Hehehe.... What a cheap and old-fashion manipulative statementNa mwanaume halisi hua hamdai mwanamke
Eti mwanaume halisi... Shenzy kabisa, nani kakupa hayo mamlaka ya kudefine mwanaume halisi anatakiwa aweje???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hehehe.... What a cheap and old-fashion manipulative statementNa mwanaume halisi hua hamdai mwanamke
Mbongo akikwambia umkopeshe hela let's say labda anataka 100,000/=.Me saiv sikoposhe hela hata kwa ndug yng wa karibu bora nionekane roho mbaya tu
Bora niwe boya kuliko nife kwa UKIMWIBasi endelea kuwachukulia kama dada zako, wakati huo wenyewe wanakuchukulia kama Boya ambaye hela zake hazina kazi
Ndio maana mnaonewa na kudhalilishwa kwa kukupenda vya kitonga.Kuweni komandoo kama Lady JaydeeMwanaume unapata wapi nguvu ya kumkopesha ela mwanamke.....Yan mwanamke kukukopa mwanae no style tu ya kukuomba ela Hua haturudishiii Na mwanaume halisi hua hamdai mwanamke
Nimeipenda hiyoMbongo akikwambia umkopeshe hela let's say labda anataka 100,000/=.
Mwambie Sina hiyo hela, hapa nilipo Nina 10,000/= tu labda nikupe hiyo halafu utanirudishia siku ukipata... Kisha kaa kimyaa
Nimechukua notes hapaNi kweli ,wanawake hawarudishi pesa ukimkopesha na pia marafiki hawa huwa nao hawarudishi.
Kuna jirani nilimkopesha laki 2 sasa inakaribia mwaka hata kupunguza 100 hajawai ,kuna rafiki yangu nilimkopesha elfu 50 akasema atanirudishia mwisho wa mwezi ,imepita miezi minne kimya ,kuna msoja wa Mbweni Barracks nilimkopesha laki moja huu mwaka wa 6 hajanirudishia ,wote nimeamua kuwaachia ila nishajifunza ,sikopeshi mtu pesa.
Kwa hiyo kisa nimemkopesha mwanamke.Na je ningempa mwanaume mwenzangu ungesemaje?.Acha fikra dhaifu sio kila anaemsaidia mwanamke basi anatazamia maslahi ya kimalayaNa mnaamini huyu mleta mada ni mwanaume wa aina hii, nafikiri hata mwanzoni mwa post hii amejitanabaisha kwamba huwa anawakingia sana kifua wanawake humu ambao hata hawajui....
Si ajabu wakati anatoa hiyo hela laki 2 kwa huyo tapeli Kuna mtoto wa dada yake Hana hata viatu vya shule, ila Yuko bize kuwajali wanawake Baki wasiokuwa na faida yoyote maishani mwake
😁Duuh
Achana nae....ni mshirikina
Kumbe!!Ndio najifunzaUnamkopeshaje mwanamke na ww jamaa. Hawalipagi hao.
Aise!!Me saiv sikoposhe hela hata kwa ndug yng wa karibu bora nionekane roho mbaya tu