Mzee Saliboko
JF-Expert Member
- Jan 29, 2018
- 1,311
- 1,018
SimiyuKwa kutokea Shinyanga kuna njia ya Mwigumbi, Maswa hadi bariadi then unatokezea Lamadi unaunga hadi Mara.
Kutokea Singida kuna chocho inapita kwenye pori la kijereshi hadi bariadi. Kutokea Arusha unapitia Serengeti. Kutokea Kagera au geita panda mtumbwi ukupeleke Mara direct.