa

Sasa basi wataalam wakaingia maabara na kutafiti wakaja na colabo moja nzuri sana kwamba ukichanganya uchawi wa tunguli mizimu na majini pamoja na ibada na viapo vya damu , hiyo colabo hufuta na kufisha ule mzio wa kupenda vitu vizuri na hapo ndio mambo huanza kuwa super
 
Last edited by a moderator:
Sasa tuongee
Uchawi halisi una mzio na vitu vizuri , una mzio na utajiri labda iwe wa tunguli, una mzio na starehe hasa pombe na warembo na unapokabidhiwa mikoba unapewa hayo masharti, huu hauna tofauti na chumaulete unapata pesa ya kutumia siku hiyo tuu tena kwa vitu muhimu
Uchawi huu ndio uchawi wa tunguli uchawi wa kupiga zongo kule Tanga uchawi uchawi wa kukopea mazao shambani , uchawi wa magonjwa yasiyoeleweka...Kimsimgi ni uchawi wa kifukara na usio na faida yoyote kea mmiliki zaidi ya kuogopwa

Sasa basi wataalam wakaingia maabara na kutafiti wakaja na colabo moja nzuri sana kwamba ukichanganya uchawi wa tunguli mizimu na majini pamoja na ibada na viapo vya damu , hiyo colabo hufuta na kufisha ule mzio wa kupenda vitu vizuri na hapo ndio mambo huanza kuwa super

Duh...! Nothing easy in this world...!
 
Sasa tuongee
Uchawi halisi una mzio na vitu vizuri , una mzio na utajiri labda iwe wa tunguli, una mzio na starehe hasa pombe na warembo na unapokabidhiwa mikoba unapewa hayo masharti, huu hauna tofauti na chumaulete unapata pesa ya kutumia siku hiyo tuu tena kwa vitu muhimu
Uchawi huu ndio uchawi wa tunguli uchawi wa kupiga zongo kule Tanga uchawi uchawi wa kukopea mazao shambani , uchawi wa magonjwa yasiyoeleweka...Kimsimgi ni uchawi wa kifukara na usio na faida yoyote kea mmiliki zaidi ya kuogopwa

Sasa basi wataalam wakaingia maabara na kutafiti wakaja na colabo moja nzuri sana kwamba ukichanganya uchawi wa tunguli mizimu na majini pamoja na ibada na viapo vya damu , hiyo colabo hufuta na kufisha ule mzio wa kupenda vitu vizuri na hapo ndio mambo huanza kuwa super

teh teeh teeeh eeeh... .. . umenifurahisha hapo kwenye wataalam kuingia maabara nakuja na mpango kabambeee...
okey ngoja urud tutajua ukweli
 
Anza wewe mkuu mi utakuja kunipa ripoti tu kama ni kweli, mi bado mdogo sana kushuhudia mambo ya kutisha.

ukimuogopa Mungu au shetani huwez kumjua wala kumfaham... .. . ni sawa na kwenda kwenye mashindano bila ya kujua nguvu/uwezo wa mpinzan wako.
 
ukimuogopa Mungu au shetani huwez kumjua wala kumfaham... .. . ni sawa na kwenda kwenye mashindano bila ya kujua nguvu/uwezo wa mpinzan wako.

Sijui kama ni uoga au la. Ila sipendi kuona mambo ya kutisha kwa namna yoyote ile
 
mshana jr, nimekuwa nikizisoma mada zako nyingi tu kuhusu uchawi. Aidha, unakuwa wazi kabisa kusema yeyote anayetaka kuwa mchawi unaweza kumfundisha.

Sasa huwa naniuliza; haya yote unayoyazungumza humu umeyajulia wapi!?

Wewe ni mchawi!!!??


Hebu basi andika kitabu kinachohusu mambo hayo ili jamii ifahamu mambo mengi yaliyonificha lakini yapo yanatendeka.
 
Last edited by a moderator:
mshana jr, nimekuwa nikizisoma mada zako nyingi tu kuhusu uchawi. Aidha, unakuwa wazi kabisa kusema yeyote anayetaka kuwa mchawi unaweza kumfundisha.

Sasa huwa naniuliza; haya yote unayoyazungumza humu umeyajulia wapi!?

Wewe ni mchawi!!!??


Hebu basi andika kitabu kinachohusu mambo hayo ili jamii ifahamu mambo mengi yaliyonificha lakini yapo yanatendeka.
KATA KUCHA mimi si mchawi na Sijawahi kuroga wala kurogwa, nikiandika Kitabu itakuwa vigumu kwa watu wenye maswali chagizo na maoni kushindwa kujibiwa ipasavyo, lakini nikitoa kidogo kidogo hapa tunaelimishana tunafafanuliana tunapeana changamoto na kuna wakati napata matusi kidogo kejeli kidogo lakini mwisho wa siku mtu anakuelewa
 
Last edited by a moderator:
teh teeh teeeh eeeh... .. . umenifurahisha hapo kwenye wataalam kuingia maabara nakuja na mpango kabambeee...
okey ngoja urud tutajua ukweli

Unajua Bennie kuna uchawi na Uganga wa level nne
1.wa kutumia tunguli pembe hirizi na madawa ya kufukisha kupaka na kuchanjwa chale huu tunauita primitive witchcraft, uchawi wa kimaskini huu na kutiana mialama mwilini

2.wa kutumia mizimu , bila kujali ni mchawi au mganga anatumia style ya kuita mizimu au kupandisha maruhani, mizimu ikishakuja au maruhani yakishapanda ndio watamuelekeza nini cha kufanya hii inaitwa old fashion witchcraft, leo hii utapata wapi mapori misitu na makaburi ya kuitia mizimu? Makaburi yenyewe siku hizi yamegeuzwa gesti misitu ya asili imemalizwa mapori yamefyekwa

3.Wa kutumia majini. Hapa mchawi au mganga anatumia majini kufanishisha kazi zake , kama ni mchawi anakuwa na majini yake ya aina mbalimbali anayafuga ukihitaji anakupa unaenda kumtupia mbaya wako na tiba yake nayo ni hiyo hiyo ukienda kwa mganga atatumia majini hayo hayo kukutibu huu unaitwa all time witchcraft kwakuwa bahari bado zipo na majini pia yapo

4.huu sasa ndio new model au latest version hakuna chale hakuna hirizi hakuna madawa bali kuna makafara tena ya damu na viapo vya kuzimu. Hapa ndio kuna colabo ya hivyo vitatu hapo juu , wamechuja wakaacha vya kishamba wakachukua vizuri
Hapa unapewa facts kwamba kuna agano utafanya ili ufanikiwe kutibiwa au kwenda kudhuru au kufanikiwa mambo yako
Hapa ndio penye makafara ya damu viungo vya albino viungo vya watoto wadogo nk nk
 
Last edited by a moderator:
Sijui kama ni uoga au la. Ila sipendi kuona mambo ya kutisha kwa namna yoyote ile

Mdada Astral projection haitishi?mbona kama uliperfom out of body?.Anyway ili kujua mambo inabidi ujifunze na muda mwingine katika kujifunza kimatendo inabidi to take risk,nasubiri kuhadithiwa.
 
Mdada Astral projection haitishi?mbona kama uliperfom out of body?.Anyway ili kujua mambo inabidi ujifunze na muda mwingine katika kujifunza kimatendo inabidi to take risk,nasubiri kuhadithiwa.

AP haitishi kabisa, kwani inatisha nini na mtu pale unakuwa mwenyewe tu? Haya maswala ya uchawi ni mauza uza tu ambayo hata ukweli wake unatia mashaka
 
mimi natafuta mtu alieenda kwa mganga akafanikiwa
ajitaje
 
Back
Top Bottom