Habari za muda, ndugu zangu.
Nina swali napenda kuuliza: Huenda kuna Watanzania ambao walishawahi kufika Afrika Kusini, au huenda kuna wengine wanaishi huko chini ya Madiba. Napenda kuuliza: Hivi, ukienda Afrika Kusini, ni lazima ujue moja ya lugha kama Zulu, Xhosa, Sesotho, au Afrikaans, au unaweza kutumia Kingereza pekee?
Mimi najua Kingereza tu, na nataka kufahamu umuhimu wa kujua lugha hizi nyingine.
Nina swali napenda kuuliza: Huenda kuna Watanzania ambao walishawahi kufika Afrika Kusini, au huenda kuna wengine wanaishi huko chini ya Madiba. Napenda kuuliza: Hivi, ukienda Afrika Kusini, ni lazima ujue moja ya lugha kama Zulu, Xhosa, Sesotho, au Afrikaans, au unaweza kutumia Kingereza pekee?
Mimi najua Kingereza tu, na nataka kufahamu umuhimu wa kujua lugha hizi nyingine.