Hivi ni kweli usimkopeshe rafiki yako kama ni wa kike?

Hivi ni kweli usimkopeshe rafiki yako kama ni wa kike?

Ni kweli ,wanawake hawarudishi pesa ukimkopesha na pia marafiki hawa huwa nao hawarudishi.

Kuna jirani nilimkopesha laki 2 sasa inakaribia mwaka hata kupunguza 100 hajawai ,kuna rafiki yangu nilimkopesha elfu 50 akasema atanirudishia mwisho wa mwezi ,imepita miezi minne kimya ,kuna msoja wa Mbweni Barracks nilimkopesha laki moja huu mwaka wa 6 hajanirudishia ,wote nimeamua kuwaachia ila nishajifunza ,sikopeshi mtu pesa.
 
Bora wewe ulikopesha mm nilipewa nimfanyie kazi tena bila hata advance, nikaipiga ile kazi nikamaliza na siku ya kumkabidhi nilikodi hadi boda boda kumpelekea. kufika pale akaniambia hela atanipa baada ya siku mbili mbele..

hizo siku mbili ni miez kadha sasa kila nikipiga sim anasema badae kesho, kesho inazaa badae inakuwa kesho tena nimedai mpka nimechoka nimeona tu nimuachie Mungu
 
Kiasili wabongo ni wazuri wa kukopa ila kwenyew kulipa inakua ni kwa tabuuuu sana.
Kama hujatumia nguvu kudai haki yako sahau kuipata.
Kuna mdada single mother aliniomba nimkopeshe tsh 30k atume kwao apatee mwanae hela ya maziwa mpk akilipwa t kazin kwake atanirudishia nikampatia ile hela

Na kweli alipolipwa tu akanambia tayar nimelipwa kesho nitakupatia ile hela
Kufika siku ya 2 kimya usku nikamkumbusha vp ile hela yng akanza kuleta nahau mpk leo ni mwezi naa hajanipatia iyo hela

sio kwamba sikua na uwezo wa kumgeiya ila nilitaka nione uaminifu wake ukoje kumbe ni 0 kbs

Na anavyojitoa ufahamu sasa hajanilipa ile hela ila kila siku ananililia shida mpka leo ameniomba tsh 3000 nikamniyma sitakuja kumpa hela yangu ata iweje japo before nilikua nikimtoa sana tu
 
A
Kiasili wabongo ni wazuri wa kukopa ila kwenyew kulipa inakua ni kwa tabuuuu sana.
Kama hujatumia nguvu kudai haki yako sahau kuipata.
Kuna mdada single mother aliniomba nimkopeshe tsh 30k atume kwao apatee mwanae hela ya maziwa mpk akilipwa t kazin kwake atanirudishia nikampatia ile iyo hela

Na kweli alipolipwa tu akanambia tayar nimelipwa kesho nitakupatia ile hela
Kufika siku ya 2 kimya usku nikamkumbusha vp ile hela yng akanza kuleta nahau mpk leo ni mwezi naa hajanipatia iyo hela

sio kwamba sikua na uwezo wa kumgeiya ila nilitaka nione uaminifu wake ukoje kumbe ni 0 kbs

Na anavyojitoa ufahamu sasa hajanilipa ile hela ila kila siku ananililia shida mpka leo ameniomba tsh 3000 nikamniyma sitakuja kumpa hela yangu ata iweje japo before nilikua nikimtoa sana tu
Aise kumbe wapo wengi
 
Wanawake wakikuona tu umetulia mpole wanakuchukulia advantage kwako ndo maana mabaharia kabla hawajakopesha wanaomba papuchi kwanza ili hata asipolipwa kashafidia kwenye utamu
Duh! Huko sio kuvunjiana heshima?Wakati unamchukulia kama dada utawezaje kufanya hivyo?
 
Usikopeshe mtu kama huna uthubutu wa kupoteza kiasi chote ulichokopesha.

Vinginevyo mkopaji aje ni hati za viapo toka mahakama kuu na ziwe na mihuri ya makama ya rufani😂😂😂😂. Vinginevyo aende benk au kausha damu.

Na kama ni lazma sana kukopesha, kopesha mwanaume maana anafaa kukoromea. Ukikopesha mwanamke hatalipa, ukimuwashia moto atajifanya ni mgogoro wa kimapenzi, na jamii itaamini hivyo.

Nitatoa visa vyangu vichache iwe ni funzo kwa wengine.
 
Back
Top Bottom