Hivi ni lazima kila raia wa Tanzania awe na kovu la ile sindano ya ndui begani?

Hivi ni lazima kila raia wa Tanzania awe na kovu la ile sindano ya ndui begani?

sijui kama umenipata
ila mimi inanishangaza kuwa kama mtu hana ndui mkono wa kulia
anatuhumiwa kuwa sio raia.....
Bahati nzuri nimeishi kwa muda South Africa, Polisi wa South Africa huwa wanapekuwa ndui ili kuwabaini Wamozambique maana asilimia kubwa ni waamiaji haramu na wao ndio crime makers wakubwa Pale Johanesburg.
Ndui za Wamozambique zinatofautiana bega na za kwetu hiyo ndio alama kuu ya kuwatambuwa maana kwa lugha huwezi kuwatambuwa kuna makabila yapo pande zote kama wamasai wa Tanzania na wamasai wa kenya.
 
Bahati nzuri nimeishi kwa muda South Africa, Polisi wa South Africa huwa wanapekuwa ndui ili kuwabaini Wamozambique maana asilimia kubwa ni waamiaji haramu na wao ndio crime makers wakubwa Pale Johanesburg.
Ndui za Wamozambique zinatofautiana bega na za kwetu hiyo ndio alama kuu ya kuwatambuwa maana kwa lugha huwezi kuwatambuwa kuna makabila yapo pande zote kama wamasai wa Tanzania na wamasai wa kenya.

Hiyo ni ndui profiling na nashangaa wanaharakati hawajalivalia njuga hilo jambo!
 
hiyo ni ndui profiling na nashangaa wanaharakati hawajalivalia njuga hilo jambo!

yaani hizi ndui,watu wamejikuta wanapandishwa ndege,breki ya kwanza
airport daresaalam..wasiokuwa na ndui wakijifanya sio wa tz wanapeta...
 
Kifuta jasho: kuna kabila South Africa analotoka Ivon chakachaka linaitwa shangani hilo kabila pia lipo na msumbiji na lugha ni moja, na anaeongea lugha ya kimashangani ni rahisi kuongea kizulu baada ya muda mfupi sana ni kama kiingereza cha uk na U.S.A, hii ndio loop hall wanayoitumia hawa Wamozambique kuishi ilegal South Africa, na kumbuka raia halisi wa South Africa hasa mzulu hawezi kumuonesha ID polisi hata siku moja na huwa hawatembei nazo.
Sasa kwa utamaduni huu wale Wamozambique huna namna ya kuwakamata ni lazima ukaguwe ndui ndio identity pekee.
 
Hiyo ni ndui profiling na nashangaa wanaharakati hawajalivalia njuga hilo jambo!
Mkuu mimi naunga mkono msimamo wa South Africa Wamozambique ni watu hatri kuliko vile ulivyokuwa unafikiria, uhalifu mkubwa karibu wote unawahusisha hawa watu na hasa wamejaa katika Jiji la la Johanesburg, maana ni mwendo wa masaa 3 tu kwa gari kutoka kwao msumbiji.
 
yaani hizi ndui,watu wamejikuta wanapandishwa ndege,breki ya kwanza
airport daresaalam..wasiokuwa na ndui wakijifanya sio wa tz wanapeta...
Trust me Boss huo ni uzushi Mtanzania yeyote anaerudishwa Tanzania sababu kuu inakuwa ni Ilegal Immigrant. wengi wa vijana wanaokwenda kule ni vijana wa mtaani wasiojuwa lolote, lakini Home Afairs ya South Africa wanatowa permit za kukaa pale kihalali isipokuwa kwa Wazimbabwe na Wamozambique hawa ni watu ambao hatakiwi kabisa South Africa kwa sababu ya uhalifu wa kupindukia, na hawa Wazimbabwe kama walivyo Wamozambigque nao wanakaa South kwa gia ya kujifanya ni Wandebele kabila ambalo lipo South Africa na lipo Zimbabwe.
 
Tena chini ya '83 ndo '79!

Mnanini nyie! Lol

NIMECHEKA SANA HII YA chini ya 83 lol. Mie Binafsi nilipigwa mara mbili na haijatokea .. ila nikaja mie na rafiki yangu alimuona mzungu na Ndui kubwaaaaaaa akasema duh mzungu kumbe ana ndui akataka kwenda kumuuliza kaipata wapi nikamzuia , ndio akaniambia ndui wanayo watanzania tu. sasa kuona hii comment pia unauliza je ndui wanayo watanzania tu? ndio nimezidi kujiuliza ila huyohuyo rafiki yangu aliniambia kwamba zamani watanzania walikuwa wanapigwa mapajani. mie naona nenda kamtafute Daktari wa zamani muulize vizuri ukipata majibu rudi utufahamishe. sasa hivi natamani angemuuliza tu mzizi wa fitna ukatwe. Mie pia najiuliza au upigaji mbaya pia unachangia kutokea Ndui????
 
Kuna mambo ukisikia unaweza kupuuza
but ukisikia tena na tena unajikuta unashangaa

nauliza ni watanzania tu wenye ndui duniani?
Na je ni watanzania wote,waliozaliwa tanzania??????

Kuna mtu kaniambia south africa wakikamatwa wahamiaji haramu
watanzani wanatambuliwa kwa alama ya ndui begani...
Wanawekwa wote kwenye ndege na kurudishwa
hata ukijifanya we mburundi au msudan hawakuachii kama una ndui

mwingine akaniambia polisi wa mipakani wakikukuta huna ndui begani unatuhumiwa kuwa sio raia

mmewahi sikia hili?????????

MKuu mie nishaanza kuona hizi ni kama zile za Vijiweni Wamachinga ukisema CHigara na sio Sigara unarudishwa Msumbuji.
 
Ndui ni ugonjwa, ile alama ya mkononi inatokana na chanjo dhidi ya ndui, na si "ndui".

Kuna nchi nyingi za Afrika na Carribean zilifanya hii chanjo.
 
Ndui ni ugonjwa, ile alama ya mkononi inatokana na chanjo dhidi ya ndui, na si "ndui".

Kuna nchi nyingi za Afrika na Carribean zilifanya hii chanjo.

thanx
nilikuwa namaanisha hiyo alama hasa mkono wa kulia
 
thanx
nilikuwa namaanisha hiyo alama hasa mkono wa kulia
Hiyo alama unaweza kuwa na mikono yote miwili, kwa sababu ilikuwa inatolewa mara mbili kama sikosei... Na hata wazungu wanao, nadhani ni nyuma ya bega...!

Hii chanjo ilianza kutolewa kwa mafanikio miaka ya 70's na 80's...! Ila kwa sasa nadhani mataifa mengi yameshatokomeza huu ugonjwa na hata kama inatolewa haiwachi alama kama zile za zamani.

_38589113_studentjab_ap150.jpg
170px-Smallpoxday10.jpg
lettersonline_f1a.jpg



Kama ukupata chanjo haya ndio matokeo yake
220-Smallpox.jpg
 
jamani msimshambulie Gaijin bure.....mbona hata mimi sina?


Umeona eeh da Preta, mie mwenyewe sina ati, Hebu nikaiombe hiyo chanjo nsije nyimwa kitambulisho bureee, lol
 
Back
Top Bottom