Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
umemkagua??????lol
Kazaliwa Ocean Road kati ya '78 au 79 halafu hana ndui? Ngoja niazime tena kile kicheko...bwa! ha! ha! ha! ha!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umemkagua??????lol
umemkagua??????lol
Kazaliwa Ocean Road kati ya '78 au 79 halafu hana ndui? Ngoja niazime tena kile kicheko...bwa! ha! ha! ha! ha!
Kazaliwa Ocean Road kati ya '78 au 79 halafu hana ndui? Ngoja niazime tena kile kicheko...bwa! ha! ha! ha! ha!
jamani msimshambulie Gaijin bure.....mbona hata mimi sina?
bwa' mkubwa, uni hoo eee, sijazaliwa miaka hiyo mie, upo!
and dd it have to be so nasty!? manake ndui zingine utadhani jeraha la gobore!
Bwa' mkubwa, uni hoo eee, sijazaliwa miaka hiyo mie, upo!
wodi ya wazazi ocean road ilifungwa mwaka 83 kama sikosei...
Kama ulizaliwa ocean road,ni 83 kurudi nyuma....
ocean road ndo kuna nini? Maana naona osheni rodi osheni rodi....
Hata mi wa engarae motonyi ninayo bana....
utakua ulizaliwa selian ya mjini miaka ya karibuni kabisa...lol!
bht as stupi as it sound
ocean road ilikuwa wodi pekee ya wazazi mkoa wa dsm mpaka mwaka 83 hivi...
So waliozaliwa huko hupenda jukiona wao ndo the real born town....
Watoto wa mjini...lol
mimi si wa leo my dear....lakini alama ya ndui sina.....imebidi nijichunguze niite na mashaidi...nimechambuliwa kama karanga....kila mahali wamenikagua....unajua tena hospital za nchi yetu...labda walikosea wakanichoma kusiko....lakini sina alama ya ndui.....
mimi si wa leo my dear....lakini alama ya ndui sina.....imebidi nijichunguze niite na mashaidi...nimechambuliwa kama karanga....kila mahali wamenikagua....unajua tena hospital za nchi yetu...labda walikosea wakanichoma kusiko....lakini sina alama ya ndui.....
wamekuchambua sana? Usirudie tena, yaani lisred la bosi ndo ukalitafutie ushahidi?
Inawezekana wakwetu mwayego, usikute walikunduka kwenye moja ya siti zako...kama mtu anapaswa kupasuliwa kichwa na badala yake anapasuliwa goti ndo ije kuwa chanjo ya ndui?
Wakenya wanayo
wanayo kushoto tu,sio kulia...wakenya wanayo