Umenisoma vema kadoda11
hata mi nlikusoma. ila naomba kuuliza utofaut wa haya makund ni nini? kwanin wengne ni satanism afu wengne ni luciferism?
pia kwanin wengne ni freemason afu wengine ni illuminat? Mshana jr naomba nfafanulie ivo vtu vinne
Kuna tofauti ndogo sana kati ya bata bukini na bata mzinga lakini vile vile kuna mfanano wa ajabu kati ya kasa na kobe
If you real serious nitakufundisha but with conditions next week narudi mkata will consult you and anyone who is interested in weird things
Naomba niku-PM
Karibu