_Duuu? na hapa DSM unaweza ukaina mtu anaendesha vogue,hammer,v8 n.k kumbe ni fisiii?ii aiseee...
ila bro mshanajr mi mwenyewe nataka kuviona sio daily nasimuliwa tuuu...
If you real serious nitakufundisha but with conditions next week narudi mkata will consult you and anyone who is interested in weird things
hivi uchawi maana yake ni nini? na je unahukakika na zile dawa kuwa ndio zimemfanya abadilike?
Cc: aretasludovick
Jimena
Mimi huwa najiuliza kwa nini wachawi hawana maendeleo kila nitakayemsikia au kuambiwa mchawi ni mtu masikini au wa hovyhovyo tu,
au ndio masharti ya uchawi?
Wapo tena wengi tu lakini lazima ufanye colabo ndio utafanikiwa yani uwe nabii au mtume nk na lazima utii maagano na viapo vya kuzimu na kukubali kutoa sadaka za damu na nyama mbichi
hapo kwenye kufanya collabo bado sijaelewa vizur?i
Sina hakika. Mi mgeni kwenye kipengele hiki mkuu
Nilikuwa najiuliza utasema nini kuhusu hili pamoja na aretasludovick Bennie afadhali mmekuwa wapole kidogo. ila binafsi naamini mara nyingi imani ya mtu ndo humfanya apotee au aelekee kwenye njia sahihi ya mafanikio.
Nilikuwa najiuliza utasema nini kuhusu hili pamoja na aretasludovick Bennie afadhali mmekuwa wapole kidogo. ila binafsi naamini mara nyingi imani ya mtu ndo humfanya apotee au aelekee kwenye njia sahihi ya mafanikio.
hapo kwenye kufanya collabo bado sijaelewa vizur?i
Ukiwa pure mchawi utakufa maskini lakini ukichanganya na mambo f'lani utatoka
sawa kabisa... .. . ngoja niwashitue na wengine ambao hawaamin km mimi, tukauone ulimwengu usioonekana
cc, aretasludovick
Jimena
Bujibuji