innocentmollel
JF-Expert Member
- Sep 11, 2014
- 1,702
- 748
Yeye kasema ipoo kushoto kwakee atiiiiii naisi yeye akuchomwa kuliaaMbona IPO mkono wa kulia hyo alama. Mbona hata wazimbabwe wanayo hyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye kasema ipoo kushoto kwakee atiiiiii naisi yeye akuchomwa kuliaaMbona IPO mkono wa kulia hyo alama. Mbona hata wazimbabwe wanayo hyo
Habari za muda huu wadau,
Naleta mapendekezo kwa Serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania kwamba ni vyema sasa tukatafuta utaratibu mwingine wa kutoa chanjo ya ndui kwa sababu za kiusalama.
Hii chanjo kwa sasa imekuwa kama alama ya mtanzania hii ni sawa na mfugaji kuweka alama yake katika mifugo jambo ambalo ni hatari sana kwa usalama wa taifa letu.
Kila mtanzania ukimkagua kwenye bega la kushoto ana alama hii ni hatari sana.
Ningeshauri Serikali kuja na chanjo ambayo haiachi alama kwenye bega kwa sababu niliyoieleza hapo juu.
Nashukuru endapo Serikali italifanyia kazi wazo langu.
Mimi ni mtanzaniaKwanza sijaona hatari yoyote ya kiusalama hapo, lakini pia Watz wanachanjwa kulia na si kushoto. Pengine wewe si Mtz na unajistukia hahahahah
Ha ha kuwa siriaz banaShyeeeh...!!! basi sawa tumekusikia tutawachora tattoo ya John The Rhino kwenye tako la kushoto.
Hii si imekaa poa au bado unahofu na usalama wa t!go Pesa pia?
kuna raia wa Tanzania na Mtanzania yani mwananchi we upo kundi gani?Mimi ni mtz na sina hiyo alama hivyo so kila mtz anayo
Mbona maambukizi ya TB bado yapo pale pale?Chanjo ya ndui( bega la kushoto) mara ya mwisho ilichanjwa mwaka 1979....watanzania waliozaliwa miaka ya kuanzia '80 hawana alama hiyo!bega la kulia ni alama ya chanjo ya kifua kikuu!
Kuna uwezekano wa 100% kuwa ulizaliwa nyumbani, shambani ama porini na hukupelekwa hospitalini kupata chanjo yoyote.Mimi ni mtz na sina hiyo alama hivyo so kila mtz anayo
Wanaosema iko kushoto wako sahihi na wamekidhi sifa zote za sokwe hivyo wao ni masokwe.Mnaosema kwamba hiyo alama iko kulia nyie ni ngedere!